Elections 2010 Dr. Slaa akiingia Ikulu viongozi wabovu wasamehewe?

ZLATAN

Senior Member
Oct 5, 2010
150
18
NDUGU ZANGU WA-TZ, SITOCHOKA KUTOA DUKU DUKU LANGU JUU YA KIONGOZI HUYU MUMTAKAE NYINYI.

NAJUA WENGI MTACHUKIZWA, LAKINI HII NI HAKI YANGU YA MSINGI YA KIKATIBA, HIVI KIONGOZI MWENYE VISASI KAMA HUYU WA NINI? AU TAARIFA HII MMEIFUMBIA MACHO NA MASIKIO KWA MAKUSUDI?

HUYU SLAA MNAEDHANI ATAKUWA RAIS, NDIYE ALIYEMCHIMBIA MKWARA NDUGU MWAKIPESILE.

KAMA NDOTO ZAKE ZA KUINGIA IKULU ZILIVYOMTUMA, AKAAMUA KUMCHIMBIA MKWARA KWA KUONA NI KIKWAZO KWAKE.

NNA MASHAKA SI MWKIPESILE TU ATAKAYETAFUTA PA KUPITA, WATANZANIA LUKUKI WATAKIONA KWA UFEDHULI ATAKAOUFANYA.

MPAKA WALOM-SUPPORT KATIKA JF WATAJUTA ILA ITAKUWA TOO-LATE.:nono:

LAKINI WADAU WA JF MSIOGOPE, KAKA/BABA MDOGO/MJOMBA 'ENU HATOINGIA IKULU.

KIKWETE NDIO CHAGUO LA WA-TZ WENGI.

CHAGUA CCM, CHAGUA KIKWETE.
 
NDUGU ZANGU WA-TZ, SITOCHOKA KUTOA DUKU DUKU LANGU JUU YA KIONGOZI HUYU MUMTAKAE NYINYI.

NAJUA WENGI MTACHUKIZWA, LAKINI HII NI HAKI YANGU YA MSINGI YA KIKATIBA, HIVI KIONGOZI MWENYE VISASI KAMA HUYU WA NINI? AU TAARIFA HII MMEIFUMBIA MACHO NA MASIKIO KWA MAKUSUDI?

HUYU SLAA MNAEDHANI ATAKUWA RAIS, NDIYE ALIYEMCHIMBIA MKWARA NDUGU MWAKIPESILE.

KAMA NDOTO ZAKE ZA KUINGIA IKULU ZILIVYOMTUMA, AKAAMUA KUMCHIMBIA MKWARA KWA KUONA NI KIKWAZO KWAKE.

NNA MASHAKA SI MWKIPESILE TU ATAKAYETAFUTA PA KUPITA, WATANZANIA LUKUKI WATAKIONA KWA UFEDHULI ATAKAOUFANYA.

MPAKA WALOM-SUPPORT KATIKA JF WATAJUTA ILA ITAKUWA TOO-LATE.:nono:

LAKINI WADAU WA JF MSIOGOPE, KAKA/BABA MDOGO/MJOMBA 'ENU HATOINGIA IKULU.

KIKWETE NDIO CHAGUO LA WA-TZ WENGI.

CHAGUA CCM, CHAGUA KIKWETE.


pongezi kwako hatutaki Rais mwenye visasi.Hizo ni kampeni za vitisho. Ndio maana nasema afadhali ya Dr Kikwete
 
Ndiyo, wale wachafu wote itabidi watafute pa kwenda kama si pa kupelekwa na serikali mpya. Dr. anaonesha atakavokuwa siriaz na kazi ya kuongoza. Hatakubali mauzauza ya katika utwala wake. Na huyu ndiye kiongozi tutayemtaka; atakayerudisha heshima ya taifa letu na uwajibikaji.
 
Yeah,

If you are one of the fisadis, both, in misuse of power, OR misappropriation of our tax money, find a place and dig yourself in because we are coming for you. AND, there are many of those in this country. The money we recover will be funding our free health and education programmes.
 
NDUGU ZANGU WA-TZ, SITOCHOKA KUTOA DUKU DUKU LANGU JUU YA KIONGOZI HUYU MUMTAKAE NYINYI.

NAJUA WENGI MTACHUKIZWA, LAKINI HII NI HAKI YANGU YA MSINGI YA KIKATIBA, HIVI KIONGOZI MWENYE VISASI KAMA HUYU WA NINI? AU TAARIFA HII MMEIFUMBIA MACHO NA MASIKIO KWA MAKUSUDI?

HUYU SLAA MNAEDHANI ATAKUWA RAIS, NDIYE ALIYEMCHIMBIA MKWARA NDUGU MWAKIPESILE.

KAMA NDOTO ZAKE ZA KUINGIA IKULU ZILIVYOMTUMA, AKAAMUA KUMCHIMBIA MKWARA KWA KUONA NI KIKWAZO KWAKE.

NNA MASHAKA SI MWKIPESILE TU ATAKAYETAFUTA PA KUPITA, WATANZANIA LUKUKI WATAKIONA KWA UFEDHULI ATAKAOUFANYA.

MPAKA WALOM-SUPPORT KATIKA JF WATAJUTA ILA ITAKUWA TOO-LATE.:nono:

LAKINI WADAU WA JF MSIOGOPE, KAKA/BABA MDOGO/MJOMBA 'ENU HATOINGIA IKULU.

KIKWETE NDIO CHAGUO LA WA-TZ WENGI.

CHAGUA CCM, CHAGUA KIKWETE.


Hii ni timu ya Malaria sugu au??
chagua Dr.Slaa, chagua chadema kwa kukomesha mafisadi wanao taka kuonewa huruma huku wana wanyonya watanzania!!

Muulize JK Babu seya yuko wapi???????????kwanini???
 
NDUGU ZANGU WA-TZ, SITOCHOKA KUTOA DUKU DUKU LANGU JUU YA KIONGOZI HUYU MUMTAKAE NYINYI.

NAJUA WENGI MTACHUKIZWA, LAKINI HII NI HAKI YANGU YA MSINGI YA KIKATIBA, HIVI KIONGOZI MWENYE VISASI KAMA HUYU WA NINI? AU TAARIFA HII MMEIFUMBIA MACHO NA MASIKIO KWA MAKUSUDI?

HUYU SLAA MNAEDHANI ATAKUWA RAIS, NDIYE ALIYEMCHIMBIA MKWARA NDUGU MWAKIPESILE.

KAMA NDOTO ZAKE ZA KUINGIA IKULU ZILIVYOMTUMA, AKAAMUA KUMCHIMBIA MKWARA KWA KUONA NI KIKWAZO KWAKE.

NNA MASHAKA SI MWKIPESILE TU ATAKAYETAFUTA PA KUPITA, WATANZANIA LUKUKI WATAKIONA KWA UFEDHULI ATAKAOUFANYA.

MPAKA WALOM-SUPPORT KATIKA JF WATAJUTA ILA ITAKUWA TOO-LATE.:nono:

LAKINI WADAU WA JF MSIOGOPE, KAKA/BABA MDOGO/MJOMBA 'ENU HATOINGIA IKULU.

KIKWETE NDIO CHAGUO LA WA-TZ WENGI.

CHAGUA CCM, CHAGUA KIKWETE.

It is a mark of an educated mind to be able to entertain a thought without accepting it!NANI ASIYE KUWA NA VISASI?
 
Hii ni timu ya Malaria sugu au??
chagua Dr.Slaa, chagua chadema kwa kukomesha mafisadi wanao taka kuonewa huruma huku wana wanyonya watanzania!!

Muulize JK Babu seya yuko wapi???????????kwanini???

Kuna watu humu wametumwa na wengi wao wamejiunga kati ya September na sasa, wote wanafana wanataka kumwaga sumu ambazo kwa bahati nzuri au mbaya kwa watz wameshazishitukia....
 
Ukweli unabaki pale pale. Kama kuna anaye faidika na Uzembe wa serikali ya sasa kwa namna moja au nyingine, kutokana na uzumbe wa viongozi waliopo, hatamchagua Dr. Slaa.
Wale wote waliochoshwa na serikali hii, na wapenda maendeleo watamchagua Slaaa.
 
NDUGU ZANGU WA-TZ, SITOCHOKA KUTOA DUKU DUKU LANGU JUU YA KIONGOZI HUYU MUMTAKAE NYINYI.

NAJUA WENGI MTACHUKIZWA, LAKINI HII NI HAKI YANGU YA MSINGI YA KIKATIBA, HIVI KIONGOZI MWENYE VISASI KAMA HUYU WA NINI? AU TAARIFA HII MMEIFUMBIA MACHO NA MASIKIO KWA MAKUSUDI?

HUYU SLAA MNAEDHANI ATAKUWA RAIS, NDIYE ALIYEMCHIMBIA MKWARA NDUGU MWAKIPESILE.

KAMA NDOTO ZAKE ZA KUINGIA IKULU ZILIVYOMTUMA, AKAAMUA KUMCHIMBIA MKWARA KWA KUONA NI KIKWAZO KWAKE.

NNA MASHAKA SI MWKIPESILE TU ATAKAYETAFUTA PA KUPITA, WATANZANIA LUKUKI WATAKIONA KWA UFEDHULI ATAKAOUFANYA.

MPAKA WALOM-SUPPORT KATIKA JF WATAJUTA ILA ITAKUWA TOO-LATE.:nono:

LAKINI WADAU WA JF MSIOGOPE, KAKA/BABA MDOGO/MJOMBA 'ENU HATOINGIA IKULU.

KIKWETE NDIO CHAGUO LA WA-TZ WENGI.

CHAGUA CCM, CHAGUA KIKWETE.
Si Mwakipesile tu hata wewe kama ni Fisadi anza kutafuta pa kwenda.
 
Ninavyofahamu mie ni kuwa, Mwakipesile alifanya NJAMA za kukatwa UMEME kwenye hotuba mbili za Dr. Slaa huko Mbeya. Hii ilikuwa ni CHUKI ya waziwazi kwa kiongozi mkubwa namna hiyo au tuseme Muwakilishi wa Rais katika Mkoa wa Mbeya. Sasa unataka kusema Slaa mwezi ujao atataka kuwa na Muwakilishi wa namna hiyo?

Heri angelisema maneno mabaya lakini vitendo vyake viko safi. Ila yeye kama kawaida yake Mwakipesile, hasemi kitu ila ana KU-Do. Na P-Square wanaimba "If you do me, i do you......." Tanzania si Mabwege tena eti akugeuzie shavu la tatu, maana ukweli pia ni kuwa HALIPO.
 
Mwakipesile atakumbukwa kwa kuwageukia ndugu zake na kuwa kibaraka wa wahujumu uchumi wa mkoa wa Mbeya kwa kulipwa fadhila ya ukuu wa Mkoa. Watu wa Mbeya hawatakaa wamsamehe hadi aende kaburini. Na ikiwezekana akazikwe Dar kwani watu hata kaburi lake hawatataka kuliona.
Ni mfano mbaya sana wa wasaliti duniani!
Hata mimi siwezi kumsamehe mtu mbaya kama huyu....nashukuru Mungu siku zake zinahesabika........endapo tu Dr. Slaa atachukua nchi, Mwakipesile atapata shida sana, labda akaombe kazi ya ushauri kwenye makampuni ya kina Mulla mbalari!
 
Mimi sioni hoja yako ya msingi hapa!Nafiri kichwa chako kina matatizo jichunguze sawa sawa!
 
Nova Kambota Is Always A gentle Man Feel Proud To Visit His Site, call 0717-709618 or 0783-610926,email;novakamota@gmail.com,,,,,,,,,,,,,Kingine kitakachoimaliza CHADEMA ni swala la Dr slaa kuhubiri kwenye majukwaa kuwa atatoa elimu bure na afya bure lakini mtu huyuhuyu ni mwenyekiti wa bodi wa hospitali ya CCBRT ambayo inapewa shilingi bilioni moja kwa mwaka halafu bado haitoi huduma bure kwa asilimia mia moja haya hiki ni kiinimacho kingine cha CHADEMA.,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,

Umerudi? karibu utumegee hayo uliyotumwa kuyasema.
 
nova kambota is always a gentle man feel proud to visit his site, call 0717-709618 or 0783-610926,email;novakamota@gmail.com,,,,,,,,,,,,,kingine kitakachoimaliza chadema ni swala la dr slaa kuhubiri kwenye majukwaa kuwa atatoa elimu bure na afya bure lakini mtu huyuhuyu ni mwenyekiti wa bodi wa hospitali ya ccbrt ambayo inapewa shilingi bilioni moja kwa mwaka halafu bado haitoi huduma bure kwa asilimia mia moja haya hiki ni kiinimacho kingine cha chadema.,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,

nchi haiwezi linganishwa na taasisi ndugu....rasilimali zao ni tofauti kabisa....mfano wako ni duni sana....yeye kama mweneyekiti hahusiki na uendeshaji wa ccbrt hivo hawezi sema watoe huduma bure....kwa rasilimali zipi?...nchi hii ina rasilimali nyingi zaidi ya ahata baadhi ya wanaojiita wafadhili wetu....yes inawezekana huduma kupatikana bure
 
NDUGU ZANGU WA-TZ, SITOCHOKA KUTOA DUKU DUKU LANGU JUU YA KIONGOZI HUYU MUMTAKAE NYINYI.

NAJUA WENGI MTACHUKIZWA, LAKINI HII NI HAKI YANGU YA MSINGI YA KIKATIBA, HIVI KIONGOZI MWENYE VISASI KAMA HUYU WA NINI? AU TAARIFA HII MMEIFUMBIA MACHO NA MASIKIO KWA MAKUSUDI?

HUYU SLAA MNAEDHANI ATAKUWA RAIS, NDIYE ALIYEMCHIMBIA MKWARA NDUGU MWAKIPESILE.

KAMA NDOTO ZAKE ZA KUINGIA IKULU ZILIVYOMTUMA, AKAAMUA KUMCHIMBIA MKWARA KWA KUONA NI KIKWAZO KWAKE.

NNA MASHAKA SI MWKIPESILE TU ATAKAYETAFUTA PA KUPITA, WATANZANIA LUKUKI WATAKIONA KWA UFEDHULI ATAKAOUFANYA.

MPAKA WALOM-SUPPORT KATIKA JF WATAJUTA ILA ITAKUWA TOO-LATE.:nono:

LAKINI WADAU WA JF MSIOGOPE, KAKA/BABA MDOGO/MJOMBA 'ENU HATOINGIA IKULU.

KIKWETE NDIO CHAGUO LA WA-TZ WENGI.

CHAGUA CCM, CHAGUA KIKWETE.

Kawapandikize chuki watu wasiojua ukweli, hata mimi ningekuwa Rais mpenda haki na maendeleo ya nchi yangu ...jambo ambalo ningeanza nalo endapo ningeshika dola ni kufanya restructuring ya serikali; maana yeke ni hii; viongozi wote wasio waadilifu na ambao kuna ushahidi wa kutosha ya kwamba wamefanya ndivyo sivyo kwa kutumia nafasi zao wangechukuliwa hatua za kisheria mara moja! kwani mwakipesile ni nani hasa? Kama ni mjomba wako umetumwa uje upate support ya wana-JF hiyo sahau ndugu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom