DR Slaa aeleza sababu ya CHADEMA kususa

DR Slaa aeleza sababu ya CHADEMA kususa

Watu wote na hata International observers wameona kasoro nyingi zilizojitokeza katika uchaguzi huu na hata walitahadharisha tume kuhusu kuchelewa kutoa matokeo, CHADEMA walichofanya ni njia nzuri kuonyesha kutoridhishwa na tume ya uchaguzi na hasa Katiba ya sasa na mapungufu yake mengi ambayo sidhani kama chama kilicho madarakani kingekubali chama kingine kiwe madarakani kwa katiba hiyohiyo.
 
Dr (PHD) your message is timely and strategic for our liberation!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Keep close watch and update kwa wanaCDM nje na ndani!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Nimemsikia John tendwa akikaririwa na gazeti moja kuwa kitendo walichiokifanya CHADEMA sio cha kiingwana. inaonekana miongoni mwa watu wabunge wa CHADEMA wameenda kintume na Katiba waliyoapa kuilinda, mimi ningependwa nijuliahwe ni kifungu gani cha Katiba ambao CHADEMA wameivunja? watalamu wa mabo ya katiba tunaomba msaada wenu
CHADEMA hawakurupuki....hakuna kifungu chochote cha sheria walichovunja..........
 
On this one CHADEMA is completely wrong take it or leave it.In the process they discredit themselves from the public eyes, whoever doesn't believe me wait till 2015. The sits won on parliament was a good success for CHADEMA but now with this move any wise man will tell you that is a wrong move!!

No!!! Any wise man will tell that was a right move period! It is the wrong move for Chadema but it was a right move for NEC to do what they did on Presidential Elections??? Give me a break here! We all saw what NEC did with the approval of the Presidaa, after all he is the one who appoints them, what do u expect? Instead of seeing Chadema as the bad ones then I think we should praise them coz they did what they had to do, that was the easy way to protest! And am telling u Tanzanian that is what we want us to be, the strong Tanzanian people who are able to stand for our rights. It is time we make them stop!! Viva Chadema!
 
Mungu wangu!!!!!!!!!Dr umenitonesha maumivu! kinacho fuata , tunadai maandamano ya kupinga tume ya kigaidi ya ccm, kura zetu hazikutangazwa, walitangaza kura zao!!

Tunadai maandamano ya amani.
 
Dr (PHD) your message is timely and strategic for our liberation!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Keep close watch and update kwa wanaCDM nje na ndani!!!!!!!!!!!!!!!!!

Those are powerful words that came up timely!!...Liberation wow!!

CCM need to go now, dont wait for 2015!!
 
nimeipenda hii CHUKUA CHAKO MAPEMA -CCM, CHAMA CHA MAJANGIRI, CCM- CHAMA CHA MAFISADI-CCM, -MOTO WA PIPOOOOOOZ UNAWAKA, NGUVU YA KIZAZI KIPYA MAWAZO MAPYA NA KASI HALISI -CHADEMA -HAKUNA UCHAWI KUPATA MADARAKA/UONGOZI-NANI ALIJUA SUGU ATAKUWA MBUNGE? HII CHADEMA NI FURSA SAWA KWA WOTE NA WATANZANIA TUNAWAKUBALI WAMEFAFANYA VEMA NA TUNAWAUNGA MKONO KUMPA MESSAGE JK, HABARI NDIYO HIYO MPAKA ULAYA -HAUWAWI MTU ILA MABADILIKO YANAKUJA KISAYANSI WAKITUCHUCHOKOZA NGUVU YA UMMA ITAWAANGUKIA, JAJI MANETO AMETAMKA WENGINE WATAFUATA, MWENDO MDUNDO -MNYIKA, SUGU, TUNDU, ZITTO, MDEE, SUZAN, SHIBUDA, WENJE, LEMA NA WENGINE WOTEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE TUNAWAKUBALI MNATISHA KAZENI UZI MPAKA KIELEWEKE
 
On this one CHADEMA is completely wrong take it or leave it.In the process they discredit themselves from the public eyes, whoever doesn't believe me wait till 2015. The sits won on parliament was a good success for CHADEMA but now with this move any wise man will tell you that is a wrong move!!

Kwa mtazamo wako KAULI ULIOIANDIKA HAPO INAPISHANA NINI NA YA MAKAMBA???????? kuwa Kikwete ndo rasilimali ya CCM, Kikwete ndo mtaji wa CCM.nk.nk

Mwisho wa siku akasema KIWETE atapata KURA ZAIDI YA 80.1%

Matokeo yake.... 61% ZA WIZI (kumbuka hiyo 61% kaiba je asingeiba??? tafakari ingawa wanan CCM wote ni watu wa kufikiria mambo KIJUU JUU kuwa wa kwanza kufikiria sana KUTOKA CCM labda utaheshimika).

Kwa hiyo mimi sioni ajabu ya matamshi ya NYIE VILAZA ILIHALI MNAJUA MATOKEO.

WAPUUZI WOTE NYIE... CCM
 
Nakubaliana na wewe ni upuuzi mtupu kumtakasa Kikwete wakati hatakasiki, amehusika moja kwa moja katika kuiagiza NEC ambayo iliwapora wananchi kura zao. NEC aliyoituma Kikwete ikapiga kura badala ya wananchi. Sijui kwa nini upuuzi kama huu unaletwa hapa

hapa ndo naposhindwa kuwaelewa hawa chadema, call a spade, a spade banaa achaneni na kuanza kujikomba na kupindisha maneno.
 
Hakika tuwatie Moyo wabunge wetu, naunga mkono


Huu ni upuuzi kabisa kwa wabunge wa chadema kutoka nje ya ukumbi

Kwa nini,Sababu wabunge hawa hawa wamekwisha pokea tsh milioni 200 kutoka serikali anayoiongoza Kikwete,kama wangechukua uamuzi wa kutopokea fedha hizo wangeeleweka kwa jamii,Je waliapa namna gani.

Tafadhari wabunge wa Chadema acha kuburutwa na baadhi ya viongozi wenu,tazama maslahi ya Taifa,Hiki chama kilianza vizuri vision yake lakini sasa nimeanza kuona tofauti.

binafsi nimechukizwa na uamuzi huo na maelezo ya dk slaa ktika face book ni mepesi mno yasiweza kuonesha ukweli wa tatizo
 
Slaa nitakuamini ukiwaambia wasusie na posho au ile strategy yako ya kukataa mishahara mikubwa wakaileta bungeni ijadiliwe maana wewe ulipiga kelele halafu ukawa unavuta kama KAWA teh teh teh
 
Ndugu zangu wakati wa ukombozi, niwakati ambao una madhira yake wapo watu ambao husimama mbele wa kiwakinga wenzao katika madhira hayo. Mfano leo hii CDM na viongozi wake mnapata shida sana, mnatukanwa, mnadharauliwa mnatafutwa hata muuawe kwa ajiri yangu na watoto wangu hakika nipo nyuma yenu nime kingwa nanyi.

Wabunge wetu mnajukumu kubwa sana la kuikomboa nchi hii wala msikate tamaa, sasa mapambano haya sio rahisi hivyo.....lakini tutashinda ninauhakika mkubwa sana ambaye haamini tuna come 2011 majibu yatapatikana
 
Sokomoko

Wewe niwahivyo hivyo..........huelewi hata hatma ya kizazi chako mungu akuhurumie
 
Huu ni upuuzi kabisa kwa wabunge wa chadema kutoka nje ya ukumbi

Kwa nini,Sababu wabunge hawa hawa wamekwisha pokea tsh milioni 200 kutoka serikali anayoiongoza Kikwete,kama wangechukua uamuzi wa kutopokea fedha hizo wangeeleweka kwa jamii,Je waliapa namna gani.

Tafadhari wabunge wa Chadema acha kuburutwa na baadhi ya viongozi wenu,tazama maslahi ya Taifa,Hiki chama kilianza vizuri vision yake lakini sasa nimeanza kuona tofauti.

binafsi nimechukizwa na uamuzi huo na maelezo ya dk slaa ktika face book ni mepesi mno yasiweza kuonesha ukweli wa tatizo

Mawazo yako ndiyo butu. Unataka kuhalalisha uchakachuaji ambao unatokana na taratibu mbovu zilizolenga kupora haki. Pole mimi wamenitimizia ahadi moja ya umakini wa kudai haki, uhuru na uwazi
 
Slaa nitakuamini ukiwaambia wasusie na posho au ile strategy yako ya kukataa mishahara mikubwa wakaileta bungeni ijadiliwe maana wewe ulipiga kelele halafu ukawa unavuta kama KAWA teh teh teh

Anaetoa ruzuku si JK. Pesa zinatokana na kodi zetu. Kama chadema hawastahili, basi wa ccm na hasa JK hawastahili kwa sababu ni zao la uchakachuaji sio kura.
 
Watu wengine wanaongea kama mabwege.ushabiki wa ki ccmcufnccrudptlp hatutaki humu.Dr.slaa amesema kwa lugha ya kifalsafa.kuwa kwa kila kipimo hatua waliyochukua chadema ni ya wastani mno,kati ya nyingi zinazowezekana.wajinga hawaelewi anasema nini,pamoja na yule anayesema wataenda watarudi.
 
Huu ni upuuzi kabisa kwa wabunge wa chadema kutoka nje ya ukumbi

Kwa nini,Sababu wabunge hawa hawa wamekwisha pokea tsh milioni 200 kutoka serikali anayoiongoza Kikwete,kama wangechukua uamuzi wa kutopokea fedha hizo wangeeleweka kwa jamii,Je waliapa namna gani.

Tafadhari wabunge wa Chadema acha kuburutwa na baadhi ya viongozi wenu,tazama maslahi ya Taifa,Hiki chama kilianza vizuri vision yake lakini sasa nimeanza kuona tofauti.

binafsi nimechukizwa na uamuzi huo na maelezo ya dk slaa ktika face book ni mepesi mno yasiweza kuonesha ukweli wa tatizo
Kumbe mlitarajia wachakachuke kwa 200M, pole wee. Hakuna kukaa kimya mpaka kieleweke. Mlidhani ndo kuwafumba midomo? Hizo fedha si za CCM ni kodi zetu wananch na kama mlizipata kwa kufadhiliwa mlipata huo ufadhili kwa hisani ya watanzania ambao tunawakilishwa na hawa viongozi wenye uchungu na uzalendo wa kweli na hii nchi.
POWER TO THE PEOPLE DAIMA
 
Back
Top Bottom