Kuna Jamaa anajiita Dr Samuel Mnzava, aliweka matangazo ya kazi na baadae ametumia watu email inayosomeka hivi:
Dear Sir/Madam,
Kindly be informed that we are a newly TCU registered universityin Tanzania located at Kimara Mwisho along Morogoro road - Dar es Salaam, on the due reason that we don't have our own staff we have decided to hire interview panel to sanction the recruitment exercise. For that reason you are asked to deposit the T.shilling twenty thousands a non refundable as interview fee to TANZANIAINTERNATIONAL UNIVERSITY at CRDB Bank, Account No: 0150315938200,
Please send/bring the copy of your Bank slip to TIU Main Campus- Kimara or email to: smnzava@yahoo.com
we thank you again for showing interest to work with TIU.
With Regards,
Dr. Mnzava, PhD
VICE CHANCELLOR - TIU
Swali la msingi la bishankara ni kuwa utapeli wa huyu dr uko wapi? maelezo yanayotolewa na wachangiaji wengi hayajibu swali hili. Ushauri wangu ni kuwa katika kuthibitisha kama kweli huyu dr ni tapeli ni vyema wahusika wote (walioitwa kwenye interview) wakafika pale TIU ili kuthibitisha kama hiki kitu kipo au la kwani kama ni uongo inaharibu sifa ya chuo. I believe chuo (TIU) kitakuwa kimepata taarifa hizi kupitia mtandao huu kwani si mara ya kwanza kuona post ya aina hii humu JF.
Na namba yake 0767-011344 iko hewani na nimatest kwa mpesa ni Dr. Samwel Mzava!!! Ila kweli ni uhuni!! Hebu wenye nafasi wafikishe hii issue polisi!! Je kuna Tanzania International University Kimara? Sijawahi kuisikia kamwe!! Ona jinsi ambavyo mtu anaweza kujisajili mpesa kwa jina fake na id fake!! Ha ha ha!!! Matapeli ni wasomi wa PhD kabisa!
Kakutapeli nini? Mbona unabwabwaja tu hapa. Tuhakikishie utapeli wake basi.
sidhani kama watakuwa wale wakina mzavas wa ifm!hivi huyo mzava ni yule wa ifm au ni mwingine?
Na namba yake 0767-011344 iko hewani na nimatest kwa mpesa ni Dr. Samwel Mzava!!! Ila kweli ni uhuni!! Hebu wenye nafasi wafikishe hii issue polisi!! Je kuna Tanzania International University Kimara? Sijawahi kuisikia kamwe!! Ona jinsi ambavyo mtu anaweza kujisajili mpesa kwa jina fake na id fake!! Ha ha ha!!! Matapeli ni wasomi wa PhD kabisa!