Dr. Lwaitama amekuwa Prof. lini?

Dr. Lwaitama amekuwa Prof. lini?

Natural

Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
49
Reaction score
12
Ninachojua mimi huyu bwana alistaafu UDSM akiwa Dr. Leo nimemuona kupitia Star TV akitambulishwa kama Professor. Kwa wenye taarifa anafanya kazi wapi siku hizi? Kama kweli kawa Professor nampongeza sana. Ukweli ni kwa Lwaitama na Baregu ni watu ambao hunikosha sana na uwezo wao wa kuchambua mambo na kujenga hoja. Kwangu, wamekombolewa na elimu.
 
Kuweka rekodi sawasawa; wote (Baregu na Lwaitama) ni wahaya.
 
Lwaitama sio professa labda awe amepewa na jana.
 
Mimi namuonaga Lwaitama kama kanjanja tu..samahani lakni!!?

Nasikitika kwamba humjui Rwaitama vizuri, jaribu kufanya uchunguzi. Huyu ni academician perce na mzalendo wa hali ya juu, na ambaye hana ubabaishaji hata chembe, na pesa pia hahitaji, anachohitaji ni maisha mazuri kwake yeye na watanzania wake. Unacheza na Rwaitama, unamjua humjui?
 
Kuweka rekodi sawasawa; wote (Baregu na Lwaitama) ni wahaya.

ndiyo maana mnafeli mitihani hivyohivyo unaulizwa kawa prof lini unajibu kabila lake mhaya na baregu katokea wapi? kama huju lini kawa prof kaa kimya
 
Inawezekana akawa ni prof. Coz mwaka jana kama mwez wa saba kama sijakosea nilichek profile yake inasomeka Associate Proffesor mimi namfagilia sana huyu father
 
Back
Top Bottom