Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,517
- 284,002
Hivi huyu mzee hakujua kuwa mbowe ni fisadi namba moja hapa Tanzania
Umma wa Watanzania utawahukumu Ccm October kwa kutengeneza mafisadi wanaopata sala ya toba Chadema
Hao wageni waliokuja na Lowasa ndo wanamtusi!!
Wanajf na hasa wanachadema wenzangu tuwe makini sana na maandishi yetu hapa jukwaani kuhusu huu ukimya wa DR SLAA , tafadhalini sana , DR ni kiongozi mkubwa sana anastahili kuheshimiwa , wale wenye uchungu na cdm na tunaofahamu tulipotoka hatuwezi kumkashifu huyu mtu , kwa lipi hasa ? acheni kabisa jambo hilo.
Mbona wewe huna adabu
Hao wapata toba wanarudisha na hela walizoiba?
Nasikia ccm kumebaki na mapengo kama mahindi yaliyoliwa na fuko
Hela wameziacha ccm kwenye tanuri la ufisadi
Kama aliweza kuasi Kanisa atashindwa kuasi Chama?
Nasikia Chenge naye anakuja ?
Mlishawapeleka mahakamani walivyokua huko kwenu?
Wewe umekaribishwa CDM unaleta dharau kwa viongozi wako!!