Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,627
- 21,200
...Sielewi ana hofu gani kusaidia hii nchi...
Hofu yake ni kutumbuliwa ghafla bila notice yoyote kama atakengeuka na kwenda kinyume na matakwa ya mtukufu sana.
...Sielewi ana hofu gani kusaidia hii nchi...
Mwakyembe hajui sheria kama anajua basi ni mwoga wa kusema ukweli, kama alivyosema MsigwaWaziri wa Sheria na Katiba Mh.Dr.Harison Mwakyembe(Mb) ameliambia bunge na watanzania kuwa Mh.Rais hajavunja sheria yeyote wala katiba katika utendaji wake.Waziri huo alitoa taarifa hiyo kufuatia madai ya wapinzani kuwa rais anavunja sheria na katiba.
Ukweli umewafikia sasa mmeanza mipashoSiku sio nyingi atamrithi Mzee Yussuf
Mwakyembe amesahau alivyopelekwa India almanusura, kwa ajili ya mtu ambaye hakumtendea haki. Anafanya hayo hayo ya kutouona ukweli. By the way, Sita yuko wapi? Nasikia Afya inaleta mgogoro?????! Do not quote me pleaseElimu ni zaidi ya kukaa darasani, Tazama PhD mzima anashindwa kusimama kwenye ukweli kwa sababu ya madaraka? Historia itakuja kuwaumbua sana, na sasa mpo mwisho mwisho kwenye siasa zenu, mmeshindwa kujifundisha kwa Sitta? Leo ni mstaafu mnafiki na hana heshima tena
Kwa sababu kazi yako ni kuosha nywele za wakubwa sikushangai.Mwakyembe (PhD) kaongea ukweli mtupu!
Yaaani hawa wasomi wetu katika nchi hii jamani, Dr anaongea upuuzi waziwazi tena kwa majigambo.Hapo ndo kajidhalilisha ameonyesha ni jinsi gani anavyomjali Magufuli kuliko watanzania eti hajavunja katiba...mi nasema hawa wanaojiita ma Dk. na ma Prof. wanadhalilisha elimu ya TZ
haa haa kama hajipendi ajaribu kumkosoa JPM kama atabaki ofisini ndani ya masaa 24.huyu analinda ugali wake.Kumbe hawa ndio wanaomwalibia mkuu! Wanashindwa kumweleza wazi mheshimiwa kuwa unavunja katiba!! Badara yake kila kitu wanamsifia..Tatizo wasomi wa Tanzania wanapenda kweli kujipendekeza sijui kwanini?
haa haa wasomi wetu uonyesha ujuzi wao kabla hawajaingia kwenye ofisi za umma, wakishaingia ofisini uufyata. mfano ni ndugu Ryoba kabla hajateuliwa TBC alikuwa mwanahabari nguli kwelikweli baada ya kuukwaa ukurugenzi TBC kaufyata. wasomi wetu bado hawajalisaidia taifa letu..Yaaani hawa wasomi wetu katika nchi hii jamani, Dr anaongea upuuzi waziwazi tena kwa majigambo.