Dr Magufuli katika ujenzi wa barabara

Dr Magufuli katika ujenzi wa barabara

Robethn

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2015
Posts
2,103
Reaction score
354
Baadhi ya kazi za mzalendo wetu Daktar Mkemia John p.Magufuli Katiak ujenzi wa barabara.Barabara zipo nyingi na hizi ni chache tu:-

• Manyoni – Isuna (Km 54);
• Kagoma – Biharamulo – Lusahunga (Km 154);
• Ndundu – Somanga (Km 60);
• Sumbawanga – Matai – Kasanga (Km 112);
• Marangu – Tarakea – Rongai – Kamwanga (Km 98);
• Minjingu – Babati – Singida (Km 222);
• Korogwe – Handeni (Km 65);
• Mziha – Turiani – Magole (Km 84.6)
• Dumila – Kilosa (Km 63)
• Bariadi – Lamadi (Km 71.8);
• Mbeya – Chunya – Makongolosi (Km 115);
• Tanga – Horohoro (Km 65);
• Masasi – Mangaka (Km 54);
• Makofia – Msata (km 64);
• Mwandiga – Manyovu (km 60);
• Handeni – Mkata (km 54);
• Kisarawe – Maneromango (Km 54);
• Njombe – Makete (Km 109).
• Barabara ya Kilwa/DSM (km 12);
• Barabara ya Mandela (km 16);
• Msimba – Ikokoto – Mafinga (Km 219);
• Arusha – Namanga (Km 105);
• Chalinze – Segera – Tanga (Km 245); na
• Isaka – Lusahunga (km 242)
• Kwasadala-Masama (Km 12.2);
• KiboshoShine-Kwa Raphael-International School (Km 43);
• RauMadukani-Mawela-UruNjari (Km 12.5);
• KiruaNduoni-Marangu Mtoni (Km 31.5);
• Kahama Mjini (Km 5).
(d) Kuanza Ujenzi mpya na ukarabati kwa Kiwango cha Lami Barabara
Zifuatazo:
40
• Bunda – Kisorya – Nansio (Km 93);
• Tunduma – Sumbawanga (Km 230);
• Rujewa – Madibira – Mafinga (Km 151);
• Babati – Dodoma – Iringa (Km 523);
• Sumbawanga – Kanyani – Nyakanazi (Km 562);
• Nata – Fort Ikoma (Km 141);
• Nzega – Tabora (Km 116);
• Manyoni – Itigi – Tabora (Km 264);
• Ipole – Koga – Mpanda (Km 255);
• Makurunge – Saadani – Pangani - Tanga (Km 178);
• Matai – Kasesya (Km 65);
• Mangaka – Mtambaswala (Km 65);
• Mto wa Mbu – Loliondo – Mugumu – Nata – Makutano (Km 452);
• Kyaka – Bugene (km 59);
• Mbinga – Mbamba bay (Km 66);
• Tunduru – Namtumbo (Km 194);
• Kamwanga – Sanya Juu (Km 75);
• Tabora – Urambo (Km 90);
• Uvinza – Kidahwe (Km 77);
• Daraja la Malagarasi na barabara zake (Km 48);
• Uyovu – Bwanga – Biharamuro (Km 112);
• Kisesa –Usagara (Km 17);
• Namtumbo – Songea (Km 70);
§ Peramiho – Mbinga (Km 78);
§ Kawawa Jct – Mwenge – Tegeta (Km 17);
• Segera – Same – Himo (km 261);
• Makambako – Songea (km 295);
• Mtwara – Masasi (km 200);
• Arusha – Moshi – Himo – Holili (km140);
• Arusha – Minjingu (km 104);
• Nyanguge – Musoma – Sirari (km 262); na
• Sanya Juu – Bomang’omba (Km 25).
(e) Kuzifanyia Upembuzi na Usanifu Barabara Zifuatazo:-
• Tabora – Mambali – Bukene – Itobo – Kahama (Km 149);
• Lupilo – Malinyi – Kilosa kwa Mpepo – Londo – Kitanda (km 396);
• Ifakara – Mahenge ( Km 67);
• Kibondo – Mabamba (km 35);
• Kolandoto- Lalago - Mwanhuzi - Matala - Oldeani Jct (km 328);
• Omugakorongo – Kigarama – Murongo (km 105);
• Mpemba – Isongole (Tanzania/Malawi) (km 49);
• Soni – Bumbuli –Dindira – Korogwe (km 74);
41
• Makofia – Mlandizi – Vikumburu (Km 148);
• Kibaoni – Majimoto – Inyonga Km 162);
• Mpanda- Ugala – Kaliua – Ulyankulu – Kahama (km 428);
• Makongolosi- Rungwa – Mkiwa (km 412);
• Mtwara – Newala – Masasi (km 209);
• Handeni – Kiberashi – Kondoa – Singida (Km 460);
• Kibaha – Mapinga (Km 23);
• Geita-Bukoli-Kahama (Km 107);
• Mbande-Kongwa Jct – Mpwapwa (Km 50).

Vivuko
:
(a) Msanga Mkuu (Mtwara),
(b) Rusumo (Kagera),
(c) Itungi Port – Matema (Kyera) na
(d) Kilambo (Mtwara) kitakachotoa huduma kati ya Tanzania na
Msumbiji.
. Madaraja
(a) ujenzi wa daraja la mto Kilombero na daraja la mto Mwatisi
katika mkoa wa Morogoro.
(b) ujenzi wa daraja la Malagarasi, Kigoma.
(c) ujenzi wa Daraja la Kigamboni ili
kuunganisha Kigamboni na Jiji la Dar es Salaam.
(d) ujenzi wa daraja la Nangoo (Mtwara), Sibiti (Singida), Ruhekei
(Mbinga) na Mbutu (Igunga).
 
Baadhi ya kazi za mzalendo wetu Daktar Mkemia John p.Magufuli Katiak ujenzi wa barabara.Barabara zipo nyingi na hizi ni chache tu:-

• Manyoni – Isuna (Km 54);
• Kagoma – Biharamulo – Lusahunga (Km 154);
• Ndundu – Somanga (Km 60);
• Sumbawanga – Matai – Kasanga (Km 112);
• Marangu – Tarakea – Rongai – Kamwanga (Km 98);
• Minjingu – Babati – Singida (Km 222);
• Korogwe – Handeni (Km 65);
• Mziha – Turiani – Magole (Km 84.6)
• Dumila – Kilosa (Km 63)
• Bariadi – Lamadi (Km 71.8);
• Mbeya – Chunya – Makongolosi (Km 115);
• Tanga – Horohoro (Km 65);
• Masasi – Mangaka (Km 54);
• Makofia – Msata (km 64);
• Mwandiga – Manyovu (km 60);
• Handeni – Mkata (km 54);
• Kisarawe – Maneromango (Km 54);
• Njombe – Makete (Km 109).
• Barabara ya Kilwa/DSM (km 12);
• Barabara ya Mandela (km 16);
• Msimba – Ikokoto – Mafinga (Km 219);
• Arusha – Namanga (Km 105);
• Chalinze – Segera – Tanga (Km 245); na
• Isaka – Lusahunga (km 242)
• Kwasadala-Masama (Km 12.2);
• KiboshoShine-Kwa Raphael-International School (Km 43);
• RauMadukani-Mawela-UruNjari (Km 12.5);
• KiruaNduoni-Marangu Mtoni (Km 31.5);
• Kahama Mjini (Km 5).
(d) Kuanza Ujenzi mpya na ukarabati kwa Kiwango cha Lami Barabara
Zifuatazo:
40
• Bunda – Kisorya – Nansio (Km 93);
• Tunduma – Sumbawanga (Km 230);
• Rujewa – Madibira – Mafinga (Km 151);
• Babati – Dodoma – Iringa (Km 523);
• Sumbawanga – Kanyani – Nyakanazi (Km 562);
• Nata – Fort Ikoma (Km 141);
• Nzega – Tabora (Km 116);
• Manyoni – Itigi – Tabora (Km 264);
• Ipole – Koga – Mpanda (Km 255);
• Makurunge – Saadani – Pangani - Tanga (Km 178);
• Matai – Kasesya (Km 65);
• Mangaka – Mtambaswala (Km 65);
• Mto wa Mbu – Loliondo – Mugumu – Nata – Makutano (Km 452);
• Kyaka – Bugene (km 59);
• Mbinga – Mbamba bay (Km 66);
• Tunduru – Namtumbo (Km 194);
• Kamwanga – Sanya Juu (Km 75);
• Tabora – Urambo (Km 90);
• Uvinza – Kidahwe (Km 77);
• Daraja la Malagarasi na barabara zake (Km 48);
• Uyovu – Bwanga – Biharamuro (Km 112);
• Kisesa –Usagara (Km 17);
• Namtumbo – Songea (Km 70);
§ Peramiho – Mbinga (Km 78);
§ Kawawa Jct – Mwenge – Tegeta (Km 17);
• Segera – Same – Himo (km 261);
• Makambako – Songea (km 295);
• Mtwara – Masasi (km 200);
• Arusha – Moshi – Himo – Holili (km140);
• Arusha – Minjingu (km 104);
• Nyanguge – Musoma – Sirari (km 262); na
• Sanya Juu – Bomang’omba (Km 25).
(e) Kuzifanyia Upembuzi na Usanifu Barabara Zifuatazo:-
• Tabora – Mambali – Bukene – Itobo – Kahama (Km 149);
• Lupilo – Malinyi – Kilosa kwa Mpepo – Londo – Kitanda (km 396);
• Ifakara – Mahenge ( Km 67);
• Kibondo – Mabamba (km 35);
• Kolandoto- Lalago - Mwanhuzi - Matala - Oldeani Jct (km 328);
• Omugakorongo – Kigarama – Murongo (km 105);
• Mpemba – Isongole (Tanzania/Malawi) (km 49);
• Soni – Bumbuli –Dindira – Korogwe (km 74);
41
• Makofia – Mlandizi – Vikumburu (Km 148);
• Kibaoni – Majimoto – Inyonga Km 162);
• Mpanda- Ugala – Kaliua – Ulyankulu – Kahama (km 428);
• Makongolosi- Rungwa – Mkiwa (km 412);
• Mtwara – Newala – Masasi (km 209);
• Handeni – Kiberashi – Kondoa – Singida (Km 460);
• Kibaha – Mapinga (Km 23);
• Geita-Bukoli-Kahama (Km 107);
• Mbande-Kongwa Jct – Mpwapwa (Km 50).

Vivuko
:
(a) Msanga Mkuu (Mtwara),
(b) Rusumo (Kagera),
(c) Itungi Port – Matema (Kyera) na
(d) Kilambo (Mtwara) kitakachotoa huduma kati ya Tanzania na
Msumbiji.
. Madaraja
(a) ujenzi wa daraja la mto Kilombero na daraja la mto Mwatisi
katika mkoa wa Morogoro.
(b) ujenzi wa daraja la Malagarasi, Kigoma.
(c) ujenzi wa Daraja la Kigamboni ili
kuunganisha Kigamboni na Jiji la Dar es Salaam.
(d) ujenzi wa daraja la Nangoo (Mtwara), Sibiti (Singida), Ruhekei
(Mbinga) na Mbutu (Igunga).

Hakuna wa kuchangia hapo mkuu hoja yako ni kubwa zaidi ya uwezo wao
 
Magufuli ni sawa na msichana wa kazi mwenye bidii. Anafaa sana kuwa chini ya mtu na kutumwa tumwa! Lakini urais anaonewa tu!
 
Zote zimejengwa chini ya kiwango

pesa za kodi ya watanzania agawana nyingi wa wakadarasi rafiki zake
 
Sawa, ni mzuri ktk kutenda anapo ambiwa, hata kama jambo ni la hovyo.
 
Hakuna alichokifanya zaidi ya kutafuna kodi zetu wananchi.
Kama ni asilimia basi amefanya kwa 20% out of 100%!
Huyo anastahili pongezi kweli?
 
Kwani sisi tunataka mkandarasi au kiongozi mwenye upewe wa kutambua sera na mwelekeo wa uchumi?
Na hizo bara bara ni kelele za wabunge na nyingi bomu hamna kitu. Zile barabara zinazofadhiliwa na nje ndio angalau imara , kwa sababu wanasimia wenyewe... Za Tanroad hamna kitu...angalie i Kilwa road na Ubungo Chalinze...
 
Hakuna alichokifanya zaidi ya kutafuna kodi zetu wananchi.
Kama ni asilimia basi amefanya kwa 20% out of 100%!
Huyo anastahili pongezi kweli?

Which organ do you use to think? Maana hizi comment zingine hizi,unajiuliza huyu mtu huyu yupo sawasawa kweli.
 
Which organ do you use to think? Maana hizi comment zingine hizi,unajiuliza huyu mtu huyu yupo sawasawa kweli.

Wewe mpumbavu unajua ni barabara ngapi zilizotakiwa kutengenezewa? Na ni ngapi zimetengenezwa hadi sasa? Na kwa kiwango gani?
Nenda katafute kwanza hilo halafu ndio uje hapa.
Hapa hatuko kwenye vijiwe vyenu vya kahawa, usilete ubishani wa kijinga.
 
Wewe mpumbavu unajua ni barabara ngapi zilizotakiwa kutengenezewa? Na ni ngapi zimetengenezwa hadi sasa? Na kwa kiwango gani?
Nenda katafute kwanza hilo halafu ndio uje hapa.
Hapa hatuko kwenye vijiwe vyenu vya kahawa, usilete ubishani wa kijinga.

Hata kama upo kwenye "heat" lakini isiwe sababu ya kuwa mkali,jibu swali which organ do you use to think? Kama hujalielewa swali unaruhusiwa kuuliza.tuliza ball bidada
 
Hata kama upo kwenye "heat" lakini isiwe sababu ya kuwa mkali,jibu swali which organ do you use to think? Kama hujalielewa swali unaruhusiwa kuuliza.tuliza ball bidada

Mimi na wewe ni nani aliyepo kwenye heat sasa? Maana kwa ishara hii naona wanasayansi walikosea kusema wanawake pekee ndio wanaokua na nyakati za heat, HATA BAADHI YA WANAUME NA WEWE NI MMOJAWAPO!

Mimi nimeweka data zangu pale, ulitakiwa ujibu kwa fact sio kunishambulia.
Kwa taarifa yako tu, nimecalculate nimepata asilima 2.4.....Hivyo hizo 20% mimi ndio nimemuongezea, hakustahili.
 
Hakuna alichokifanya zaidi ya kutafuna kodi zetu wananchi.
Kama ni asilimia basi amefanya kwa 20% out of 100%!
Huyo anastahili pongezi kweli?

Unawanyoosha sna magamba dada
 
Unawanyoosha sna magamba dada

Hahahaaaaa, mkuu haya magamba kwakweli ukitafakari yalivyoitafuna nchi yetu hata kama una roho ngumu kiasi gani lazima ububujikwe na machozi!
 
Mimi na wewe ni nani aliyepo kwenye heat sasa? Maana kwa ishara hii naona wanasayansi walikosea kusema wanawake pekee ndio wanaokua na nyakati za heat, HATA BAADHI YA WANAUME NA WEWE NI MMOJAWAPO!

Mimi nimeweka data zangu pale, ulitakiwa ujibu kwa fact sio kunishambulia.
Kwa taarifa yako tu, nimecalculate nimepata asilima -2.4.....Hivyo hizo 20% mimi ndio nimemuongezea, hakustahili.

Hujaweka data zozote zaidi ya ku-estimate utendaji wa Magufuli percentage wise basi. Ebu weka chuki pembeni afu jiulize tena,hivi kwa utendaji wa magufuli ndo wa kumpa -2.4% kweli? Tuwe wakweli angalau siku mojamoja.
Mi ndo maana nikakuuliza lile swali lakini naona unalikwepa tu,hii inaitwa defensive mechanism.
 
sio lami matuta kajenga,,,barabara zinaumuka hata hazijakabidhiwa
aibu mpaka siku ya kuzindua wanatuma wawakilishi au mbio za mwenge,,
wanazindua zilizotengenezwa na kampuni za nje,,coz wanasimamia viwango wenyewe,,
 
Hujaweka data zozote zaidi ya ku-estimate utendaji wa Magufuli percentage wise basi. Ebu weka chuki pembeni afu jiulize tena,hivi kwa utendaji wa magufuli ndo wa kumpa -2.4% kweli? Tuwe wakweli angalau siku mojamoja.
Mi ndo maana nikakuuliza lile swali lakini naona unalikwepa tu,hii inaitwa defensive mechanism.

Sasa wewe kwanini hukuniuliza nimetumia data gani kumpa asilimia zile badala yake ukanishambulia?
Kwa akili zako unaona uko sahihi?
Laiti kama ungeniuliza kistaarabu ningekujibu kistaarabu, lakini kwakuwa umekuja kwa personal attack sina muda wa kuwa mstaarabu kwako na wala sikuambii nimetumia data gani.
 
Hata kama upo kwenye "heat" lakini isiwe sababu ya kuwa mkali,jibu swali which organ do you use to think? Kama hujalielewa swali unaruhusiwa kuuliza.tuliza ball bidada

Wengi wanakurupuka kutukana
 
daah!! kwel nmeamin kuwa ccm n lazma ujitoe ufahamu.
hakuna k2 hapo
 
Back
Top Bottom