payuka
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 829
- 127
Nova Kambota Is Always A gentle Man Feel Proud To Visit His Site, call 0717-709618 or 0783-610926,email;novakamota@gmail.com,,,,,,,,,,,,,Kingine kitakachoimaliza CHADEMA ni swala la Dr slaa kuhubiri kwenye majukwaa kuwa atatoa elimu bure na afya bure lakini mtu huyuhuyu ni mwenyekiti wa bodi wa hospitali ya CCBRT ambayo inapewa shilingi bilioni moja kwa mwaka halafu bado haitoi huduma bure kwa asilimia mia moja haya hiki ni kiinimacho kingine cha CHADEMA.,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
afu uliwahi dai umesoma Ilboru, mbona upembuzi wako hauakisi elimu elimu uliyo nayo?