Nimeshangazwa sana Na kauli za uongo za Dr. Mwakyembe juu ya suala la Richmond.Dr.Mwakyembe usitufanye Watanzania hatuna nakala ya ripoti uliyoisoma bungeni.Dr.Mwakyembe Lowassa hakujiuzulu kwa kuwa ni mhusika mkuu.Mh.Lowassa kwa mujibu Wa ripoti yako mlimtaka ajiuzulu kwa kushindwa kuwasimamia mawaziri aliokuwa ana waongoza.Na kama alikuwa in mhusika mkuu kulikuwa Na ugumu gani Mh.Rais kumfukuza Kazi badala ya kumtaka Lowassa aamue cha kufanya? Dr.Mwakyembe MWOGOPE MUNGU WAKO kumbuka kuna maisha ya Mbinguni hiyo DHAMBI YA UONGI itakutafuna.MUNGU MUHUKUMU YULE ANAYEPOTOSHA HAKI KWA KUSEMA UONGO.Dr.Mwakyembe kumbuka Malipo in hapa hapa Duniani.Dr.Mwakyembe ni nani ndani ya CCM aliyepata MALI ZAKE/UTAJIRI KWA KULIMA MAHINDI NA MTAMA?