Dr. Ramadhani K. Dau amlilia Alhajj Mzee Kitwana Kondo

This eulogy is straight forward, there is no need to contradict yourself, take a deep breath,
It wasn't me. Myself nimemuelewa Dr. Dau vizuri. But the old man mohamed said he is always involved in all kind of history of the people's in this country who are in the book of history of the independence of Tanganyika''s after their death he took all response kuwa he kept the secrets of the dead person... thanks to Dr. Dau he knows very well about the dead man... so Mr proud ha's no chance to spread his lies...... we need to stop him because no one has right to change the history
 
Hujasema alivyokushika mkono Na kupewa Nssf baada ya kufukuzwa kazi bandari,pia hujaeleza uhusiano wako Na binti alokuwa analelewa Na kk baada ya baba take kufariki Na kk kumchukua make wa marehemu Na watoto wake ETI kuwalea,Na we we kwa kwendakwenda kwa kk ukamtamani huyo binti Na kumtaka kimapenzi bila aibu kuwa una mke.naishia hapo

Hayo eleza Wewe!

Chuki ni Kansa ya Akili!
 
Waislamu Wa nchi hii huwa siwaelewi .

Naona ni dizaini ya watu waishio na chuki mioyoni mwao.

Hasa Wa 'itikadi" Kali ubaguzi Wa wazi wazi ndio utamaduni wao.

Ni jambo la kusikitisha sana .

Angalia wanachoandika ama kukisema kwa mdomo utagundua tu kuna ka harufu ka udini ndani yake .

Wanaji-victimiZe.

Waonekane wanaonewa na kunyanyasa .

Wanataka historia iwabebe .

Wanapenda dezo .

Mbadilike wandugu .
 
Nilijua hauko mbali ila kwa taarifa yako hata akiwa hija dau alikuwa anatuma SMS kwa huyo binti,ni mfanyakazi exim Na ameolewa Na ndg flani anafanyakazi Nssf.naishia hapo

Historically humu, Hakuna Uzi uliomuhusu Dkt Dau hujawahi kuchangia kwa kumtusi!

Dau kishaondoka NSSF pigania vyeo ulivyohisi ulivikosa kwa uwepo wa Dkt maana hata alichokuacha Nacho pia kimekuponyoka!

Kitu ambacho huwezi na wengi wenu hamjui ni rahisi kumuua Dkt kuliko kum frustrate, kipindi kile mlivyopewa assignment ya kum frustrate mlifeli kweli kweli na mpaka waliowatuma walitambua hilo, vile ndivyo alivyoumbwa yaani ni 'all weather '
 
Waislamu Wa nchi hii huwa siwaelewi .

Naona ni dizaini ya watu waishio na chuki mioyoni mwao.

Hasa Wa 'itikadi" Kali ubaguzi Wa wazi wazi ndio utamaduni wao.

Ni jambo la kusikitisha sana .

Angalia wanachoandika ama kukisema kwa mdomo utagundua tu kuna ka harufu ka udini ndani yake .

Wanaji-victimiZe.

Waonekane wanaonewa na kunyanyasa .

Wanataka historia iwabebe .

Wanapenda dezo .

Mbadilike wandugu .

Mbona mpaka sasa huu uzi ndio kwanza una page mbili na maudhui yake ni Taazia ya Mzee Kitwana Kondo laki tayari Matusi dhidi ya Waislam yamejaa kwny comment zenu? Kwani huu uzi una ubaya gani? Halafu huoni aibu kusema Uislam umejaa chuki!!

Na Kama huu uzi utaendelea basi sehemu kubwa itakuwa Matusi dhidi ya Dau na Uislam wake !
 
Hujasema alivyokushika mkono Na kupewa Nssf baada ya kufukuzwa kazi bandari,pia hujaeleza uhusiano wako Na binti alokuwa analelewa Na kk baada ya baba take kufariki Na kk kumchukua make wa marehemu Na watoto wake ETI kuwalea,Na we we kwa kwendakwenda kwa kk ukamtamani huyo binti Na kumtaka kimapenzi bila aibu kuwa una mke.naishia hapo
Duh! Achana na hayo mambo Kiongozi.
 
Hujasema alivyokushika mkono Na kupewa Nssf baada ya kufukuzwa kazi bandari,pia hujaeleza uhusiano wako Na binti alokuwa analelewa Na kk baada ya baba take kufariki Na kk kumchukua make wa marehemu Na watoto wake ETI kuwalea,Na we we kwa kwendakwenda kwa kk ukamtamani huyo binti Na kumtaka kimapenzi bila aibu kuwa una mke.naishia hapo

Mkuu labda alitaka aongeze kudumisha undugu...mbona mnakaba mpaka penalti?
 
May all beings attain enlightenment.

Pole kwa Saku, pole kwa Kibibi, pole kwa familia.

Story za Mzee KK ni ndefu na nyingi. Nakumbuka Rais Mwinyi alivyohadithia kwamba alivyojiuzulu Uwaziri wa Mambo ya Ndani miaka ya mwanzo ya sabini kutokana na wazee kuuawa kwa kashfa za uchawi Shinyanga (Mwigulu kwa nini hajafuata mfano na kujiuzulu juu ya Kibiti?), basi Mzee Mwinyi akaondolewa kwenye nyumba ya serikali na kuwa na fadhaa kubwa.

Katika marafiki waliomsitiri vizuri sana wakati ule, nafikiri Mzee KK alikuwa wa kwanza. Kwa mujibu wa maneno yake mwenyewe Alhaj Ali Hassan Mwinyi.

Siku moja nilikuwa na Ndama mutoto ya Ng'ombe "Pedeshee" (wakati huo Ndama tu) mizungukoni Upanga baada ya shule chama kubwa Tambaza, basi Ndama kanishika mkono twende huku twende kule, safari kibao, Mi namdai Ndama hapo na yeye anazunguka mishemishe zake kutafuta hela, nikamwambia twende.

Tukaishia kwa Mzee KK mitaa miwili kutoka shule, Mtaa wa Mtitu kama sijakosea. Basi tumekaa ndani tunaongea nini, Mzee KK kaja nje huko na Benzi lake, amechakarika kafungia funguo za gari ndani ya Benzi. Ndama kutoka ndani na ujanja ujanja wake ule akatafuta waya wa kutundika nguo kujaribu kufungua kioo cha dirisha, lakini lile Benzi lilikuwa na kioo madhubuti. Mzee KK akawa na haraka zake akawa kukivunjilia mbali kile kioo cha Benzi.

Nikaona huyu Mzee mwisho.

May all beings attain enlightenment.
 
Nimependa nidhamu ya Wakati wa Mwl . Kamfukuza RC Dsm kwa kosa la kuitwa Msasani kwa Mwl na kuondoka baada ya kumkosa Mwalimu, 'ukiitwa na Bosi wako unaweza kujua Muda wa kuitwa sio wa kurudi toka kwny Wito'- Aksante Mzee KK
Bashite angeweza speed hiyo?

Nyerere naye muhuni. Wewe mtu unajua saa nne utakuwa kanisani, halafu utaenda kazini (Mkatoliki anafanya kazi Jumapili?) halafu umeita watu wakusubiri nyumbani tangu saa nne asubuhi? Mzee hakuheshimu muda wa watu.
 
Historically humu, Hakuna Uzi uliomuhusu Dkt Dau hujawahi kuchangia kwa kumtusi!

Dau kishaondoka NSSF pigania vyeo ulivyohisi ulivikosa kwa uwepo wa Dkt maana hata alichokuacha Nacho pia kimekuponyoka!

Kitu ambacho huwezi na wengi wenu hamjui ni rahisi kumuua Dkt kuliko kum frustrate, kipindi kile mlivyopewa assignment ya kum frustrate mlifeli kweli kweli na mpaka waliowatuma walitambua hilo, vile ndivyo alivyoumbwa yaani ni 'all weather '

Alipo Shinyanga_kwetu hakosekani celina wetu, wote wakiwa na lengo moja tu. By the way uzi unahusu jambo la huzuni na busara ingetufunza kuyasema mazuri tu na sio dhihaka, kejeli au matusi. Kweli chuki ni kansa ya akili. Sad !!
 
Bashite angeweza speed hiyo?

Nyerere naye muhuni. Wewe mtu unajua saa nne utakuwa kanisani, halafu utaenda kazini (Mkatoliki anafanya kazi Jumapili?) halafu umeita watu wakusubiri nyumbani tangu saa nne asubuhi? Mzee hakuheshimu muda wa watu.



Unajuaje labda aliwaita kwa ajili ya kupima Utii wao si kingine?

Baada ya hapo ndipo KK alijifunza ukiitwa na Bosi subiri hadi arudi Hata Kama hakuacha Maagizo yoyote
 
Alipo Shinyanga_kwetu hakosekani celina wetu, wote wakiwa na lengo moja tu. By the way uzi unahusu jambo la huzuni na busara ingetufunza kuyasema mazuri tu na sio dhihaka, kejeli au matusi. Kweli chuki ni kansa ya akili. Sad !!

Washamba sana Hawa watu!

Hii ni Taazia ya Mzee wetu KK sio Ma Ugomvi Yao na Dau lakin kila wakiona Jina la Dau lazima waje mbio mbio

Na wao si waandike Taazia za Wazee wao wa huko kwao Porini sijui Rujewa na Wangingombe Kwan Wazee wao hawafi?
 


Unajuaje labda aliwaita kwa ajili ya kupima Utii wao si kingine?

Baada ya hapo ndipo KK alijifunza ukiitwa na Bosi subiri hadi arudi Hata Kama hakuacha Maagizo yoyote
Kupima utii kwa kumvunjia mtu heshima ni ujinga. Ujinga huu serikali ya Nyerere ulikuwapo sana.

Mimi bosi wangu akiniita hivyo nitamuona amenivunjia heshima na wala si suala la utii.
 
Kupima utii kwa kumvunjia mtu heshima ni ujinga. Ujinga huu serikali ya Nyerere ulikuwapo sana.

Mimi bosi wangu akiniita hivyo nitamuona amenivunjia heshima na wala si suala la utii.

Hiyo yako ni akili ya 2017, Kulikuwa na Wanasheria kweli kweli Tena Mawakili Wasomi lakin tulikuwa tunakesha nao kwny Viwanja vya Wazi kusubiri Mwenge!

Wewe utakuwa Kijana sana hukuwahi kuishi katika Awamu ya Mwl Nyerere
 
Hiyo yako ni akili ya 2017, Kulikuwa na Wanasheria kweli kweli Tena Mawakili Wasomi lakin tulikuwa tunakesha nao kwny Viwanja vya Wazi kusubiri Mwenge!
Ni utumwa fulani hivi.

Kusubiri mtu mwisho dakika 30.

Tuko msibani najua, lakini msibani nako tunaomboleza na kuchogezana kwa stories, au siyo?

Nilipokuwa kijana nilikuwa mwingi wa habari, basi nikapangana na kidosho mmoja wa Harlem New York, mtoto African American matata, tukapangana tukutane mgahawa mmoja maarufu hapo baada ya kazi.

Basi mwenyewe nikajipanga nikafika hapo, dakika kadhaa kabla ya miadi. Shauku kubwa mtoto anakuja. Subiri, subiri na wewe, subiri, subiri na wewe, dakika 10, dakika 20, dakika 30, dakika 40. Nikaona ujinga huu.

Nikapiga kushoto kulia mpaka kituo cha treni 125th St. Napanda juu kuchukua treni, namuona kidosho anashuka upande wa pili, kapiga kikaptula mwenyewe, paja paja, toto toto. Lakini akawa kashakosa sifa tayari, hata sikutaka kumpigia mbinja.

Sasa mtu nimesamehe totoz hivyo kwa sababu ya kutoshika miadi halafu bosi aniweke sehemu masaa namsubiri?

Kwani mimi boi wa muhindi?
 
Back
Top Bottom