Mbinu za kitoto kabisa kama zile za kuweka kura kwenye mahopot ya vyakula!!!
ha ha halafu cha ajabu kuna mazezeta yataamini hii taarifa ya kizushi
Mbinu za kitoto kabisa kama zile za kuweka kura kwenye mahopot ya vyakula!!!
mkuu. dr.slaa anafanya siasa za kitoto sana. amezoea kudanganya misukule yake basi anaona watu wote ni wakudanganya tu, huyu mzee apimwe akili
Hakika Mkuu. Kama waliweza kujilipua wenyewe pale SOWETO, ARUSHA, iweje hilo la misumari? kama walijaribu kumuua zitto kwa sumu, watashindwaje kwa hilo? kama wameweza kumuua CHACHA WANGWE, watashindwaje kwa hilo? yapo matukio mengi ambayo chadema inahusika lakini inaruka vihunzi. Dr SLAA na vibaraka wake akina Makene wameona kuwa wameshindwa na sasa wanataka kutafuta sababu za kushindwa kwao
Hujuma siyo hiyo tu.Kuna nyingine ambayo CCm tumeifanya mwanzoni mwa kampeni,nayo ni kuchukua gesti zote hapo mjini ili CDM wakose kwa kufikia Chunguzeni kama kuna gesti ina nafasi hapo mjini na vitongoji vyake
Slaa ahujumiwe na nani? Hana jipya yule
si mnatumia chopa,chopa na misumar wap na wapi.slaa ana phd ya uongo na kutengeneza siasa za matukio
Acheni unyonge uvumilivu una Mwisho by JK.Huku Chadema ikiteka kampeni za uchaguzi mdogo jimbo la Kalenga tayari hujuma zimeanza kuonekana mapema leo
Watu wasiojulikana wametega misumari barabarani katika njia ya kuelekea eneo la Mwasa muda mfupi kabla msafara wa Dr Slaa na mgombea ubunge kupita eneo hilo.
Hata hivyo Dr Slaa amechelewa kumaliza mkutano eneo la kwanza hivyo kuchelewa kupita muda ambao wategaji wameweka mtego wao.
Kutokana na sababu hiyo gari nyingine iliyopita njia hiyo imeharibika kabisa matairi yake baada ya kukanyaga misumari hiyo iliyotegeshwa barabarani.
Source Tumaini Makene Afisa Habari Mkuu Chadema.
u.meh.ongwa shilingi ngapi wewe?
mji upi mkuu? Halafu hilo la kufikia Guest, kwani makamanda waendapo vitani huwa wanachagua pa kulala? au mmeenda kujivinjari tu kwa kigezo cha kampeni? Makamanda gani nyie walevi na wazinzi?
hao watakuwa ni chadema wenyewe wametega hiyo misumari kutafuta huruma ya wana kalenga, dr.slaa anafanya siasa za kitoto sana, akadanganye misukule yake.
Sana tu mkuu. Nadhani ameenda Iringa kwa madhumuni maalum na si kufanya kampeni za kistaarab. ameona kuwa muziki wa GODFREY WILLIAM MGIMWA akaona kuwa hawezi kuucheza
Hakika Mkuu. Kama waliweza kujilipua wenyewe pale SOWETO, ARUSHA, iweje hilo la misumari? kama walijaribu kumuua zitto kwa sumu, watashindwaje kwa hilo? kama wameweza kumuua CHACHA WANGWE, watashindwaje kwa hilo? yapo matukio mengi ambayo chadema inahusika lakini inaruka vihunzi. Dr SLAA na vibaraka wake akina Makene wameona kuwa wameshindwa na sasa wanataka kutafuta sababu za kushindwa kwao
Sana tu mkuu. Nadhani ameenda Iringa kwa madhumuni maalum na si kufanya kampeni za kistaarab. ameona kuwa muziki wa GODFREY WILLIAM MGIMWA akaona kuwa hawezi kuucheza
Slaa ahujumiwe na nani? Hana jipya yule
dr.slaa anafanya siasa za kilaghai