zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
na nyanya wako
Mkikosa hoja mnaanza viroja, Tumewazowea.
na nyanya wako
Mbona hujaandika kaalikwa na nani?
kama angelikuwa lipumba hawachelewi kusema amechaguliwa kuwa mwenyekiti wa maprofessor wa uchumi duniani uamsho kwa kukuza mambo hawajambo
Mbona Mkuu kilasiku kiguu na njia Uingereza kwani huwa anaendaga kuleta mashoga?Nzuri dk Slaa. lkn Swala La USHOGA liishie huko huko germany
Yule Mwenyekiti Dhaifu inamaana kila anapoenda USA ambako ameenda huko zaidi ya Mbeya huwa anaenda kuwasaidia wakina Bush kuchomeka mirija yao?So popote pale hawa wakina chanselor bismark,ooh i mean angela§Company wanapoona kuna sehemu kuna watu wanaweka kauzibe kwenye vitegauchumi vyao duniani kote huanza kutafuta REPLACEMENT ili waendelee kuchomeka mirija yao.elewa watu kama angela merker,hillaly demon cliton etc wanatumiwa tu na big copration,bankers na indurstrialism kama front kufikia malengo yao.nao wanawatumia viongozi wa kisiasa toka nchi lengwa ili kupata access za resource zetu.
WAKITUMIA KIVULI KINACHOITWA DEMOKRASIA.
LOL.....Bado nashindwa kuelewa huyu Dr Slaa amealikwa kama nani kiongozi wa kisiasa au kama muumini wa dini ya kikristo? maana hata JK hualikwa makanisani hapo huwa vipi? nisaidieni maana mi mchanga sana ktk jukwaa hili.
Usiwe mvivu wa kufikiri mkubwa. Kama unaweza kutumia kompyuta yenye mtandao hapo ulipo ilitegemewa ungefanya utafiti kidogo tu online kujua KAS ni kitu gani, kisha ungekuja hapa na maswali mengine bila shaka very constructive...ofcourse it might have been constructive criticism kuliko hizo propaganda za kimagamba ambazo hata wanakijiji siku hizi wanazibeza lakini eti ninyi wasomi wa mjini tena wengine mnajiita a Great Thinker mnaziamini!!!!!!!
Lakini hata hivyo bila shaka umechangia kitu bila kuwa umesoma kwa makini, kitu ambacho kinapaswa kuwa aibu kubwa kwa mwanachama wa jukwaa hili. Soma kwa makini taarifa yote hiyo kwa umma. Ukiamua kuwa mvivu basi soma aya hii;
"Shirika la KAS linatimiza miaka 50 tangu lilipoanza rasmi kujihusisha na ukuzaji wa demokrasia, uhuru, amani maendeleo na haki. Kwa muda wote huo limekuwa likifanya kazi na wadau katika nchi mbalimbali duniani kutimiza malengo hayo tajwa."
Sasa masuala hayo yanawakilisha dini yako yoyote unayoifahamu au ni masuala ya msingi kabisa kwa maendeleo ya watu? Daktari anaiwakilisha CHADEMA kwenda kujadili maendeleo ya watu mkuu.
Labda mtuambie ninyi mnaotembeza bakuli kila siku huko Ujerumani, kuwaomba misaada na mikopo kusaidia bajeti hata ya kulipia mishahara watumishi wetu, jamaa wanapatia mikopo, misaada hiyo kwa sababu ya dini zenu eeeh!!!! Hatukujua. Tumejua sasa kutokana na maswali yenu kama haya!
So popote pale hawa wakina chanselor bismark,ooh i mean angela§Company wanapoona kuna sehemu kuna watu wanaweka kauzibe kwenye vitegauchumi vyao duniani kote huanza kutafuta REPLACEMENT ili waendelee kuchomeka mirija yao.elewa watu kama angela merker,hillaly demon cliton etc wanatumiwa tu na big copration,bankers na indurstrialism kama front kufikia malengo yao.nao wanawatumia viongozi wa kisiasa toka nchi lengwa ili kupata access za resource zetu.
WAKITUMIA KIVULI KINACHOITWA DEMOKRASIA.