Ufunuo
JF-Expert Member
- Jun 6, 2011
- 563
- 160
kwa jirani kuna ubwa kwa mharage ya mbeyanaona tumekluwa na rais wa kuhudhuria dhifa za kitaifa ugenini kila wiki as if nyumbani ugali hakuna, simtofautishi na mtoto mdogo anayekataa kurudi kwao ili mradi kaona kwa jirani kuna chakula kitamu anachokipenda kimepikwa, hivyo hulazimika kusubiri hadi wapakue