frema120
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 5,098
- 1,341
Utanukuu vipi kama husomi?
Lakini uongo mbaya ana semi za kwake.
Za kuambiwa....
Akili ya mbayuwayu....
kweli bana, jamaa ana misemi yake ya kimwananyamala sana, mara pesa za madafu n.k.
Juzi nilimsikia RC dar akimuita Prof. ukumbi mzima ulizima.