commonmwananchi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 3,377
- 1,957
Ndicho hicho kilichomtoa babu kutoka mtaa wa Ufipa kwenda kuwaeleza wananchi?.
Hii ni dharau kwa wananchi walioenda kumsikiliza.
Hana ajenda kwa sasa kilichobaki ni kudandia dandia ajenda.
Kwa hiyo anawaambia waichague CHADEMA kwa sababu Rais Kikwete hajatengua uteuzi wa baadhi ya mawaziri.
Kwa hiyo Rais Kikwete akitengua ndiyo wasiichague CHADEMA.
Hoja za kitoto.
Kuna wengine wakizeeka wanazeeka, pia na hekima na busara zao.
Ningeshangaa sana babu asingedandia hii hoja muflis, maana siku hizi kaishiwa, anatazama upepo na anadandia.
Babuuu, kalee kijukuu. Haya mambo huyaelewi tena ntashangaa zaidi kama hii hoja haijafanywa ya chademaa.
Ndicho hicho kilichomtoa babu kutoka mtaa wa Ufipa kwenda kuwaeleza wananchi?.
Hii ni dharau kwa wananchi walioenda kumsikiliza.
Hana ajenda kwa sasa kilichobaki ni kudandia dandia ajenda.
Kwa hiyo anawaambia waichague CHADEMA kwa sababu Rais Kikwete hajatengua uteuzi wa baadhi ya mawaziri.
Kwa hiyo Rais Kikwete akitengua ndiyo wasiichague CHADEMA.
Hoja za kitoto.
Kuna wengine wakizeeka wanazeeka, pia na hekima na busara zao.
Huja acha kujidhalilisha tu kwa hisia za udini na ukabila?!
Wewe ni miongoni mwa watu mnao shusha hadhi hili jukwaa.
Tantalila..
Kisu kimefika kwenye mfupa.
ingekuwa hoja muflis wazungu wasingewanyima hela mkabaki mnapumulia mashine kama ilivyo sasa .
Ndicho hicho kilichomtoa babu kutoka mtaa wa Ufipa kwenda kuwaeleza wananchi?.
Hii ni dharau kwa wananchi walioenda kumsikiliza.
Hana ajenda kwa sasa kilichobaki ni kudandia dandia ajenda.
Kwa hiyo anawaambia waichague CHADEMA kwa sababu Rais Kikwete hajatengua uteuzi wa baadhi ya mawaziri.
Kwa hiyo Rais Kikwete akitengua ndiyo wasiichague CHADEMA.
Hoja za kitoto.
Kuna wengine wakizeeka wanazeeka, pia na hekima na busara zao.
Ningeshangaa sana babu asingedandia hii hoja muflis, maana siku hizi kaishiwa, anatazama upepo na anadandia.
Babuuu, kalee kijukuu. Haya mambo huyaelewi tena ntashangaa zaidi kama hii hoja haijafanywa ya chademaa.
Ndicho hicho kilichomtoa babu kutoka mtaa wa Ufipa kwenda kuwaeleza wananchi?.
Hii ni dharau kwa wananchi walioenda kumsikiliza.
Hana ajenda kwa sasa kilichobaki ni kudandia dandia ajenda.
Kwa hiyo anawaambia waichague CHADEMA kwa sababu Rais Kikwete hajatengua uteuzi wa baadhi ya mawaziri.
Kwa hiyo Rais Kikwete akitengua ndiyo wasiichague CHADEMA.
Hoja za kitoto.
Kuna wengine wakizeeka wanazeeka, pia na hekima na busara zao.
Mke akifurahishwa na bwana ake usiku, akikutana na mashoga zake lazima amsifie kama unavyoona kwenye haya maelezo meengi ya mkuu molemo
Ndicho hicho kilichomtoa babu kutoka mtaa wa Ufipa kwenda kuwaeleza wananchi?.
Hii ni dharau kwa wananchi walioenda kumsikiliza.
Hana ajenda kwa sasa kilichobaki ni kudandia dandia ajenda.
Kwa hiyo anawaambia waichague CHADEMA kwa sababu Rais Kikwete hajatengua uteuzi wa baadhi ya mawaziri.
Kwa hiyo Rais Kikwete akitengua ndiyo wasiichague CHADEMA.
Hoja za kitoto.
Kuna wengine wakizeeka wanazeeka, pia na hekima na busara zao.
Hizo ni baraka za kuanza kutimiza tuliyoyaongea na kuyachukulia hatua siku nyingi. Kuwa sasa ni wakati wa kujitegemea bajeti yetu na si kutegemea misaada na Kikwete alishalianza hilo vizuri sana, hatushtuki hata chembe.
bwana Nepi naona umeanza kuchanganyikiwa baada ya serekali za mita kukuendea mrama poleni sana na kipindi hii hakuna kuchakachua
Hizo ulizoandika hapo juu ni hoja za kitoto na nna Mashaka na umri wako, kama sio below18yrs, Basi utakuwa unatumika kutetea serikali ya mr dhaifu. Watu kama ww ni janga la taifa.
anajidhalilisha na kipi?Huja acha kujidhalilisha tu kwa hisia za udini na ukabila?!
Wewe ni miongoni mwa watu mnao shusha hadhi hili jukwaa.
bwana Nepi naona umeanza kuchanganyikiwa baada ya serekali za mita kukuendea mrama poleni sana na kipindi hii hakuna kuchakachua