Mzee Lwaitama anatia aibu sana professor mzima simu ya elf 30....anadunda kwenye daladala mtindo mmoja....ulevi zwiiii... maisha mabovu changanyikeni...hivi hawa maprofessor wanalipwa shilingi ngapi?
Yeye anajiita mwana ccm mfu.......nape alikubali ushauri huo wa lwaitama wala hakutaka kuupinga naamini anaufanyia kazi kwa kuanza upya kauli mbiu ya kuvaa gamba badala ya kuvua maana kuvua haijawezekana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.