Dr. Slaa Anafaa Kuwa Rais


Nilijua unataka kusema ANA VIGEZO au SIFA ZA KUWA RAIS kumbe ANAFAA?
 
tatizo umri umemtupa mkono

Umri si kigezo umri wake unatosha sana tena watu kama Dr slaa kwa umri wao ni dawa ya nchi hii. Dr slaa ni mti wa dawa uliokomaa kushimbwa dawa na kutibu magonjwa sugu. Karibu Dr slaa kipenzi cha watanzania.
 
Hana dhambi usimlinganishe na aliegeuza madhabau kuwa sehemu ya kugegeda amri 6

Hii imechuja kajipange upya Mingoi! Watanzania wanataka mabadiliko, wasipoyaona ndani ya ccm watayafafuta nje ya ccm (Mwalimu Nyerere)
 
Umri si kigezo umri wake unatosha sana tena watu kama Dr slaa kwa umri wao ni dawa ya nchi hii. Dr slaa ni mti wa dawa uliokomaa kushimbwa dawa na kutibu magonjwa sugu. Karibu Dr slaa kipenzi cha watanzania.

kuwa na umri mkubwa sio hekima ona jinsi mugabe pamoja na kuwa na umri mkbwa alivyoiharibu zimbabwe
 
kuwa na umri mkubwa sio hekima ona jinsi mugabe pamoja na kuwa na umri mkbwa alivyoiharibu zimbabwe

Ebu nikumbushe juzi Mugabe kachaguliwa kuwa kiongozi gani vile Africa? Dr slaa anatosha anayo dawa ya kutibu ufisadi na ccm mnamuogopa.
 
mkuu minda nakuunga mkono 101%. mh profesa dr slaa ndiye anafaa kuikomboa nchi hii kutoka kwenye lindi la ufisadi ulioasisiwa na ccm na kuipeleka kwenye ukombozi halisi na maendeleo endelevu. hongera prof slaa.
 
Last edited by a moderator:
Kama ni Rais wa Mapadri wastaafu sawa..Teh Teh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…