Chris Lukosi
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 4,583
- 2,947
Ndugu zanguni,
Napenda kuwauliza wanajamvi hapa, Hivi Dr alikwenda kusomea Urais Marekani?
Kama ni kweli, ni nani aliemchagua kuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema?
Nawaomba makamanda mjiulize mara mbili kabla hamjaendelea kukisapoti hiki chama kinachojiita cha demokrasia, kwani demokrasia hupatikana kwa uchaguzi huru na wahaki na hapo ndio atakaechaguliwa atakuwa amechaguliwa na watu kwa ajili ya watu sio kuchaguliwa na mtu kwa ajili ya kikundi.
Pamoja na kuwa Chadema ina watu wachache wenye sifa za uongozi lakini naamimi wako zaidi ya wawili ambao ni bora kuliko Slaa ndani ya chama,
TUNDU LISU angefaa zaidi na angekubalika zaidi kuliko Dr lakini tatizo ni kabila lake...
JITAMBUE!
Napenda kuwauliza wanajamvi hapa, Hivi Dr alikwenda kusomea Urais Marekani?
Kama ni kweli, ni nani aliemchagua kuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema?
Nawaomba makamanda mjiulize mara mbili kabla hamjaendelea kukisapoti hiki chama kinachojiita cha demokrasia, kwani demokrasia hupatikana kwa uchaguzi huru na wahaki na hapo ndio atakaechaguliwa atakuwa amechaguliwa na watu kwa ajili ya watu sio kuchaguliwa na mtu kwa ajili ya kikundi.
Pamoja na kuwa Chadema ina watu wachache wenye sifa za uongozi lakini naamimi wako zaidi ya wawili ambao ni bora kuliko Slaa ndani ya chama,
TUNDU LISU angefaa zaidi na angekubalika zaidi kuliko Dr lakini tatizo ni kabila lake...
JITAMBUE!