''Silence reigned in the House as the PM read his speech and accused the committee of violating principles of natural justice by condemning him unheard, despite the fact that the allegations leveled against him were serious. ‘I would like to thank Dr. Harrison Mwakyembe for his presentation. Mwakyembe, a university lecturer in the department of law is aware of the law of natural justice, yet he refused to seek my response over the allegations`` Lowassa said.
(OPEN HEART, OPEN MIND: JK avunja Baraza la Mawaziri)
SITALIPIZA KISASI
What are the rules of natural justice?
The principles of natural justice concern procedural fairness and ensure a fair decision is reached by objective decision maker. Maintaining procedural fairness protects the rights of individuals and enhances public confidence in the process. A word used to refer to situations where audi alteram partem (the right to be heard) and nemo judex in parte sua (no person may judge their own case) apply.
Kutokana na matukio ya hivi karibuni mpaka sasa nampa Lowasa ‘the benefit of the doubt'', kwasababu inawezekana kweli kamati ya Mwakyembe haiku exercise natural justice. Kama Mwakyembe yeye mwenyewe ameshindwa kujipa natural justice je ataweza kumpa mtu mwingine?. Watu wameongea kuhusu ugonjwa wake, , watu wamenusurika kuuwawa na kupoteza kazi kwa ajili yake, watu wamefunga na kuomba kwa ajili yake ili tu Mungu ampe uzima na aseme kuhusu sababu ya ugonjwa wake.
Lakini cha ajabu yeye anarudi anasema sitalipiza kisasi! Kwa maana nyingine tayari kisha jenga visasi na watu. Maana yake nini? Je Mwakyembe anaweza kulipa kisasi? Ana nguvu gani za kumlipa kisasi mtu aliyetaka kumuua?. Je kisasi cha mtu anayetaka kukutoa roho ni nini?. Kwa utaratibu wa natural justice mtu hawezi kuwa hakimu wa kesi yake mwenyewe. Inatkiwa aseme anayoyajua kuhusu ugonjwa wake, kisha sisi wananchi (natural court) ndo tutoe maamuzi. Kwanini hataki kuwa muwazi kama hajalishwa sumu mambo ya visasi yanatoka wapi? Na kama ni sumu kwanini hataki kusema ukweli?. Mtu mwenye PHD ya sheria ni mtu ambaye anatakiwa kuwa sio muoga na kikubwa asimamie ukweli daima. Sasa hizi kauli za ''kiswahili'' kuwa sitalipiza kisasi maana yake nini?
Amesema ameiachia serikali; hakuna mtu anaweza kujali uhai wa mtu mweingine. JB katueleza humu kuwa LTK's ndo wanaohusika, halafu leo yeye anatuambia ameiachia serikali sisi tumueleweje?. Toka nimezaliwa sijawahi kusikia serikali au bunge likitangaza ripoti ya ugonjwa wa mtumishi wake, kwanini iwe kwa Mwakyembe tu? Ingekuwa bora asingetoa kauli ya kusema hatalipiza visasi, angewashukuru watz basi ingetosha. Kama anaficha mambo ya kuhusu uhai wake mwenyewe, angeshindwa vipi kuficha mambo mengine ya Richmond kama alivyosema mwenyewe bungeni?
Nashauri Dr . Mwakyembe atoe ultimatum kwa serikali kuwa isipotoa tamko kuhusu ugonjwa wake kufika muda fulani i.e 5[SUP]th[/SUP] January 2011, basi yeye ataitangaza ripoti ya ugonjwa wake. Hebu awasikilize hata wanafamilia na rafiki zake, na ndugu ambao wanataka aweke wazi ripoti ya ugonjwa wake kama alivyofanya kuhusu ajali na ''Alshababy"
(OPEN HEART, OPEN MIND: JK avunja Baraza la Mawaziri)
SITALIPIZA KISASI
Katika mazungumzo yake na waandishi wa habari wa IPP, aliweka mbele nguvu za Mungu, ambapo alisema kama kuna watu walitaka kumuangamiza anawasamehe na hana sababu ya kulipiza kisasi."Sitalipiza kisasi hiyo sio kazi yangu bali Mungu anajua cha kufanya na watu wenye kulipiza visasi maisha yao sio marefu,"
What are the rules of natural justice?
The principles of natural justice concern procedural fairness and ensure a fair decision is reached by objective decision maker. Maintaining procedural fairness protects the rights of individuals and enhances public confidence in the process. A word used to refer to situations where audi alteram partem (the right to be heard) and nemo judex in parte sua (no person may judge their own case) apply.
Kutokana na matukio ya hivi karibuni mpaka sasa nampa Lowasa ‘the benefit of the doubt'', kwasababu inawezekana kweli kamati ya Mwakyembe haiku exercise natural justice. Kama Mwakyembe yeye mwenyewe ameshindwa kujipa natural justice je ataweza kumpa mtu mwingine?. Watu wameongea kuhusu ugonjwa wake, , watu wamenusurika kuuwawa na kupoteza kazi kwa ajili yake, watu wamefunga na kuomba kwa ajili yake ili tu Mungu ampe uzima na aseme kuhusu sababu ya ugonjwa wake.
Lakini cha ajabu yeye anarudi anasema sitalipiza kisasi! Kwa maana nyingine tayari kisha jenga visasi na watu. Maana yake nini? Je Mwakyembe anaweza kulipa kisasi? Ana nguvu gani za kumlipa kisasi mtu aliyetaka kumuua?. Je kisasi cha mtu anayetaka kukutoa roho ni nini?. Kwa utaratibu wa natural justice mtu hawezi kuwa hakimu wa kesi yake mwenyewe. Inatkiwa aseme anayoyajua kuhusu ugonjwa wake, kisha sisi wananchi (natural court) ndo tutoe maamuzi. Kwanini hataki kuwa muwazi kama hajalishwa sumu mambo ya visasi yanatoka wapi? Na kama ni sumu kwanini hataki kusema ukweli?. Mtu mwenye PHD ya sheria ni mtu ambaye anatakiwa kuwa sio muoga na kikubwa asimamie ukweli daima. Sasa hizi kauli za ''kiswahili'' kuwa sitalipiza kisasi maana yake nini?
Amesema ameiachia serikali; hakuna mtu anaweza kujali uhai wa mtu mweingine. JB katueleza humu kuwa LTK's ndo wanaohusika, halafu leo yeye anatuambia ameiachia serikali sisi tumueleweje?. Toka nimezaliwa sijawahi kusikia serikali au bunge likitangaza ripoti ya ugonjwa wa mtumishi wake, kwanini iwe kwa Mwakyembe tu? Ingekuwa bora asingetoa kauli ya kusema hatalipiza visasi, angewashukuru watz basi ingetosha. Kama anaficha mambo ya kuhusu uhai wake mwenyewe, angeshindwa vipi kuficha mambo mengine ya Richmond kama alivyosema mwenyewe bungeni?
Nashauri Dr . Mwakyembe atoe ultimatum kwa serikali kuwa isipotoa tamko kuhusu ugonjwa wake kufika muda fulani i.e 5[SUP]th[/SUP] January 2011, basi yeye ataitangaza ripoti ya ugonjwa wake. Hebu awasikilize hata wanafamilia na rafiki zake, na ndugu ambao wanataka aweke wazi ripoti ya ugonjwa wake kama alivyofanya kuhusu ajali na ''Alshababy"