Fitinamwiko
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 4,803
- 1,419
" Umoja wa vyuo vikuu vikubwa nchini humo" kama John Hopkins, Havard, Stanford, Penn State, UC, TU, VT GT,BU nk, Dr. Slaa hakukanyaka bali alikwenda Stamford ambayo ni ndogo na ipo nje ya mji. Hakuna kitu kinachoitwa "uwanja wa ndege Marekani" aliyeandika hii habari kuna uwezekano mkubwa haijui Marekani au ni mshabgiliaji
I agree with you, foolish mind, foolish age, fooling picture and foolish commentsFoolish mind in foolish age
Hapo kachemka wasitoe misaada ya pesa na watu wao wakale wapi? Unaipa msaada nchi pesa halafu unaleta watu wako waje kuzibomolea huku kama wasimamizi wa hizo pesa na hayo uliyotolea msaada.Misaada ya pesa haiji kukoma ng`o.Na ambao hataki ikomeshwe kama hajui ni hao wanaotoa wenyewe.Hiyo hotuba aliyotoa ni mwiba kwa CHADEMA.Hawajaangalia wanaowahutubia huwa wanapenda nini.Saa hii watakuwa wamejifungia ndani wanaichambua kama karanga.Take it from me CHADEMA isahau misaada ya fedha toka kwenye nchi hizo walikohutubia.CHADEMA misaada ya fedha toka nje ikipungua wasishangae hotuba zao zimewaponza.
Njia ya waongo fupi.
I agree with you, foolish mind, foolish age, fooling picture and foolish comments
Mahakama ya kadhi iliondolewa na mkristo itarudishwa na mkristo,LOWASA au MEMBE.ZENJI iliachwa,KENYA iliachwa na Katiba yao mpya imeipa nguvu zaidi.tunajua mupo wengi maofisini na kwanini JK kashindwa,Umoja'TZ ni muhimu zaidi,sisi tunazidisha ibada na subra.kama itapatikana ni kwa maridhiano ya wote isiwe kama fadhila au kuturidhisha.
Nimejaribu kupitapita mitaani japo nisikie wapiga kura wakiingolea hii ziara ya dr,lakini sijapata hata mmoja.
Mtaa wa Lumumba waongelew ziara ya Slaa? Unachekesha...
Read between the lines. Kumfananisha na nyerere si amekufanyia nini, ila angalia kwa makini hoja zake zinafanana na zile za baba wa Taifa.
Alhaji Dr. Kikwete leo ameshiriki KUUMEGA MKATE katika MISA TAKATIFU ya kumwombea Mwenyeheri BABA WA TAIFA LA TANZANIA.
Alhaji Kikwete ameungama leo dhambi zake mbele ya Mhashamu Baba Askofu Ngalalekumtwa.
Alhaji Kikwete kwa unyenyekevu mkubwa ameshiriki misa takatifu kwenye KANISA KATOLIKI.
Alhaji Kikwete LEO ameshiriki kusema' Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho mtakatifu'
Vipi Padri Slaa ameshawasili au amekosa ndege kwa kuchelewa kuamka.Alhaji Dr. Kikwete leo ameshiriki KUUMEGA MKATE katika MISA TAKATIFU ya kumwombea Mwenyeheri BABA WA TAIFA LA TANZANIA.
Alhaji Kikwete ameungama leo dhambi zake mbele ya Mhashamu Baba Askofu Ngalalekumtwa.
Alhaji Kikwete kwa unyenyekevu mkubwa ameshiriki misa takatifu kwenye KANISA KATOLIKI.
Alhaji Kikwete LEO ameshiriki kusema' Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho mtakatifu'
Acha UDINI mpuuzi wewe.
Vipi Padri Slaa ameshawasili au amekosa ndege kwa kuchelewa kuamka.
Achananae huyu msukule hayo ndio aliyokuwa anakalilishwa na Padri Sixtus Kimaro viwanja vya chuo kikuu.Acha UDINI mpuuzi wewe.
Hapo kachemka wasitoe misaada ya pesa na watu wao wakale wapi? Unaipa msaada nchi pesa halafu unaleta watu wako waje kuzibomolea huku kama wasimamizi wa hizo pesa na hayo uliyotolea msaada.Misaada ya pesa haiji kukoma ng`o.Na ambao hataki ikomeshwe kama hajui ni hao wanaotoa wenyewe.Hiyo hotuba aliyotoa ni mwiba kwa CHADEMA.Hawajaangalia wanaowahutubia huwa wanapenda nini.Saa hii watakuwa wamejifungia ndani wanaichambua kama karanga.Take it from me CHADEMA isahau misaada ya fedha toka kwenye nchi hizo walikohutubia.CHADEMA misaada ya fedha toka nje ikipungua wasishangae hotuba zao zimewaponza.
Huyo shetani lazima atakuwa ni ndugu yake.Amepitia Maka Kumrushia jiwe Sheikh-twan