Kwanza nachhukua nafasi kumpa Hongera Dr. Mwigulu Nchemba kwa kubaki katika Baraza la Mawaziri na safari hii katika Wizara injini ya Taifa; Wizara ya Fedha, Hakika Mhe. Rais amekuamoni sana na anamatarajio makubwa sana lkn sisi wananchi pia tunamatarajio makubwa sana kwani hatuna shaka na utendaji wako mahiri na ulio tukuka.
Tafadhali baada ya kula kiapo hiyo kesho shughulikia kero ya madai ya Malimbikizo ya mishahara ya watumishi wa umma ambayo imekaliwa kwa muda mrefu, hicho ni kilio cha muda mrefu, wapeni haki yao nao wapate furaha na matumaini mapya. Hakika Mungu atabariki kazi yako kwa kuhakikisha haki zao zinapatikana.
Mungu huwabariki zaidi viongozi ambao wanajali haki za watu na kuzitatua.
Hongera sana na Mungu akubariki.
Tafadhali baada ya kula kiapo hiyo kesho shughulikia kero ya madai ya Malimbikizo ya mishahara ya watumishi wa umma ambayo imekaliwa kwa muda mrefu, hicho ni kilio cha muda mrefu, wapeni haki yao nao wapate furaha na matumaini mapya. Hakika Mungu atabariki kazi yako kwa kuhakikisha haki zao zinapatikana.
Mungu huwabariki zaidi viongozi ambao wanajali haki za watu na kuzitatua.
Hongera sana na Mungu akubariki.