Dr. Slaa anastahili kuheshimiwa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
141,517
Reaction score
284,002
WanaJF na hasa wana CHADEMA wenzangu tuwe makini sana na maandishi yetu hapa jukwaani kuhusu huu ukimya wa DR SLAA, tafadhalini sana, DR ni kiongozi mkubwa sana anastahili kuheshimiwa, wale wenye uchungu na CHADEMA na tunaofahamu tulipotoka hatuwezi kumkashifu huyu mtu, kwa lipi hasa ?

Acheni kabisa jambo hilo, sikupenda kuandika jambo hili maana linaweza kuendeleza malumbano zaidi lakini nimelazimika kuliweka kama angalizo.
 
Hivi huyu mzee hakujua kuwa mbowe ni fisadi namba moja hapa Tanzania

Umma wa Watanzania utawahukumu Ccm October kwa kutengeneza mafisadi wanaopata sala ya toba Chadema
 

Hakika tuweke akiba ya maneno
 
Si wote wanaomtukana Dr. Slaa ni wanachadema. Wengine ni watu wa kitengo ili waonekane wanaCDM hawana shukrani. Kwa hiyo suala hili linatakiwa liache kufanyiwa kampeni ili muda ukifika Dr. Slaa ataweka wazi kama alivyosema.
 
Si wote wanaomtukana Dr. Slaa ni wanachadema. Wengine ni watu wa kitengo ili waonekane wanaCDM hawana shukrani. Kwa hiyo suala hili linatakiwa liache kufanyiwa kampeni ili muda ukifika Dr. Slaa ataweka wazi kama alivyosema.

Mungi na shardcore ni makamanda wenu halisi
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…