Dr Prof Kikwete TUTAKUMBUKA KWA HILI

Dr Prof Kikwete TUTAKUMBUKA KWA HILI

Kama maamuzi ya kijinga ya Kikwete anaposhikwa na tumbo la hedhi kwa mfano pale anapodai pesa za Escrow si pesa za umma, halafu wakati huo huo anawaambia TAKUKURU waendelee kuwachunguza walioficha pesa za escrow nchi za nje na wengine kununua properties katika nchi za US, Canada, UK, Australia n.k.na ikiwezekana waombe msaada kutoka nchi hizo.

CC: Tetty

Kwa Afrika aliweza yule Mama wa Liberia tu.Hawanwalioko CCM wakipewa vyeo tu basi.Yule mama wa Liberia alitafuta mwenyewe urais bila kupewa wala kuwezeshwa.Tunachotakiwa ni kupewa nafasi na si kuwezeshwa.Anayewezeshwa ni shida mwisho wa siku atarudi kulipa fadhila hawa akina Bi Mkora.
 
Sindano ya nyuki, Si dhani kama unatumia ustaarabu gani kuyaandika haya maneno yako,pia sidhani kama mzazi wako wakike kama yupo jamvini ukweli ni kwamba angeweza kukupa laana,ni sawa na kumtukana mama yako,japo ni siasa na ushabiki,na nisawa na kutukana wanawake wote,na ingalikuwa. Ni hivyo usemavyo basi kwa hayo usemayo ungekuwa wewe wa kwanza kutupwa sababu mama yako aliingia hedhi ulipo zaliwa au yawezekana wewe ulijambwa QUOTE=sindano ya nyuki;13257181]Madem hawastahl kuwa viongoz wa juu wakishkwa na tumbo la hedh wanakuwa na maamuz y kijinga sanaa![/QUOTE]
 
Mtu wa kumshukuru night makamu wa mwenyekiti bara Philip Mangula ndio aliyeivusha ccm kutoka wimbi la mafisadi papa waliotaka kukinajisi Chama na nchi yetu!
 
Back
Top Bottom