.sasa hali ni mbaya muhi2. Mabingwa nao wamegoma, wagonjwa wanafukuzwa wodini.. kuna jambo sijalielewa.. DR MARINA NJELEKELA MKURUGENZI MKUU MUHIMBILI yuko wapi..! sijamsikia toka mgogoro huu uanze.! au ametangulia KUJIUZULU.?? au yuko HONEYMOON.??
.sasa hali ni mbaya muhi2. Mabingwa nao wamegoma, wagonjwa wanafukuzwa wodini.. kuna jambo sijalielewa.. DR MARINA NJELEKELA MKURUGENZI MKUU MUHIMBILI yuko wapi..! sijamsikia toka mgogoro huu uanze.! au ametangulia KUJIUZULU.?? au yuko HONEYMOON.??
Kwani siku hizi Dr Njelekela ndio mkurugenzi wa MNH?
Makubwa haya. Sasa wote wa saratani ya matiti (Mewata) wamepata ulaji.
Hongera Dr Njelekela. Surgeon la nguvu hilo..
.sasa hali ni mbaya muhi2. Mabingwa nao wamegoma, wagonjwa wanafukuzwa wodini.. kuna jambo sijalielewa.. DR MARINA NJELEKELA MKURUGENZI MKUU MUHIMBILI yuko wapi..! sijamsikia toka mgogoro huu uanze.! au ametangulia KUJIUZULU.?? au yuko HONEYMOON.??