Dr slaa apata pigo Iramba - mkutano wadoda!

Dr slaa apata pigo Iramba - mkutano wadoda!

Status
Not open for further replies.

HAMY-D

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2011
Posts
7,146
Reaction score
3,829
WanaJF!

Katika hali iliyokuwa ikitazamiwa kutokea kwenye mkutano wa CHADEMA hapa Iramba, sasa yametimia kwani mkutano umeanza takribani saa 1 lililo pita (majira ya saa 8 mchana) na matangazo ya kuhamasisha yamekuwa yakisikika kote hapa Iramba, ila mwitikio wa wananchi kwenye mkutano huo ni mdogo na hali hiyo imemfanya Dr Slaa kuduwaa na kubaki kukuna kichwa tu.

Jambo ambalo limemponza Dr Slaa na kumuingiza kwenye aibu hiyo, ni kufuatia kudanganywa na wapambe wake kuwa yeye ana kubalika Iramba na wananchi wanamtambua kama rais wao, badala yake Dr Slaa ameonekana kama kituko mbele ya wananchi ingawa alikuja na mbwembwe nyingi hapa kijijini.

Dr Slaa, CCM YATUTOSHA!
 
Hilo Dr. Slaa sio pigo kwake. Anachotaka yeye ni posho tu.

Kisiasa Dr. Slaa kashajikatia tamaa, anahesabu siku tu astaafu rasmi...
 
Hilo Dr. Slaa sio pigo kwake. Anachotaka yeye ni posho tu.

Kisiasa Dr. Slaa kashajikatia tamaa, anahesabu siku tu astaafu rasmi...

Mkuu, atakubali kustaafu kwa hiyari?, au ndio mpaka asombwe na koleo?

Halafu si unajua hana pensheni?, sijui atamlea vipi Josephine?
 
Mkuu, atakubali kustaafu kwa hiyari?, au ndio mpaka asombwe na koleo?

Halafu si unajua hana pensheni?, sijui atamlea vipi Josephine?

Gharama za kumtunza Josephine ndio zinamfanya mpaka sasa ajikongoje kwenye siasa. Hata hivyo wapenda mabadiliko ndani ya Chadema wameshaanza kuchoshwa na same old politics za Slaa. Chadema sio taasisi ya kutunza wasio na pensheni. Hana budi kukaa kando...
 
Hilo Dr. Slaa sio pigo kwake. Anachotaka yeye ni posho tu.

Kisiasa Dr. Slaa kashajikatia tamaa, anahesabu siku tu astaafu rasmi...

ZeMarcopolo na ww umekuwa mtu wa HOVYO HOVYO kiasi hiki?Walahi sikujua!
 
Gharama za kumtunza Josephine ndio zinamfanya mpaka sasa ajikongoje kwenye siasa. Hata hivyo wapenda mabadiliko ndani ya Chadema wameshaanza kuchoshwa na same old politics za Slaa. Chadema sio taasisi ya kutunza wasio na pensheni. Hana budi kukaa kando...

Kweli mkuu, kama CHADEMA ikiendelea kulea watu aina ya Dr Slaa basi kitakuwa sio chama cha siasa bali ni ghala la kulea wazee.
 
No research, no right to talk.On the other hand You can not prove the fact out of evidences unless Lumumba Team at JF Project !
 
kumbe nawe unakubali kudanganywa na mtu ambae yupo kwenye period eti ehee sasa we ndio umeangukia meno.

Jiulize Tumaini Makene, Molemo na MUNGI wako wapi?!
 
Watanzania pole zetu.. kama mpaka dakika hii bado tunawatu wa dizaini za wakina Mwigulu (HAMMY-D) anayejifanya msomi yeye kuchwa ni chadema tu chadema hv mara vile... halafu anaona kinachofanywa na chadema na Mashirika mbalimbali katika kutafuta maoni ya katiba mpya toka kwa wananchi kwa ajili ya mustakabali wa taifa letu lijalo kama ni suala dogo hivi lisilo na maana ... inasikitisha kwa kweli ndio maana ni kasema,,,,,,,,,,,,,,,, kwa kutumia viongozi wengi tulionao serikalini na bungeni kuwa ni sample tosha ya jinsi watanzania tulivyo.... ndio maana nchi haiendeleei kila jambo mtu analeta ushabiki wa simba na yanga hata kwenye jambo la maslahi kwa taifa.. au kwa kuwa suala la katiba mpya halikuwa katika ajenda ya chama chako HAMMY-D.. Jifunze kuwa na busara some time

Huwezi mtu kila siku wewe ni kuleta personal attack every time... umetumia personal attack kitambo tangu uchaguzi wa 2010 ukaona chadema walivyoongeza wabunge na madiwani.. umeleta personal attack kwa dr slaa ukaona ulivyopoteza viti vya udiwani kadhaaa,.. ya juzi arusha umeshasahau.... halafu wewe ndio mchumi
 
Kweli mkuu, kama CHADEMA ikiendelea kulea watu aina ya Dr Slaa basi kitakuwa sio chama cha siasa bali ni ghala la kulea wazee.

Hofu kuu ya Slaa sasa hivi ni kustaafu, lakini hilo haliepukiki hasa baada ya kuwa dhahiri kwamba hawezi tena kumudu majukumu ya ofisi ya Katibu wa Chama Taifa...
 
Jiulize Tumaini Makene, Molemo na MUNGI wako wapi?!

kumbe unawajui it means unajua kazi zao watakuja na habari kamili sio kama hizi za kukurupuka ili ujaze post humu au ndo ile theory yenu THE MORE YOU WRITE THE MORE YOU PAID.
 
Watanzania pole zetu.. kama mpaka dakika hii bado tunawatu wa dizaini za wakina Mwigulu (HAMMY-D) anayejifanya msomi yeye kuchwa ni chadema tu chadema hv mara vile... halafu anaona kinachofanywa na chadema na Mashirika mbalimbali katika kutafuta maoni ya katiba mpya toka kwa wananchi kwa ajili ya mustakabali wa taifa letu lijalo kama ni suala dogo hivi lisilo na maana ... inasikitisha kwa kweli ndio maana ni kasema,,,,,,,,,,,,,,,, kwa kutumia viongozi wengi tulionao serikalini na bungeni kuwa ni sample tosha ya jinsi watanzania tulivyo.... ndio maana nchi haiendeleei kila jambo mtu analeta ushabiki wa simba na yanga hata kwenye jambo la maslahi kwa taifa.. au kwa kuwa suala la katiba mpya halikuwa katika ajenda ya chama chako HAMMY-D.. Jifunze kuwa na busara some time

Huwezi mtu kila siku wewe ni kuleta personal attack every time... umetumia personal attack kitambo tangu uchaguzi wa 2010 ukaona chadema walivyoongeza wabunge na madiwani.. umeleta personal attack kwa dr slaa ukaona ulivyopoteza viti vya udiwani kadhaaa,.. ya juzi arusha umeshasahau.... halafu wewe ndio mchumi

kinachofanywa na chadema na NGO zingine kwa sasa ni kwa faida ya taifa zima.. uwe muelewa sometime.. siyo kujifanya muelewa wa kila kitu.. kazi unayoiweza kwa sasa labda ni hii tu....View attachment 107531




kupata kwako daraja la kwanza la uchumi wako umesaidia nii taifa???... unasikitisha sana kijana

Kwanza mimi sio Mwigulu ila mahusiano kati yangu na Mwigulu ni kwamba; he's my role model and inspirational leader.

Jambo lingine, hivi unajua kinacho fanywa na CHADEMA huko mikoani au na wewe ndio wale wale walaghaika?, kubwa hapa ni posho na sio kweli kwamba CHADEMA ina lengo la kukusanya maoni.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom