Elections 2010 Dr Slaa Anaongoza, Tafiti and online polls

Haaaaaaaaaaaaaaah Eeeeeeeeeeeeeeeeeehaaaaaaaaaaaaah. Yaani Dk. Slaa aongoza kwenye kura za maoni. Sawa inawezekana ni kweli. Ndiyo anaongoza kwenye BLOGS ambako wachangiaji Tanzania hawazidi 500. Nenda vijijini uone kama kweli Slaa atapata kura. Ndiyo atapata Karatu, Arusha na kwa Wachaga kwingeneko Moshi. Lakini nikwambie Slaa haweZi kupata kura KagerA, mWANZA, sHINYANGA,mBEYA, zANZIBAR NA MAENEO MENGINE YOTE YA tANZANIA. yAANI JK atavunja rekodi ya kura katika uchaguZi huu. Atapata zaidi ya asilima 90. Kwanini asipate kura hizo wakati upinzani haujajipanga? Wapinzani wanapiga kelele tu, hawana kitu wala jipya. Ni kweli CCM ina matatizo. WanaCCM na wananchi wanajua hivyo. Lakini ni afdhali zimwi likujualo kuliko lile usilolijua. Watanzania ni watu makini. Hawawezi kuchagua chama ambacho mwelekeo wake ni kupendelea maeneo fulani (Arusha na Kilimanjaro) tu ya nchi. CHADEMA wabadilishe mbinu za uongozi. CHADEMA hii kamwe haitachukua nchi.

Kama ulikuwa unafuatilia 2005 JK alikuwa anaongoza kote, blogs, magazeti, vijiweni nk. then it was justified kwenye kura!!
 
Is change iminent? I am not quite sure. It is true the majority of Tanzanians want change, but not from better to worse. The opposition in Tanzania is not credible. They are selfish and childsh. The opposition is not organized. Simple and clear. Suala ni mabadiliko kweli lakini siyo mradi mabadiliko tu. Mimi kamwe siwezi kumpa kura Slaa. I am sure there are milions of Tanzanians who have the same 'mind' or 'opinion' as mine. It is a fact that there is a big problem within CCM and the whole leadership (in Tanzania) in general. Lakini what is the alternative? yaani alternative awe Dk Slaa na CHADEMA' Never on earth. Itabidi tuwe tayari kufungia wake zetu ndani, vinginevyo.... On a serious note we can't leave this country to the dogs. Tunahitaji mabadiliko kuongozwa na watu makini na wenye uchungu na nchi hii, wale wanaojali utu na ubinadamu na wasio wanafiki wala walafi. Hatutaki mabadiliko yaongozwe na watu waliovaa ngozi ya kondoo kumbe ni mambweha ambao wanachukulia matatizo ya sasa kama nyenzo ya kupata madaraka ili nao wafaidi kwa kuwa wana wivu dhidi ya wale wanaofaidi sasa.

Baadhi yetu watanzania hatuko serious kabisa. Tunakazana tu kupiga kelele kwa kuwa tunawaona wengine wanafaidi kwa hiyo na sisi tunataka tufaidi kama wanavyofanya hao wanaofaidi. Tunachukulia sisi kama ajira. Dk. Slaa anachukulia siasa kama ajira kama ilivyo kwa baadhi ya viongozi wetu wengi wa sasa. Siasa, in essence, siyo suala la ajira na kufaidi. Siasa ni suala la uongozi na 'wito' ili kuwaongoza wengine. Sasa sisi Watanzania tumechukulia kuwa siasa ni ajira na ndiyo maana hundrends of us tunataka kuwania ubunge na udiwani ili tuweze 'kula' na siyo kutumikia nchi au wananchi. IT IS PITTY.......TANZANIA MY BELOVED COUNTRY. Tumebaki kuwa taifa la wapiga kelele la walalamikaji, kama ninavyofanya mimi kwa blog hii na wengine wengi wanaotaka mabadiliko lakini bila dhamira ya kweli.[/QUOTE]

Acha uoga wewe!! Ila your age speak kwamba ndo kile kizazi cha mafisadi!
 
Your name tells all. Year 1954; it is now 2010; you're 56; but understand the majority of voters, and their lives affected more are under 40. So please don't estimate what they want; we are used to your theories old buddy; you like me, we have no more time; let us not be selfish; change is iminent!! Dr Slaa for President of URT

Is change iminent? I am not quite sure. It is true the majority of Tanzanians want change, but not from better to worse. The opposition in Tanzania is not credible. They are selfish and childsh. The opposition is not organized. Simple and clear. Suala ni mabadiliko kweli lakini siyo mradi mabadiliko tu. Mimi kamwe siwezi kumpa kura Slaa. I am sure there are milions of Tanzanians who have the same 'mind' or 'opinion' as mine. It is a fact that there is a big problem within CCM and the whole leadership (in Tanzania) in general. Lakini what is the alternative? yaani alternative awe Dk Slaa na CHADEMA' Never on earth. Itabidi tuwe tayari kufungia wake zetu ndani, vinginevyo.... On a serious note we can't leave this country to the dogs. Tunahitaji mabadiliko kuongozwa na watu makini na wenye uchungu na nchi hii, wale wanaojali utu na ubinadamu na wasio wanafiki wala walafi. Hatutaki mabadiliko yaongozwe na watu waliovaa ngozi ya kondoo kumbe ni mambweha ambao wanachukulia matatizo ya sasa kama nyenzo ya kupata madaraka ili nao wafaidi kwa kuwa wana wivu dhidi ya wale wanaofaidi sasa.

Baadhi yetu watanzania hatuko serious kabisa. Tunakazana tu kupiga kelele kwa kuwa tunawaona wengine wanafaidi kwa hiyo na sisi tunataka tufaidi kama wanavyofanya hao wanaofaidi. Tunachukulia sisi kama ajira. Dk. Slaa anachukulia siasa kama ajira kama ilivyo kwa baadhi ya viongozi wetu wengi wa sasa. Siasa, in essence, siyo suala la ajira na kufaidi. Siasa ni suala la uongozi na 'wito' ili kuwaongoza wengine. Sasa sisi Watanzania tumechukulia kuwa siasa ni ajira na ndiyo maana hundrends of us tunataka kuwania ubunge na udiwani ili tuweze 'kula' na siyo kutumikia nchi au wananchi. IT IS PITTY.......TANZANIA MY BELOVED COUNTRY. Tumebaki kuwa taifa la wapiga kelele la walalamikaji, kama ninavyofanya mimi kwa blog hii na wengine wengi wanaotaka mabadiliko lakini bila dhamira ya kweli.
 
Haaaaaaaaaaaaaaah Eeeeeeeeeeeeeeeeeehaaaaaaaaaaaaah. Yaani Dk. Slaa aongoza kwenye kura za maoni. Sawa inawezekana ni kweli. Ndiyo anaongoza kwenye BLOGS ambako wachangiaji Tanzania hawazidi 500. Nenda vijijini uone kama kweli Slaa atapata kura. Ndiyo atapata Karatu, Arusha na kwa Wachaga kwingeneko Moshi. Lakini nikwambie Slaa haweZi kupata kura KagerA, mWANZA, sHINYANGA,mBEYA, zANZIBAR NA MAENEO MENGINE YOTE YA tANZANIA. yAANI JK atavunja rekodi ya kura katika uchaguZi huu. Atapata zaidi ya asilima 90. Kwanini asipate kura hizo wakati upinzani haujajipanga? Wapinzani wanapiga kelele tu, hawana kitu wala jipya. Ni kweli CCM ina matatizo. WanaCCM na wananchi wanajua hivyo. Lakini ni afdhali zimwi likujualo kuliko lile usilolijua. Watanzania ni watu makini. Hawawezi kuchagua chama ambacho mwelekeo wake ni kupendelea maeneo fulani (Arusha na Kilimanjaro) tu ya nchi. CHADEMA wabadilishe mbinu za uongozi. CHADEMA hii kamwe haitachukua nchi.
Sio kweli kuwa atapata za Karatu tu...kuna sehemu nyingi tu vijijini wameichoka CCM na wanahitaji mabadiliko.
 
Your name tells all. Year 1954; it is now 2010; you're 56; but understand the majority of voters, and their lives affected more are under 40. So please don't estimate what they want; we are used to your theories old buddy; you like me, we have no more time; let us not be selfish; change is iminent!! Dr Slaa for President of URT

Is change iminent? I am not quite sure. It is true the majority of Tanzanians want change, but not from better to worse. The opposition in Tanzania is not credible. They are selfish and childsh. The opposition is not organized. Simple and clear. Suala ni mabadiliko kweli lakini siyo mradi mabadiliko tu. Mimi kamwe siwezi kumpa kura Slaa. I am sure there are milions of Tanzanians who have the same 'mind' or 'opinion' as mine. It is a fact that there is a big problem within CCM and the whole leadership (in Tanzania) in general. Lakini what is the alternative? yaani alternative awe Dk Slaa na CHADEMA' Never on earth. Itabidi tuwe tayari kufungia wake zetu ndani, vinginevyo.... On a serious note we can't leave this country to the dogs. Tunahitaji mabadiliko kuongozwa na watu makini na wenye uchungu na nchi hii, wale wanaojali utu na ubinadamu na wasio wanafiki wala walafi. Hatutaki mabadiliko yaongozwe na watu waliovaa ngozi ya kondoo kumbe ni mambweha ambao wanachukulia matatizo ya sasa kama nyenzo ya kupata madaraka ili nao wafaidi kwa kuwa wana wivu dhidi ya wale wanaofaidi sasa.

Baadhi yetu watanzania hatuko serious kabisa. Tunakazana tu kupiga kelele kwa kuwa tunawaona wengine wanafaidi kwa hiyo na sisi tunataka tufaidi kama wanavyofanya hao wanaofaidi. Tunachukulia sisi kama ajira. Dk. Slaa anachukulia siasa kama ajira kama ilivyo kwa baadhi ya viongozi wetu wengi wa sasa. Siasa, in essence, siyo suala la ajira na kufaidi. Siasa ni suala la uongozi na 'wito' ili kuwaongoza wengine. Sasa sisi Watanzania tumechukulia kuwa siasa ni ajira na ndiyo maana hundrends of us tunataka kuwania ubunge na udiwani ili tuweze 'kula' na siyo kutumikia nchi au wananchi. IT IS PITTY.......TANZANIA MY BELOVED COUNTRY. Tumebaki kuwa taifa la wapiga kelele la walalamikaji, kama ninavyofanya mimi kwa blog hii na wengine wengi wanaotaka mabadiliko lakini bila dhamira ya kweli.
If 1954 implies your age, then what you have written in the post I have just quoted doesnt represent this age. Only a child can dare to provoke in front of people that Dr Slaa's motive to join in politics is fiscal gain and employment. This kind of thinking is completely out of place and unacceptable. Whatever criteria you will use to evaluate the contestants, Slaa will never fall in a group of those who are either in politics for financial gain or for employment.

Lets remind ourselves on all what Slaa has been doing for the benefit of the nation: refer the list of corrupt men (list of shame) in the country who have been pondering the economy and wealth of this nation without considering the majority who are suffering in this country due to poverty. Despite the danger he was facing by unveiling those names, he didnt care as he was for the nation and the people. If it was not Dr. Slaa none of use would have been talking about UFISADI in this country.

Lets recall the 2009 budget in which Mkullo for unstated reason he added some more billions in the budget which had no specific use. Its Dr Slaa who revealed this extra funds added in the budget but not included in the parliament discussion. What were the other 300 MPs doing in the parliament? Why didnt they be the first to discover this?

Ok go back and recall the last bunge meeting which approved the election law. Who discovered the anomalies in the information written in the documents and those discussed and approved by bunge? Where were the other 300 mps? Also refer two months ago researches which revealed the most active person in the bunge. Who was that if not Dr Slaa?

If he was taking politics as an employment how dare would he devote his effort, time and money to rise up all those important issue that have had stake to the nation?

I am sure you are writing these as jokes, you are not serious at all. If you are serious, then you better consider yourself as having some childish way of thinking? And in that regard there is no relationship between your age and what you have just presented in this post. I am sorry to say so!
 
Hizo tafiti zao za mitandaoni zina cover aina gani ya watu.Ninachoongelea kila siku ni % ngapi ya wapiga kura wana uelewa?Na wala msijipe uhakika wa ushindi kwa kusikiliza yanayoongelewa vijiweni.Je mmejaribu kupitia sehemu ambazo hakuna network ya simu wala radio coverage na kusikia wasemayo watu wa huko? Tafiti hizo kwa mtazamo wangu ni kama za kujipa moyo na kushinda kifikra wakati hali halisi ni tofauti.Slaa atashinda vipi katika vituo ambavyo let s say 80%ya wapiga kura hawajui kusoma na kuandika.Na wengine wanatembea na mashati yamechanika migongoni ukiwauliza vipi mnamjua Dr Slaa wanakujibu (bise CCM doh mpaka aho tulachela CCM yatwinha bohulu)Hicho ni kinyamwezi cheye maana sisi CCM mpaka kifo CCM ilitupa uhuru.Sasa kwa hali hiyo upinzani umejiandaa vipi?Msipoliangalia hili mtatafuta mchawi. Na nchi yetu ambayo haina miundo mbinu ya kutosha tusiilinganishe na mataifa yaliyoendelea tafiti zitasema hivi na matokeo yatakuwa vile.Mkwere akiendelea kuchekelea nyumba nyeupe waTZ wakihangaikia japo mlo mmoja kwa siku.
 
Nilishasema hapa mara kadhaa, we have a "Dewey Defeats Truman" effect here.
 
Humu kuna wapuuzi wengi wasiona mabadiliko yanayotokea Tz, au hawataki kabisa kubadilika,

Hii kauli ya Msipo........, unamwambia nani? kama wewe ni Mtz ni lazima ushiriki kuleta mabadiliko yaani unawajibu wakuwaambia watanzania walioko gizani. Watumie message, wapigie simu. Mabadiliko ya kweli yataletwa na watanzania wote siyo kazi tu CHADEMA;

Wacha kusingizia vijijini, wameanza kubadilika. NI miji mingapi yenye wabunge wa upinzani.

CCM must go.
 
1954 is one of the OLD's thinking Childish; very nice label to the claiming man and ofcource might be among the elite corrupt strong man; he has to defend; but country first; Tanzania is dying; people dont know the future; and this is the opportunity and you will see in next few days when JK will be on wire stranded; because he will have nothing to present; and he will have nothing to cheat; guys will not be attending the paid conglomerations; and SLAA will still be rocking more. Vijinini ndio wamechagua wapinzani since then so wanaobeza watu wa vijijini hawaelewi wao ndio hawaelewi; talk about Tarime,Kigoma,Mpanda,Karatu,biharamulo to mentions few; here we go with Dr Slaa roocking with time
 
Your name tells all. Year 1954; it is now 2010; you're 56; but understand the majority of voters, and their lives affected more are under 40. So please don't estimate what they want; we are used to your theories old buddy; you like me, we have no more time; let us not be selfish; change is iminent!! Dr Slaa for President of URT

Is change iminent? I am not quite sure. It is true the majority of Tanzanians want change, but not from better to worse. The opposition in Tanzania is not credible. They are selfish and childsh. The opposition is not organized. Simple and clear. Suala ni mabadiliko kweli lakini siyo mradi mabadiliko tu. Mimi kamwe siwezi kumpa kura Slaa. I am sure there are milions of Tanzanians who have the same 'mind' or 'opinion' as mine. It is a fact that there is a big problem within CCM and the whole leadership (in Tanzania) in general. Lakini what is the alternative? yaani alternative awe Dk Slaa na CHADEMA' Never on earth. Itabidi tuwe tayari kufungia wake zetu ndani, vinginevyo.... On a serious note we can't leave this country to the dogs. Tunahitaji mabadiliko kuongozwa na watu makini na wenye uchungu na nchi hii, wale wanaojali utu na ubinadamu na wasio wanafiki wala walafi. Hatutaki mabadiliko yaongozwe na watu waliovaa ngozi ya kondoo kumbe ni mambweha ambao wanachukulia matatizo ya sasa kama nyenzo ya kupata madaraka ili nao wafaidi kwa kuwa wana wivu dhidi ya wale wanaofaidi sasa.

Baadhi yetu watanzania hatuko serious kabisa. Tunakazana tu kupiga kelele kwa kuwa tunawaona wengine wanafaidi kwa hiyo na sisi tunataka tufaidi kama wanavyofanya hao wanaofaidi. Tunachukulia sisi kama ajira. Dk. Slaa anachukulia siasa kama ajira kama ilivyo kwa baadhi ya viongozi wetu wengi wa sasa. Siasa, in essence, siyo suala la ajira na kufaidi. Siasa ni suala la uongozi na 'wito' ili kuwaongoza wengine. Sasa sisi Watanzania tumechukulia kuwa siasa ni ajira na ndiyo maana hundrends of us tunataka kuwania ubunge na udiwani ili tuweze 'kula' na siyo kutumikia nchi au wananchi. IT IS PITTY.......TANZANIA MY BELOVED COUNTRY. Tumebaki kuwa taifa la wapiga kelele la walalamikaji, kama ninavyofanya mimi kwa blog hii na wengine wengi wanaotaka mabadiliko lakini bila dhamira ya kweli.

He he heee! Ha ha haaa! Mwaka huu tutaona mengi. Hata viwete watatembea; na bubu watasema.

Dr Slaa for President!
 
Back
Top Bottom