Dr Namala Mkopi go... Tuko nyuma yako kabisa.. Wachache hawajui kazi yetu ni ya kuendana na kiapo na kwa namna tunavyodai haya madai ya kuboreshwa huduma mbalimbali katika sekta ya afya,baadhi wanaidiverge hoja kwenda kwenye dai la 7 au la 8 huko kati ya madai yote...
Lakini hawajui yote ni kwamba tunataka kiapo chetu tukitekeleze barabara... Tukilazimika kufanya kazi kwa mtindo huu,nina imani kubwa kwamba baadhi yetu,si wote,ila baadhi yetu,tutakuwa na ganzi katika kukikukumbuka na kukiheshimu kiapo chetu...