ZLATAN
Senior Member
- Oct 5, 2010
- 150
- 18
Ndugu zangu wa-tz, sitochoka kutoa duku duku langu juu ya kiongozi huyu mumtakae nyinyi.
Najua wengi mtachukizwa, lakini hii ni haki yangu ya msingi ya kikatiba, hivi kiongozi mwenye visasi kama huyu wa nini? Au taarifa hii mmeifumbia macho na masikio kwa makusudi?
Huyu slaa mnaedhani atakuwa rais, ndiye aliyemchimbia mkwara ndugu mwakipesile.
Kama ndoto zake za kuingia ikulu zilivyomtuma, akaamua kumchimbia mkwara kwa kuona ni kikwazo kwake.
Nna mashaka si mwkipesile tu atakayetafuta pa kupita, watanzania lukuki watakiona kwa ufedhuli atakaoufanya.
Mpaka walom-support katika jf watajuta ila itakuwa too-late.
Lakini wadau wa jf msiogope, kaka/baba mdogo/mjomba 'enu hatoingia ikulu.
Kikwete ndio chaguo la wa-tz wengi.
Chagua ccm, chagua kikwete.
Najua wengi mtachukizwa, lakini hii ni haki yangu ya msingi ya kikatiba, hivi kiongozi mwenye visasi kama huyu wa nini? Au taarifa hii mmeifumbia macho na masikio kwa makusudi?
Huyu slaa mnaedhani atakuwa rais, ndiye aliyemchimbia mkwara ndugu mwakipesile.
Kama ndoto zake za kuingia ikulu zilivyomtuma, akaamua kumchimbia mkwara kwa kuona ni kikwazo kwake.
Nna mashaka si mwkipesile tu atakayetafuta pa kupita, watanzania lukuki watakiona kwa ufedhuli atakaoufanya.
Mpaka walom-support katika jf watajuta ila itakuwa too-late.
Lakini wadau wa jf msiogope, kaka/baba mdogo/mjomba 'enu hatoingia ikulu.
Kikwete ndio chaguo la wa-tz wengi.
Chagua ccm, chagua kikwete.