MAFILILI
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,377
- 1,194
Siyo siri baada ya Mwenyekiti kupenyezewa nyeti kuwa Dr Mashinji atarejea chama dume ikabidi achukue maamuzi ya kumtosa na kumpa ukatibu kuu Mnyika.
Hata hivyo Dr Mashinji ataendelea na maamuzi ya awali kurejea CCM ambako atakuwa Daktari Mwandamizi wa KIONGOZI Fulani.
Stay tuned
Hata hivyo Dr Mashinji ataendelea na maamuzi ya awali kurejea CCM ambako atakuwa Daktari Mwandamizi wa KIONGOZI Fulani.
Stay tuned