Dr. Mumbi anajaribu kuwafungua macho na masikio wakenya kuhusu TZ, Wameweka pamba masikioni

..she was not prepared.

..the questions she asked were not good.

..that caused gov officials she interviewed to come out flat.

..angekuwa na maswali mazuri, angepata majibu mazuri yenye kuelimisha watazamaji wake.
Maswali mazuri yapi!? Wewe ndiye unayepima uzuri wa maswali!? Kigezo kipi kinaonesha hili ni swali zuri na hili siyo zuri!?

You are shallow mind dude.
 
..she was not prepared.

..the questions she asked were not good.

..that caused gov officials she interviewed to come out flat.

..angekuwa na maswali mazuri, angepata majibu mazuri yenye kuelimisha watazamaji wake.
Kama ni kweli hayo unayosema, hilo sio tatizo la hao aliowahoji, kwahiyo sio haki kusema wangeenda katika vyombo vikubwa ambavyo ni bora zaidi.

Kuhusu umahiri wa hawa wanahabari wa mitandaoni, wengi wapo chini kwasababu ndio kwanza" sector" hii ni changa kabisa, wengi sio wanahabari by "professional, they need nursing". Badala ya kuwasema na kuwadharau, ulipaswa kuweka comments za kumrekebisha ili aweze kuboresha kazi zake, si vinginevyo.
 
Nimekuuliza maswali ya msingi na nimekuona umeanza kuwa mpole.
1. Ulikuwa unajua hili ni jukwaa la wakenya kwanini umekuja kutapika uharo!?

2. Umesema huna vita na Tanzania. Unaye mwita huyu "mama" ataifanya tanzania ionekane ya ovyo ni nani!? Ni mama yako au mama wa mtanzania mwenzako!?

3. Unasema najiona naipenda Tanzania kuliko wengine! Kipimo hicho cha kujiona umekitoa wapi!? Au unadhani watu wote wanafikiri kama wewe!? Waacha watu wawe na uhuru siyo kuwaamlia.

4. Sasa wewe tangu 2010 unapiga mayowe kuwadhalilisha viongozi ambao wanaweza kukuzaa tabia hiyo uliitoa wapi!? Huo sio utanzania. Imekusaidia nini kumdhalilisha Kikwete, Lowasa na sasa unamdhalilisha JPM. Huoni unacheza mchezo wa kitoto!?

5. Unasema nimeingiza familia yako!! Hizi ni akili za kipumbavu. Wewe upo jina bandia nitaijuaje familia yako!? Nimekupa angalizo tu kwa haya unayoyafanya ndani ya miaka kumi bila hata mafanikio. Watoto wako watakuja kukulaaani.

6. Unajificha kwa jina badia, huu ni uoga na unafiki. Kwani ukitumia jina lako halisi watu watashindwa kuchangia!? Wewe ni mwoga umejaa maneno machafu mdomoni.

..again, sina tabia au sifa ya kutukana hapa JF.

..mwandishi kwa jinsia yake tunaweza kumuita mama au dada. Mimi niliona inaswihi kumuita mama.

..maneno uliyoyaandika nilivyoyatafsiri ni kama wale watu wanoko wanaojiona ni waTz kuliko wengine.

..hakuna wakati wowote nimemtukana Mzee Lowassa, Mzee Kikwete, au Raisi Magufuli. Ninachoweza kusema nimewahi kuwakosoa nikizingatia nafasi zao ktk siasa na utawala.

..ulipotaja watoto wangu I got sensitive. Ninapojadiliana na wenzangu hapa JF huwa ni mwiko kutaja their spouses, children, or parents.

..Ningetumia jina langu halisi, halafu ukawataja wanangu ulivyofanya huoni kuwa ingekuwa ni direct attack kwao?

..Tuendelee kutumia majina ya bandia ili tuweze kujadiliana kwa uwazi zaidi. Hili siyo suala la uoga au ujasiri. Majina ya bandia ndiyo mila na desturi za majadiliano ktk mitandao.
 
Maswali mazuri yapi!? Wewe ndiye unayepima uzuri wa maswali!? Kigezo kipi kinaonesha hili ni swali zuri na hili siyo zuri!?

You are shallow mind dude.

..umesema: " you are shallow mind dude."

..maana yake ni kwamba umesoma mchango wangu uka-conclude ulivyo conclude.

..sasa na mimi nimemsikiliza mwandishi nimeona hajajiandaa. Vilevile maswali yake siyo mazuri. Ndiyo maana nikasema she is shallow.

..
 
Kama ni kweli hayo unayosema, hilo sio tatizo la hao aliowahoji, kwahiyo sio haki kusema wangeenda katika vyombo vikubwa ambavyo ni bora zaidi.

Kuhusu umahiri wa hawa wanahabari wa mitandaoni, wengi wapo chini kwasababu ndio kwanza" sector" hii ni changa kabisa, wengi sio wanahabari by "professional, they need nursing". Badala ya kuwasema na kuwadharau, ulipaswa kuweka comments za kumrekebisha ili aweze kuboresha kazi zake, si vinginevyo.

..naweza kukosoa tu.

..au kukosoa na kutoa ushauri namna ya kuboresha.

..au moja kwa moja kutoa ushauri wa namna ya kuboresha.

..ni utashi wangu kuamua nifanye lipi kati ya hayo matatu.

..pia siwezi kukupangia kuwa ukikosoa ni lazima uonyeshe namna ya kuboresha.
 
..again, sina tabia au sifa ya kutukana hapa JF.

..mwandishi kwa jinsia yake tunaweza kumuita mama au dada. Mimi niliona inaswihi kumuita mama.

..maneno uliyoyaandika nilivyoyatafsiri ni kama wale watu wanoko wanaojiona ni waTz kuliko wengine.

..hakuna wakati wowote nimemtukana Mzee Lowassa, Mzee Kikwete, au Raisi Magufuli. Ninachoweza kusema nimewahi kuwakosoa nikizingatia nafasi zao ktk siasa na utawala.

..ulipotaja watoto wangu I got sensitive. Ninapojadiliana na wenzangu hapa JF huwa ni mwiko kutaja their spouses, children, or parents.

..Ningetumia jina langu halisi, halafu ukawataja wanangu ulivyofanya huoni kuwa ingekuwa ni direct attack kwao?

..Tuendelee kutumia majina ya bandia ili tuweze kujadiliana kwa uwazi zaidi. Hili siyo suala la uoga au ujasiri. Majina ya bandia ndiyo mila na desturi za majadiliano ktk mitandao.
1. Umeanza kwa kumdhalilisha Dr. Mumbi kumwita shallow. Hii ni tabia yako kujiona wewe ni mungu unajua yote na unawazidi watu wote. Hii ego ni ya watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri. Unaanza kundhalilisha mwanamke na kuanza kumwita "mama huyu" "mama yule" Hizo ni lugha za kuwakandamiza wanawake, kwamba wewe uitwe "baba" hata kwenye mitandao. ACHA TABIA HIZO CHAFU ZA KUDHALILISHA WANAWAKE.

2. Umesema huna tabia ya kutukana hapa JF!! What!? Hapa hapa tu umemtolea maneno ya ovyo ovyo Dr. Mumbi. Huu ni unafiki wa hali ya juu. Kitendo cha kumdhalilisha mwanamke tena leo leo tu kinakuhukumu. Sisi watanzania ni wastaarabu tabia zako hizo ziache. Unawadhalilisha na kuwakejeli viongozi ambao ni sura ya Taifa letu vilevile wamekuzidi umri. Tumia lugha nzuri

3. Tangu mwaka 2008 mzee wa watu Lowasa unamtungia majina WEWE. Mara hili mara lile. Ghafla 2015 unaanza kumsifia. Huu ni wendawazimu. Huna sababu ya kujiita mstaarabu wewe ni mpumbavu.

4. Eti nilipotaja watoto wako!? Watoto wako siwajui na wala sihitaji kuwajua. Maana najua kwa tabia unayoionesha kwenye mitandao, wanao unawapa wakati mgumu sana. Wanatamani wangezaliwa na baba mwingine kama mimi.

5. Nimesema wewe ni mwoga na mzandiki. Rais Magufuli mmemdhalilisha kwa kufanya direct attack kwa mwanae. Lakini kwa sababu ni shupavu aliwapuuza kwakuwa ninyi ni watu msiotaka kufanya kazi. Mnashinda kwenye mitandao kupiga umbea huku mkisimanga watu wengine.
TOA KWANZA BOLT KWENYE MACHO YAKO NDIPO UTAONA KIBANZI KWENYE JICHO LA MWINGINE.

Jifunze kuheshimu kazi za wengine.
 
Maswali mazuri yapi!? Wewe ndiye unayepima uzuri wa maswali!? Kigezo kipi kinaonesha hili ni swali zuri na hili siyo zuri!?

You are shallow mind dude.

..umenishutumu kuwa natumia jina bandia.

..pia umeniita muoga kwa kufanya hivyo.

..je,.wewe jina unalotumia ni jina lako halisi?

..au ulikuwa umejisahau kwamba na wewe unatumia jina la bandia?
 
..umesema: " you are shallow mind dude."

..maana yake ni kwamba umesoma mchango wangu uka-conclude ulivyo conclude.

..sasa na mimi nimemsikiliza mwandishi nimeona hajajiandaa. Vilevile maswali yake siyo mazuri. Ndiyo maana nikasema she is shallow.

..
Ego inakumaliza.
Nimekuuliza wewe ndiye unayepima uwezo wa mtu!? Umepima kumlinganisha na nani!?
Badala ya kumtia moyo wewe unatoa maneno ya uharo.

Huu ni udhalilishaji wa hali ya juu. Je, wewe umewahi kujaribu hata kufanya hivyo!?

Unaweza kuta huwezi hata kuongea mbele ya camera.
Unajadili personality ya Dr. Mumbi!? Badala ya kujadili context ya kipindi chake cha Wakeup Africa!?
Kati ya wewe na yeye nani ni shallow!?
Yeye anakipindi kinachoitwa Wakeup Africa.
Wewe hapa unajadili personality yake na si context.
WEWE NI SHALLOW KICHWANI.
Kufanya personal attack ni rahisi mno hata kichaa anaweza. Ndicho unachokifanya wewe.
 
..umenishutumu kuwa natumia jina bandia.

..pia umeniita muoga kwa kufanya hivyo.

..je,.wewe jina unalotumia ni jina lako halisi?

..au ulikuwa umejisahau kwamba na wewe unatumia jina la bandia?
Acha kubadili nilichokuuliza.
Jibu maswali yangu kwanza:-

Maswali mazuri yapi!? Wewe ndiye unayepima uzuri wa maswali!? Kigezo kipi kinaonesha hili ni swali zuri na hili siyo zuri!?

You are shallow mind dude.
 
..she was not prepared.

..the questions she asked were not good.

..that caused gov officials she interviewed to come out flat.

..angekuwa na maswali mazuri, angepata majibu mazuri yenye kuelimisha watazamaji wake.
1) She is doing the interview on behalf of her youtube subscribers..not for Team Roho mbaya kama nyinyi..

2) she gets paid through patreon and youtube by her audience

3)If you think people watch bbc/cnn etc in this day and age you are extremly backward

4)Open your own youtube channel and broadcast your hate filled nonsence aganist magufuli, see how many will subscribe to your stale shit..

Othrwise whinning here on JF about Dr.Mumbi is juvenile and obtuse way of dealing with your own lack of skill in marketing your political ideology or that of your chadema party
 
1. Umeanza kwa kumdhalilisha Dr. Mumbi kumwita shallow. Hii ni tabia yako kujiona wewe ni mungu unajua yote na unawazidi watu wote. Hii ego ni ya watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri. Unaanza kundhalilisha mwanamke na kuanza kumwita "mama huyu" "mama yule" Hizo ni lugha za kuwakandamiza wanawake, kwamba wewe uitwe "baba" hata kwenye mitandao. ACHA TABIA HIZO CHAFU ZA KUDHALILISHA WANAWAKE.

2. Umesema huna tabia ya kutukana hapa JF!! What!? Hapa hapa tu umemtolea maneno ya ovyo ovyo Dr. Mumbi. Huu ni unafiki wa hali ya juu. Kitendo cha kumdhalilisha mwanamke tena leo leo tu kinakuhukumu. Sisi watanzania ni wastaarabu tabia zako hizo ziache. Unawadhalilisha na kuwakejeli viongozi ambao ni sura ya Taifa letu vilevile wamekuzidi umri. Tumia lugha nzuri

3. Tangu mwaka 2008 mzee wa watu Lowasa unamtungia majina WEWE. Mara hili mara lile. Ghafla 2015 unaanza kumsifia. Huu ni wendawazimu. Huna sababu ya kujiita mstaarabu wewe ni mpumbavu.

4. Eti nilipotaja watoto wako!? Watoto wako siwajui na wala sihitaji kuwajua. Maana najua kwa tabia unayoionesha kwenye mitandao, wanao unawapa wakati mgumu sana. Wanatamani wangezaliwa na baba mwingine kama mimi.

5. Nimesema wewe ni mwoga na mzandiki. Rais Magufuli mmemdhalilisha kwa kufanya direct attack kwa mwanae. Lakini kwa sababu ni shupavu aliwapuuza kwakuwa ninyi ni watu msiotaka kufanya kazi. Mnashinda kwenye mitandao kupiga umbea huku mkisimanga watu wengine.
TOA KWANZA BOLT KWENYE MACHO YAKO NDIPO UTAONA KIBANZI KWENYE JICHO LA MWINGINE.

Jifunze kuheshimu kazi za wengine.

..nilipomuita mwandishi mama sikuwa na nia ya kumdhalilisha.

..nimeeleza kuwa hakujiandaa kwa hizi interview hivyo she came across as shallow.

..SORRY kama umekwazika. Next time nitajitahidi kufikisha ujumbe wangu tofauti kidogo.

..Again, sijawahi kumdhalilisha John Pombe Joseph Magufuli, au familia yake.
 
..naweza kukosoa tu.

..au kukosoa na kutoa ushauri namna ya kuboresha.

..au moja kwa moja kutoa ushauri wa namna ya kuboresha.

..ni utashi wangu kuamua nifanye lipi kati ya hayo matatu.

..pia siwezi kukupangia kuwa ukikosoa ni lazima uonyeshe namna ya kuboresha.
Badilika kaka, acha wivu, kumbuka kwamba "Simple minds discuss people, but great minds discuss adeas". Stop being idiot, is not profitable".
 
1) She is doing the interview on behalf of her youtube subscribers..not for Team Roho mbaya kama nyinyi..

2) she gets paid through patreon and youtube by her audience

3)If you think people watch bbc/cnn etc in this day and age you are extremly backward

4)Open your own youtube channel and broadcast your hate filled nonsence aganist magufuli, see how many will subscribe to your stale shit..

Othrwise whinning here on JF about Dr.Mumbi is juvenile and obtuse way of dealing with your own lack of skill in marketing your political ideology or that of your chadema party

..there r many kenyans and tanzanian bloggers who are better than Dr.Mumbi and could have conducted these interviews with more authority.
 
..there r many kenyans and tanzanian bloggers who are better than Dr.Mumbi and could have conducted these interviews with more authority.
Better by who's judgment? Boss welcome to the internet age, your audience judges your content and from her subscriber comments she is doing a brilliant job!
You are just an unhappy troll with no creative idea to respond to Dr. Mumbis highly effective messaging..Keep that hate to yourself, or use it to launch your own channel and counter her messaging...otherwise you are losing the information war in this digital age
 
Well said, Dr Mumbi is serving a global audience not a bunch of demented hate filled folks here in Jukwaa la Siasa...
1) She is doing the interview on behalf of her youtube subscribers..not for Team Roho mbaya kama nyinyi..

2) she gets paid through patreon and youtube by her audience

3)If you think people watch bbc/cnn etc in this day and age you are extremly backward

4)Open your own youtube channel and broadcast your hate filled nonsence aganist magufuli, see how many will subscribe to your stale shit..

Othrwise whinning here on JF about Dr.Mumbi is juvenile and obtuse way of dealing with your own lack of skill in marketing your political ideology or that of your chadema party
 
Better by who's judgment? Boss welcome to the internet age, your audience judges your content and from her subscriber comments she is doing a brilliant job!
You are just an unhappy troll with no creative idea to respond to Dr. Mumbis highly effective messaging..Keep that hate to yourself, or use it to launch your own channel and counter her messaging...otherwise you are losing the information war in this digital age

..Sorry, I was not impressed.

..and I dont hate her.
 
..nilipomuita mwandishi mama sikuwa na nia ya kumdhalilisha.

..nimeeleza kuwa hakujiandaa kwa hizi interview hivyo she came across as shallow.

..SORRY kama umekwazika. Next time nitajitahidi kufikisha ujumbe wangu tofauti kidogo.

..Again, sijawahi kumdhalilisha John Pombe Joseph Magufuli, au familia yake.
1. "Nilipo mwita mwandishi mama sikuwa na nia ya kumdhalilisha" ebo! Hujui jina lake!? Kumwita "Mama yule" au "mama huyu" ni pale tu humjui jina. Yeye ni Dr. Mumbi na kwenye channel yake kaandika hivyo. Kwenye interviews zake anajitambulisha hivyo. Hizi ni tambia za watu wachache walio na fikra za ubaguzi wa kijinsia. Tabia yako hii ni mbaya unatakiwa ubadilike tupo kwenye modern world wanawake na wanaume wanafanya kazi kwa pamoja.

2. Bado unaendeleza ego ya kujiona wewe unajua yote na mkaguzi wa wengine. Mtu kafunga safari toka Kenya mpaka Tanzania unasema hakujiandaa!? Dr. Mumbi hafanyi kazi kukulidhisha wewe anafanya kazi kwaajili ya watu wengine. Nenda kasome comments kwenye vipindi vyake utaona watu wanavyo shukuru kipindi chake.

Subscribers wanaongezeka siku hadi siku.

3. "SORRY next time nitajirekebisha" Unavyoonekana hupendi kazi za wengine wakati wewe huwezi kufanya. Jirekebishe na UHESHIMU KAZI ZA WENGINE. Mtu makini hawezi kumwita Dr. Mumbi shallow. Ni watu aina yako wanaojiona kuwa wanaakili vichwani mwao wao wenyewe kumbe ni wapumbavu.

4. Nimesema tangu 2010 unawadhalilisha viongozi wa taifa na watu wenye umri zaidi yako. Ushahidi upo zipo commet na threads zako. Ninachokusihi badili tabia kama leo ulivyo kubali kuwa utajirekebisha.
 
Back
Top Bottom