Dr Leopold Munyakazi poisoned

Dr Leopold Munyakazi poisoned

Nothing intelligent to say ila ukabila tuu na akili yako ya caveman
Did i mention any tribe, ?, pole, jivue chuki za kikabila ili uwe na mawazo huru, emancipate yourself from mental slavery
 
nothn to say,inatia huruma fikiria huyu mzee km ni mzazi wako.kosa kubwa ni yeye kuwa critic wa regime na kuandika article korofi kumshutumu rais basi,hayo mengine sijui alishiriki genocide ni blah blah tu.

by the way,hawa intellectual wengi walipofika nje na kupewa ukimbizi wote walikimbilia kufungua blogu na kuanza kuandika na kumshutumu PK,SA NYINGINE NI VIZURI KUKAA KIMYA TU.

maana PK kawashughulikia kweli kweli,wote wamekimbia blogu zao
 
oops! hebu jiulizeni, na mikelele yenu yooote, leo hii Interahamwe nyingine mbili zimetimuliwa kutoka uholanzi, tabu kwelikweli! na bado...
CxENp4CWEAQsAF8.jpg


CxENpisW8AASEBC.jpg
Wafipa wengi ukitrace yasemekana tuna originate From Tuts but I hate Tutsi to the ground yana roho mbaya ataungeyafadhili hayana shukrani!
 
watusi wameamua kuwafunga wasomi wote wa kihutu.

nashauri kama kuna wengine wakae kwa tahadhari sana
 
Gees! wacha kuhamaki mkuu, I knew you will be back with full of crap! there you go, you never disappoint, could you? it is even very difficult to understand a point you are trying to make because you doubt and try to make a conclusion at the same time! I don't know if you do it intentionally or just to complicate the matter? cha kwanza na muhimu zaidi ni kwamba unatakiwa ukae ukijuwa ya kwamba ndani ya Rwanda yetu kuna wahutu na watutsi katika ngazi zote, upo hapo? cha pili ni kwamba watuhumiwa, mashahidi na files zao vyote vipo. cha tatu ni kwamba hiyo misamaha unayotufundisha wenzako washaitoa hadi wanaonekana machizi. cha nne ni kwamba kama haukubahatika basi uwaulize ndugu marafiki au jamaa zako waliofanikiwa kuenda universities maarufu duniani watakuambia ni wahutu wangapi waliokutana nao huko vyuoni BTW kutokana na ushawishi wa serikali inayoongozwa na Mh. Paul Kagame ukiuliza (mnyarwanda iwe nje au ndani) kama ni Mhutu au Mtutsi huenda ukajibiwa lakini akakuchukulia kama fala la kiafrica lisilojitambua au ukajibiwa jibu ambalo hautaongeza kulisahau maishani mwako! cha tano, je unataka walio uwa wenzao kutokana na walivyoumbwa na Mungu waachiwe huru kwa sababu ni wasomi? wewe bana! cha sita nani kakuambia tunaishi kwa sababu ya ufaransa ya Le Pen au hao mapepo wengine? hii ndio Rwanda bana, The land of the brave, come rain come shine, we never bow down! mwisho kabisa hebu sikiliza hii clip alafu uniambie ingekuwa wewe leo ungekuwa unatoa kauli gani? usipende kuwa unachanganya mambo kwani uhutu haimaanishi uuwaji! na vilevile kusudi nisikumalizie bundle katika dakika ya 5:30 utafahamu ya kwamba hao "wasomi" unaotetea ndio waliopumbaza wasiojuwa kinachoendelea na hilo twalijuwa vyema ndio maana tunawasaka hadi uvunguni! so Bukyanagandi to hell with you and your conspiracy theories!

Ahahhaa, mzee wa sumu unataka kutuambia nyie watusi ndo mliuwawa tu? mbona nasikia ilikuwa piga nikupige? Nyie mnatakiwa kuendelea kutawaliwa tu.
 
Hoja ya wasomi kuuawa mbona dhaifu sana mngejikita kueleza kama ni kweli hao wasomi hawana makosa kuliko kuona kwamba tatizo ni usomi wao pekee.
 
The sun has arisen for the Hutus and Tutsi herein this forum .... I'll be back to see the two arch rivals
 
Mchambawima1 mimi nilikiwa nawapa tahadhali tu kwa nia safi, hivi sasa mnaweza kujiona mmeshikilia mpini, hakuna mtu anaweza kuwaeleza kitu, mna hunt down kila Muhutu mwenye elimu/Intellectual kwa kuwasingizia kwamba wao ndiyo walikuwa ni ma archtect wa genocide (hiyo ndiyo ni kauli yako unayo isema hapa), je, kuna ukweli gani katika hilo.

Inaonekana wazi wazi mmepania kuwamaliza Wahutu wote wasomi ili mbaki na mbumbumbu ambao awawezi kujitetea au kuuliza kitu na hilo ndilo lengo lenu kuu i.e a mirror image ya kutekeleza through a back door genocide ya kuwamaliza wahutu wote ambao mna waona ni ma intellectuals vile vile businessmen na wengine wenye ushawishi mkubwa nchini Rwanda na nje - mna emulate to the letter mbinu za STASI (Ujerumani Mashariki), Mukhabarati (Sadam Hussein) na Securitate (Ceausescu Romania), je, tawala zote hizo zilishia wapi licha ya kutawala Mataifa yao like semi Police states (kijeshi na kijasusi) - hiki ndicho kinacho endelea nchini mwenu, badala ya kusamehana na kumaliza tofauti zenu nyinyi mnakimbilia ku-hunt down binadamu wenzenu like wild animals, hata akili ya kukumbuka kwamba what goes around comes around - nawazo/akili hizo hamna kabisa mmejaa ujeuri na majivuno tu na kushindwa kuona mbali!!!

Mkishauliwa tu mnakuja juu na ujeuri wenu eti "mzee wa conspiracy theory" always having an inflated view ya umuhimu wenu hapa Duniani hamsikii la Sheikh wala muadhini!!! Baadae kibao kikiwagehuka mnakimbilia Mikoa ya Kagera na Uganda mnalilia lia "Ndafuyee ndaweleye" au mnafikiri Wahutu watabaki wajinga, wakubali kunyanyaswa na kujiona kama second class citizen kwenye Taifa lao miaka nenda rudi - msipo badirika attitude zenu za kujiona nyinyi ni zaidi, yatakayo fuata huko mbeleni yatakuwa mabaya zaidi ya 1994 - nawambieni.

Narudia kusema tatizo lenu kuu nyie Wanyarwanda i.e Wahutu na Watutsi wote mmejaa a burning hatred baina yenu lakini at least Wahutu ni rahisi kusamee sio nyinyi ambao ujeuri majivuno nao unachangia sana katika hulka zenu na hicho ndicho kitawamaliza msipo badirika.

Wanyarwanda wote kaine chini mu-address weakness zenu mkiwa level headed ya nini kugombea fito wakati lengo lenu ni kujenga nyumba moja, haya mawazo ya kishenzi ya kufikiri kabila moja limeumbwa kuwatawala makabila mengine - wazo hilo life kabisa, kumbukeni PK ni binadamu awezi kutawala milele au kuishi miaka 996 kama Methuselah kwenye simulizi za Biblia - term yake hii ndiyo ingekuwa muda muhafaka wa kukutana na mahasimu wake na kumaliza tofauti zao kistaarabu kuliko kupoteza muda mwingi kulipiza visasi, kuwabambikizia kesi wahutu na baadhi ya Watutsi ambao anawaona ni tishio kwa utawala wake - na sijui kwa nini Amerika na nchi za Ulaya zinakubaliana na madai ya PK bila ya kuwa na an independet ushahidi, I hope Trump awezi kubariki uonezi huu, hata kama wapo baadhi ya wahutu walio husika basi watahukumiwa huko huko uhamishoni baada ya kupata ushahidi usiyo na mawaa wafungwe bila ya kurudishwa Rwanda.

Nimalizie kwa kusema utawala wa PK waachane na mbinu za kuwabambikizia kesi za kutunga tu na ushahidi wa uongo, nayasema kutokana na miaka ya nyuma kumuona mama wa Kinyarwanda akilalamika kwamba Serikali ilikuwa inamlazimisha atoe ushahidi wa uongo kumsingizia one of Hutus' Intellectual kwamba anahusika na mauuaji!!! Mbinu hizo siyo fresh hata kidogo na msipo angalia itakuja kuwa gharimu dearly siku za usoni nawambieni.

Hivi nyinyi mambo haya ya uonezi mnayo wafanyia Wahutu na baadhi ya Watutsi mnafikiri mtu kama Marine Le Pen akishinda kiti cha Urais huko Ufaransa, alafu wanafamilia au Serikali ya Ufaransa wakahamua kufufua kesi ya kuuwawa marubani wawili wa Ufaransa wakiwemo wahudumu wa ndege, Rais Habyarimana na Ndadaye kesi hiyo hata Wafaransa wakilenga kuwabambikia kesi baadhi ya maafisa wa Serikali ya PK hata kama awahusiki moja kwa moja na hujuma hizol, unafikiri Ufaransa inashindwa kuwageuzia kibao, je, Ufaransa ikihamua kufanya kweli ofisi za Admin. ya PK zitakalika kweli? - Wakati mwingine nikiona jamaa anawakomalia Serikali ya Ufaransa namshangaa sana, hata ajui kwamba mambo ya Gabgo yanaweza kumkumba hata yeye Wafaransa wakihamua kufanya kweli - mimi nawakumbusha kwamba PK na wapambe wake wasijiamini kupita kiasi hasa hasa ukizingatia kwamba American Establishment iliyo kuwa inawakingia kifua baadhi ya tawala dhalimu Barani Africa na Mashariki ya kati, hivi sasa Establishment hiyo imekwisha pigwa chini na wapiga kura wa Merikani, hivyo wadhalimu wote Barani Africa na Mashariki ya kati hivi sasa wamekalia kuti kavu.
Mkuu, heshima kwako. Ume narrate vizuri sana na huo ndiyo ukweli. Serikali ya Rwanda haina dhamira ya kujenga stability ndani ya nchi yao, either kwa mbinu au kwa kujawa na hofu.
Usalama katika nchi ya Rwanda kwa hivi Sasa ni kama chungu kilichoinjikwa kwenye jiko lenye mafiga mawili.
Ukifuatilia utaona Watusi walio katika good time ni zile Jamii zilizokua zikiishi nje ya Rwanda kabla na baada ya mauaji ya kimbari, lakini majority ya waliokua wakiishi Rwanda nayo wamewekwa pembeni na wanakua treated kama wahutu tu. Maana wao hawana shida na wahutu kwa kuwa waliishi pamoja kabla ya uchonganishi uliozaa mauaji ya kimbari.
Strategy ya Ku eliminate intellectuals wa kihutu ni mbovu kabisa, maana ni afadhali ya hawa wana uwezo w kufanya reasoning, lakini wakilianzisha wale waliopo msituni, hali itakua mbaya, watu wataliwa nyama kama waluvyofanya wale jamaa wa anti Baraka.
 
What a joke, watakutawala wewe.
Tanzania ndo supper power east and central Africa. Ni wajibu wetu kuleta amani Rwanda. Kama tulivyofanya Uganda enzi za idd amin. Na kama tunavyowasaidia Congo.
 
Mzee wa sumuuuuuuu, tema sumu tema sumuuuu, ndo naye mumemuua? au mnamtafuta mumuue?
OMG! another one from Canada... who is the next Genocider?
BTw-Gr2k_400x400.png
Mzee wa sumuuuuuuu, tema sumu tema sumuuuu, ndo naye mumemuua? au mnamtafuta mumuue?
 
Sasahivi wanamfukuzia padri aliyeamua kugombea uraisi Rwanda wamuue. Nimeona leo kwenye mtandao wao wamemuonesha padri amelala kwenye bench airport Kenya.
 
I do appreciate many things done by Paul Kagame....coz alipotoka c haba till whre he is now...amefanya vityu mob na vzuri na ninajivunia kuresemble same tribe....bt a matter of fakt Hutu didnt good things for tutsi back of the days hasa ukipotezewa na bloodly relative....Inauma saana kwa kilichotokea many of us we judge things wrong...like anybody kuna hisia haziwez kutoka kirahisi guys....Si wahutu tu waliouawa chini ya uongozi wa PK mfano.Kalegeya is one who died several yrs ago...Wanyarwanda waachiwe nchi yao si France,America or elseone ataeza fanya chochote kwa PK.....In love with Rwanda....Rwanda is moving on fastly compared to our closely country sides....
[HASHTAG]#OnceRwandanAlwaysRwandese[/HASHTAG]
 
Back
Top Bottom