wagagagigikoko
Senior Member
- Dec 5, 2010
- 163
- 49
hiki kinajulikana wazi kuwa ni chakula cha mkubwa ahame aende wapi, huku CDM watu wa kazi hatupeana uongozi kama pipi. na mwisho wa huyu ni siku mkuu wa nchi ametoka madarakani.
hii ndio taarifa kamili ya kilichojili kwenye kikao
MBUNGE WA VITI MAALUM (CCM) MKOA WA MBEYA DR. MARY MWANJELWA AMEKANUSHA VIKALI KUWA ANATAKA KUHAMIA CHADEMA ASEMA YEYE NA CCM DAMU DAMU TOKA KITAMBO
hii ndio taarifa kamili ya kilichojili kwenye kikao
MBUNGE WA VITI MAALUM (CCM) MKOA WA MBEYA DR. MARY MWANJELWA AMEKANUSHA VIKALI KUWA ANATAKA KUHAMIA CHADEMA ASEMA YEYE NA CCM DAMU DAMU TOKA KITAMBO