Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,590
- 8,718
Naunga mkono:Ndalichako alifanya kosa kubwa sana kwa kutumia formula ya zamani wakati wa mitihani mitau.Nikweli aliwafelisha.Mimi linapokuja suala la utendaji sina udini.Kama mtukaboronga kwanini bado yopo hapo NECTA?.Nadhani aachie ngazi mwenyewe.Ukweli ni ukweli tuu.Ndalichako alikosea.
Hivi hawa Waislamu zaidi ya Kusengenya Viongozi hawana kingine cha kuhubiri huko Misikitini? oh mara huyu katufelisha, mara mfumo kristo, mara sensa, mara kafir. Ukisikia mawaidha yao utashangaa jinsi wasivyokuwa na cha kufundishana zaidi ya chuki, mara wanaonewa na mengineyo. Ninaishi karibu na Msikiti yaani yanayohubiriwa huko huwezi amini ni kusanyiko la Waumini wa Mwenyezi Mungu.Jazba JAZBA,
Walikuwa hawajapokea maagizo toka Lumumba.pia waliogopa kukanyaga waya!hivi umewasikia waandamanaji kutoa kauli kuhusu mwangosi?
Hapo necta haihusiki. Kuna chombo kinachohusika na hilo...tafakariTunapopewa idadi ya watoto waliofaulu darasa la saba huku hawajui kusoma wala kuandika tunapanua midomo kwa mishangao ndiyo NeCta tunayoitaka?
Hilo neno mkuu, badala ya kuangalia maendeleo binafsi kiuchumi, fitna tu, Angalia Syria HAKUNA so called kafir, Lakini fitna at play wanauana wenyewe KWA wenyewe !!! Kazi kweli kweli eh mja waukweli, tufunue akili zetu
Siku zote tunalalamikia kwamba kuna wanazi ndani ya JF ambao wao adui yao mkubwa ni uislam na si CCM. Sijui kwa bahati mbaya au ni makusudi wanazi hao mara nyingi ni washabiki wa CDM (rejea hoja za mzalendoasilia kwenye thread nyingine). Sasa kwa Comment kama za mzalendoasilia unategemea tutakuwa wamoja!!. Wakuu tubadilike JF isije ikatafsiliwa kama kijiwe cha kudhihaki imani za watukosa la Ndalichako ni kuwa KAFIR, kwani mpango wetu ni kuhakikisha nafasi zote muhimu ndani ya nchi zinashikwa na watu wa DINI YETU!Tukimaliza Ndalichako tutamfuatilia mtoto wa mkulima kwani ndio pekee anatia kiwingu pale juu! nyinyi endeleeni kulala sisi tupo kazini mpaka kieleweke!
kwani we mkuu una maendeleo gani ya ajabu ambayo waislamu hawanayo?.
Hao wanauana syria kwa upande mmoja kupata silaha toka nchi za kikristo umeona ndo mfano.
Hao wanatwangana risasi kule USA,MEXCO ,COLOMBIA,CONGO ,unawajudge vipi?.
Tushawajua nyinyi wanafiki mnapenda kuwajudge watu kwa dini zao.
wakimaliza hapo wataandamana kudai chadema iwe kafu, na watafanikiwa... kisha wataandamana tena kusema bara iitwe zanzibar na zanzibar iitew visiwani, watafanikiwa
wakimaliza watasema baraza lote wapange wao, watafanikiwa pia
zaifffffffffffffffffffffffffffffff
Nakutumia $1,000,000 kwa njia ya M-pesa sasa hivi!ni profesa wa chuo kikuu na ni muislamu!
we wa nini?
Hii ndo tofauti ya mtazamo wa kikafir na wa kiislam! Makafir dunia kwao ni pepo bt ni gereza kwa muumini wa kiislam.
Si wewe wala hao wanaoandamana walioko katika usahihi. Uislam hautasimama katu kwa kufuata matakwa ya watu fulani bila ya kufuata njia alizotumia mtume SAW na maswhaba wake kuusimamisha.
Ispokuwa ALLAH huwatia ujasiri kwa kuwateremshia malaika waislamu popote wanapoungana iwapo watasema wao MOLA wao ni ALLAH kisha wakawa na msimamo, na huwazidishia hofu wapinzani wao, ndicho kilichotokea jana.
Haikuwa njia sahihi na haitasaidia kufika wanakotaka isipokuwa kumkubali kwao ALLAH na kuwa na msimamo kwa wanchodai imekuwa threat kwa makafir, nyote mmeshuhudia.
OGOPENI tunaoanza kufuata njia sahihi halafu itapofika wakati yakawa wazi, hakuna atakayeweza kuzuia nusra ya ALLAH, nayo iko njiani yaja, hata wewe utaunga mkono insha ALLAH, nafaham huwezi kulikubali hili kwa sasa.
"Itapokuja nusra ya ALLAH na itapokuwa wazi, utawaona watu wakiingia ktk dini ya ALLAH makundi kwa makundi"
(Ni maneno machache tu ya Qur'an)
Nawasilisha.
Nakutumia $1,000,000 kwa njia ya M-pesa sasa hivi!ni profesa wa chuo kikuu na ni muislamu!
mpaka utakufa utazikwa utaoza wewe na kizazi chako chote hizo nadharia za kiarabu hazitafanikiwa.
Mkuu nakubaliana na mchango n we share the same concern.Nilichokuwa nataka kushare ni kwamba Dini inaambata na Imani na hapa ndiyo watu huwa wanatofautiana mnaweza kuwa dini mmoja lakini imani tofauti hii inatokana na jinsi unavyoelewa na kutafsiri maandiko matakatifu.sasa kwenye haya yanayohusu uchumi ambao unamilikiwa na watu wenye dini na imani tofauti katika kuujengea vigezo na sifa sisiwe imani wala dini.am stand to be corrected.