wanatamani
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 415
- 144
Wakati akihutubia bunge alituambia aliwahi kuulizwa angependa wa Tanzania wamkumbuke kwa lipi? Alijibu namnukuu " Napenda wanikumbuke kwa kuwatoa kuleeee na kuwafikisha hapa"
Ahsante Mh Dr Pro Kikwete hakika ulinena sahihi wala hukukosea UMETUFIKISHA HAPA. Narudia Ahsante .
Ila NAAMINI PIA HATAOISAHAU SIKU YA TAREHE 23 MAY 2015 Akiponena haya namnukuu
" Mwenyekiti amefungua Kikao cha NEC na ametoa statement kali sana imewaacha wajumbe na butwaa kubwa. Kwa ufupi, amesema yafuatayo:
1.Chama hakitamvumilia yeyote aliyevunja na anayevunja Kanuni na hakiwezi kujifanya hamna lolote lililotokea.-
2. Zama za kuamini kuwa CCM ikipitisha mgombea basi huyo ndio anakuwa Rais zimepitwa na wakati. Wana CCM ni wachache kuliko Watanzania wapiga kura. Hivyo tusichague kwa kujidanganya kwa kuwa aidha tunampenda sie au tunamuogopa. Wananchi hawatatuogopa hawatatuchagua
3. Chama hakitachagua kwa shinikizo la mtu yeyote bali kitasimamia misingi wala hakitamuogopa mtu. Chama kwanza mtu baadae.
4. Chama kinazo taarifa za wagombea Urais, waNEC na wapambe wao wanaofanya mambo ya ajabu na lazima kitachukua hatua.
5. Wananchi wana matarajio makubwa na CCM na hatuko tayari kuwaangusha." Mwisho wa nukuu .
HONGERA MH DR PROF JAKAYA MRISHO KIKWETE
Maamuzi yetu October
Ahsante Mh Dr Pro Kikwete hakika ulinena sahihi wala hukukosea UMETUFIKISHA HAPA. Narudia Ahsante .
Ila NAAMINI PIA HATAOISAHAU SIKU YA TAREHE 23 MAY 2015 Akiponena haya namnukuu
" Mwenyekiti amefungua Kikao cha NEC na ametoa statement kali sana imewaacha wajumbe na butwaa kubwa. Kwa ufupi, amesema yafuatayo:
1.Chama hakitamvumilia yeyote aliyevunja na anayevunja Kanuni na hakiwezi kujifanya hamna lolote lililotokea.-
2. Zama za kuamini kuwa CCM ikipitisha mgombea basi huyo ndio anakuwa Rais zimepitwa na wakati. Wana CCM ni wachache kuliko Watanzania wapiga kura. Hivyo tusichague kwa kujidanganya kwa kuwa aidha tunampenda sie au tunamuogopa. Wananchi hawatatuogopa hawatatuchagua
3. Chama hakitachagua kwa shinikizo la mtu yeyote bali kitasimamia misingi wala hakitamuogopa mtu. Chama kwanza mtu baadae.
4. Chama kinazo taarifa za wagombea Urais, waNEC na wapambe wao wanaofanya mambo ya ajabu na lazima kitachukua hatua.
5. Wananchi wana matarajio makubwa na CCM na hatuko tayari kuwaangusha." Mwisho wa nukuu .
HONGERA MH DR PROF JAKAYA MRISHO KIKWETE
Maamuzi yetu October