Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 34,637
- 37,959
Kukaa kimya wakati issue haijaenda popote ni kweli kuna tafsiri nyingi, lakini kama issue ipo kwenye process za kisheria, kukomenti chochote ni kuingilia uhuru wa mahakama... Tuache mahakama ifanye kazi yake. Ni viongozi wa CCM pekee ndo wanaweza wakakoment hata kitu kinachosubiri hukumuDah maoni tu mbona ishu ndogo hiyo wangetoa tu kukaa kimya kuna tafsiri nyingi