umekosea kidogo tu,mafisadi wawe makini maana dr is not a good man inapofika wakati wa kuwawajibisha mafisadi,na mda huo ukifika,watakiona cha moto.watanzania tumuombee dua mtetezi wetu dr slaa.Huko ujeremani huko kuna jambo,nilipata kusikia huyo jamaa alipeleka vijana hukohuko kuchukua mafunzo na waliporudi mambo hayako sawa nchi hii.
Watanzania kuweni macho sana THIS GUY IS NOT A GOOD MAN AT ALL.
Wakati flani huwa napata shida sana kuuelewa upeo wako wa kufikiri, haya mkuu!
Naomba kuwauliza hawa watetezi mgando wa CCM hapa jf kama wanatambua chama chao kina mahusiano ya ndani ya makundi Hamas, Al Shabab, Janjawid, Liqud, Interahamwe, na wamevuruga shabaha ya UAMSHO ya kudai Zanzibar yao na kuwa kikundi cha wahuni wanaotaka ukristu utoweke Zanzibar
Kwa ujumla ccm ina mawakala wengi wenye sifa mbaya zaidi duniani
Wamekuwa wakiwakodi kuendesha ujasusi wa nje na baadhi ya misheni za kimauaji za ndani ya nchi!
Acheni ushabiki msioujua mnatumwa kuja kuropoka bila kumjua vema anaewatuma!
hatutaki mambo ya historia hapa.tunaangaalia kwa sasa huyo mtu yukoje na anafaida gani kwa jamii,historia zina maana ccm.ndiyo maana wakamsimamiha mgombea ubunge wa arumeru kwa kuangalia histori,kwa sababu baba yake alikuwa mbunge,basi na mtoto lazima awe.tunao wengi wanafanya mambo kwa historia nyinyiemu,makamba,mwinyi na wengine wengi.historia inawaua nyinyiemu.shauri zenu.Hao vijana toka mafunzoni German,wengi wao walipata uongozi kuwakilisha mjegoni sasa tatizo background zao wengine walikua wezi wa magari,wavuta ndumu,wanautamaduni ,mafunzo ya mashemasi wa kijereman yameshindwa kuwabadili ili wawe na heshima ya uheshimiwa na wanapokua mjengoni wanadhani wako kilabuni ama kibera slum.kwa matusi na upayukaji ndo maana wilblood ameona aanze kuwinda kama digidigi wanasiasa kutoka sisiemu kwa kuwashawishi kujiunga nae ili kuziba vacuum ya wanasiasa wazoefu kwenye chama lake.
Namsikitikia katibu wetu, ukilinganisha alichokisomea na za wenzake utagundua kuwa ana hali ngumu sana huko.
Tunamtakia kila la heri.
Nenda Docta katetee wanyonge wa Tanzania
dhibitisha maneno yako kwa kutupatia vivid examples za missions ambazo zmewahi kufanywa na hivyo vikundi under ccm umbrella!
Kuliko yule Mwenyekiti wetu wa Magamba nasikia Anaenda kwenye sherehe huko Canada sijui kutakuwa na Pilau lazima apigilie lile gauni letu tunalolitumia wakati wa MaulidNamsikitikia katibu wetu, ukilinganisha alichokisomea na za wenzake utagundua kuwa ana hali ngumu sana huko.
Tunamtakia kila la heri.
Hiyo democracy imekuaje hadi akaiongelee ujeremani.au hao mabishop wa christian democratic part wanaenda kumpa mbinu nyingine za kuangusha serekali baada ya ile ya maandamano kufail na ya migomo ya waganga kutozaa matunda kwa haraka?.
Kwani hilo shirika la kikristo ndo wataalamu wa demokrasia duniani na kwanini wa msingleout slaa na sio wasira?.
Hilo shirika lina ajenda ya siri na nchii hii,walikua na nafasi ya kumualika cheo,seif sharifu hamad,mtikila ,etc WHY WILBLOOD
dhibitisha maneno yako kwa kutupatia vivid examples za missions ambazo zmewahi kufanywa na hivyo vikundi under ccm umbrella!
Kwani Madaktari wote ni Wakristo kwanini waislam wasigome wengi wao ni walimu halafu wana vyeti vya kufojiPia fununu zinasema hao vijana toka kupata mafunzo ujeremani wana mkono wao katika sakata la mgomo wa waganga na kwamba kuna kikundi cha waganga wana amri ya kuhakikisha hata kama wakipewa mshahara ya milioni ishirini bado wataendelea na moto huo huo MPAKA KIELEWEKE.
Huwa anapenda kuvizia ma Air hostess ndio wazurikwanini asiende kuchukua pale bilicanas kwenye bar ya mwenyekiti wetu??