WanaJF tuko Malinyi katika Jimbo la Ulanga Magharibi. Dr Slaa sasa hivi anahutubia na kushangaa jinsi Bunge linavyoshindwa kutetea maliasili za taifa. Dr pia anaonyesha kitambulisho chenye rangi nyekundu anadai ni cha Ofisa Usalama wa Taifa aliyemfuata kumpa document muhimu za siri na ambaye amemruhusu kupiga copy kitambulisho chake na kumtaka asikitoe popote ila mahakamani tu. Dr amekumbushia jinsi hoja za Buzwagi na EPA zilivyohujumiwa Bungeni na leo hoja ya Msigwa nayo wanataka kuihujumu.
Kuna tatizo la mitambo kwa sasa Dr amekatiza muda si mrefu nitakamilisha story na picha nitawatumia soon. Keho operesheni itafanyika katika Kata za Mikumi
Kuna tatizo la mitambo kwa sasa Dr amekatiza muda si mrefu nitakamilisha story na picha nitawatumia soon. Keho operesheni itafanyika katika Kata za Mikumi