Dr Mwakyembe fanya hili tukueshim zaidi

Investment inayotakiwa kwenye Reli kwa sasa sio chini ya Billioni 100 maana ni ya mwaka 47, sasa ni wapi hiyo pesa itatoka? Na je tuna credit rating nzuri kiasi gani tuaminiwe tukopeshwe hiyo mijihela?

Jiulize hayo kwanza kabla hatujaenda kwa Mwakyembe,usije mwisho wa siku ukamtupia lawama bure mzee wa watu

Nawewe unakampuni sibure!Mapema unaanza kumtetea,yaani wewe huoni rasilimali zilizopo ktk nchi hii!Fisadi on work nini wewe!
 
Ni mgongano wa kimaslahi wa viongozi wetu. huku anataka kuboresha treni, huku anaanzisha kampuni ya usafirishaji. Hawa hawatakiwi hata kukanyaga maeneo ya reli. Kweli hii ni kazi muhimu kwa Mwakyembe.

Haya malori ndio yanaleta foleni mandela road na namorogoro road!Yanawaingiza 20m per month!Wataua mtu ukiwakosesha 20m per month na uwaziri mmewavua!Walipaje mdeni benki?
 
Ni mgongano wa kimaslahi wa viongozi wetu. huku anataka kuboresha treni, huku anaanzisha kampuni ya usafirishaji. Hawa hawatakiwi hata kukanyaga maeneo ya reli. Kweli hii ni kazi muhimu kwa Mwakyembe.

Haya malori ndio yanaleta foleni mandela road na namorogoro road!Yanawaingiza 20m per month!Wataua mtu ukiwakosesha 20m per month na uwaziri mmewavua!Walipaje mdeni benki?
 
Binafsi yangu nimeipenda sana hii ya Mwakyembe na Makamba kwa sababu wamepewa mtihani mkubwa sana. Kwa Mwakyembe kule kuna kina Karamagi wanakula mahela tu ya wananchi mizigo ikiingia nchini hivyo kuwa sababu kubwa ya kudhoofika kwa huduma za Bandari Dar. Ufanisi wa Bandari ya Dar umeharibiwa na Ufisadi mkubwa unafanyika huko, hivyo Bandari ya Tanga na Mtwara ziimarishwe kwanza na pamoja na yote haya mkataba wa kampuni ya Kichina ya CCCC upigwe chini nguvu kubwa uhamishiwe Tanga na Mtwara. Reli zote za kati na kaskazini ni muhimu zaidi, ujenzi wake uanze mara moja kwa sababu nchi yetu haiwezi kuendelea hata kidogo ikiwa miundombinu yetu haitaweza kusimama sambamba na mahitaji ya nchi yetu. Usafiri ni nguzo kubwa ya maendeleo ya nchi yoyote ile duniani.

Kwa Makamba nimefurahi pia kwa sababu huko Voda kuna kina Rostam na EL sasa tunataka kuwaona walkiolipa kodi stahiki tofauti na mawaziri waliopita maana amekuwa mbele sana kukosoa mawaziri wengine. Na maadam ma Naibu waziri ndio huifanya kazi kubwa zaidi ya hata mawaziri wenyewe basi mkulima kapewa jembe..Kazi kwao.

Nadhani nakumbuka vizuri nadada yk Makamba yupo sekta hii!
 
Mwakyembe anakazi ngumu sana mbele yake, Wahindi na Waarabu wameinvest semi trailer za kutosha kwa ajili ya kupeleka mizigo nchi jirani, wala hawataki kusikia eti reli zinafufuliwa maana litakuwa anguko la biashara zao. Ni mtiani mgumu kisiasa kwa Mwakyembe
 
Ndugu yangu hiyo ni hela nyingi sana mtendaji wa serikali hawezi kuwa nazo

Kwanza hizo Tshs. 3t za Nshimbo siyo kitu cha ajabu kwa Tanzania. Pesa iliyotolewa kufidia wafanya biashara wa pamba ni zaidi ya 1t na haijulikani kama iligawiwa yote. EPA halisi ilikuwa zaidi ya 200B, Vijisenti vya Chenge zaidi ya 1B. Ripoti ya CAG unaweza kulia zinavyoliwa!

Pili Ndugai alishasema kuna sekta zinajilipa kimya kimya, kama watu wakijua wanaweza kuandamana...! Nchi hii inapesa na wala tusikubali kuaminishwa eti kasungura kadogo-Noooooo! Next time Peoples Power iwe na plan B.
 
Mwakyembe huu wakati ni wako pambana kufuta ile mikataba mibovu ya kina Karamagi pale bandarini.
 
Serikali yetu ina uwezo wa kupata fedha za kununua ndege, kujenga reli na bandari kama wataacha kukumbatia maslahi binafsi. Mwakyembe tunaamini utasimamia vizuri haya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom