Dr Leopold Munyakazi poisoned

Dr Leopold Munyakazi poisoned

I can see that you are coming from hibernation. Hivi wewe huchoki kuandika vitu visivyokuwa na mbele wala nyuma? Tumekuchoka sisi.
Naona wewe unavisa na members na siyo posts, member ka Post article +source, wewe una m atack yeye, kweli manslaughter haitaisha kwenu
 
Kabila gani?
Jean-Baptiste-MugimbaLand-JC-IyamuremyeR-300x147.jpg

Jean Baptiste Mugimba(L)and Jean Claude Iyamuremye(R) upon arrival at KIA

The Netherlands has finally made an important step regarding the extradition of Genocide suspects who have been expecting the country to give them eternal safe haven.

Two Rwandan genocide suspects who have lived and enjoyed the protection of the Dutch justice, beating the legal loopholes for years, have finally arrived in Rwanda to face charges of genocide crimes back home.

Jean-Baptiste Mugimba 56, and Jean Claude Iyamuremye 38, arrived at Kigali International airport at 19.10hrs local time aboard KLM royal Dutch Airlines on extradition orders to account for their role in the 1994 genocide against Tutsi that claimed over a million lives.

After arriving at the airport, the two suspects remained inside the plane for about 20 minutes for other passengers to disembark in the commercial flight which had other passengers from Amsterdam.

Silently and diplomatically with none of them saying a word, they disembarked the plane and entered in the detention van filmed by the media teams which included a Dutch based public TV -BNNVARA.

Iyamuremye aka ‘Nzinga’ was arrested in July 2013 at Voorburg, Netherlands. His case was referred to a Dutch court of First Instance in The Hague in October 2014 for an extradition hearing to face trial in Rwanda. Rwanda’s request was granted, but was never executed.

He is accused of involvement in the massacre of Tutsi who were hiding at former Ecole Technique Officielle de Kicukiro in Kigali in April 1994 and to burn houses of the Tutsi.

Mugimba, who was an employee of the National Bank of Rwanda, was arrested at his home in Leusden pursuant to an arrest warrant issued by Rwanda on 22 November 2012. He is accused of committing genocide in Nyakabanda area in Kigali city where he was Secretary General of the Coalition for the Defence of the Republic (CDR)- an extremist ethnic party.

He also used to distribute arms to the militia interahamwe, and to decide where, in Kigali, roadblocks to kill Tutsi were to be erected, according to prosecution.

After several appeals by the suspects, The Netherlands courts still ruled in favor of Rwanda government.
“This means 15 more suspects remain in The Netherlands out of the 18 deportation requests Rwanda made to the Dutch government,” said Jean Bosco Siboyintore, head of Genocide Fugitives Tracking Unit.

Siboyintore also revealed that in the extradition agreement, Rwanda and The Netherlands agreed the two suspects will be monitored by Dutch judicial monitoring team.

The two suspects are the first to be sent in a group and they mark a decisive step by The Netherlands to cooperate more than ever with Rwanda in trying Genocide suspects.

The Netherlands Justice and Security minister visited Rwanda in 2014 where he said his country was ready to extradite or deport some genocide suspects to Rwanda soon.

However, last year, a parliamentary committee of The Netherlands who made a trip to Rwanda said their country needed more time to decide extradition.

“We are not a country where criminals should expect safe haven. But we are a country of peace and we need to always strike a balance between the two,” Sharon Sesthuizen, head of delegation said then.

Commenting on the extradition, the Executive Secretary of the National Commission for the Fight against Genocide (CNLG) Jean Baptise Bizimana said this is the best justice move and reassurance of hope for justice to be served.

“These have been long waited cases for Rwanda to see justice served. We have for several years asked for this to happen and it has taken so long due to delays in implementation,” said Bizimana.

Western countries, like France have been a safe haven for many Rwandan genocide suspects but the recent turnaround by some countries, except for France, to extradite the suspects serves as a warning to those in their hideouts.

Last week, the UN Deputy Secretary General Jan Eliasson was in Rwanda where he assured Rwandans that he will do his best to have all genocide suspects arrested as a way to bring justice to genocide survivors.

“We will do our best to back Rwanda in this cause to bring the fugitives to justice,” Eliasson said while commending Rwanda for the steps taken in the unity and reconciliation. “This step is a good model to the world.”

So far Rwanda has issued about 300 Interpol Red Notices alerting the world about wanted fugitives.

Out of them, 17 were arrested and tried in host countries while about 75 others were tracked, arrested and extradited to Arusha during the mandate of International Criminal Tribunal for Rwanda (ICTR). Other 13 fugitives were extradited from other countries to Rwanda.

The most recent extradition is of the notorious genocide mastermind suspect Dr. Leopald Munyakazi who was transferred to Rwanda in September.

He is currently under court detention as he waits to face hearing on his counts of genocide crimes.
 
Imbonerakure bana... bringing some one to justice is not killing! we unishi dunia gani lakini? sasa siku makamanda wako kina Nkurumbi wakianza kudakwa naona utadata vyuma
Utamdaka nani wewe, Nkurunziza ni kiboko ya paka. Paka alitaka kuleta umaluhuni wake kwa warundi wakamchenjia sasahivi kimyaaaaa kama hayupo vile. Sasahivi nguvu zote ameelekeza kupambana na wahutu wasomi ili wasijeunganisha wenzao wakamtimua fashist paka.
 
Mkuu hivi watu wenye kazi zao kama ma Engineer, Walimu wa vyuo vikuu, Madaktari tusema wenye ethics zao wanawezaje kujihusisha na mauuaji ya alahaki! Kwa nini Wahutu wenye taaluma zao ndiyo wanasakwa sana - hapa kuna nini? Suala hili mimi sikubaliana nalo hata kidogo, lisije likawa ni mbinu za kutaka kwamaliza Wahutu ambao ni ma intellectuals - sijui kwa nini Dunia aijalishitukia hilo!!
Mkuu jiulize mbona watutsi hawakamatwi Rwanda? Wao kweli ni waadilifu zaidi ya wahutu? Kwa Rwanda ya paka na watutsi wenzie msomi wa kihutu yeyote na popote alipo ni muuaji wa kimbari. Paka anakimbiakimbia uchunguzi wa ufaransa maana anajua genocide ya kweli ni ile ya baada ya paka kuchukua nchi maana aliua wahutu wengi kwelikweli.
 
I can see that you are coming from hibernation. Hivi wewe huchoki kuandika vitu visivyokuwa na mbele wala nyuma? Tumekuchoka sisi.
Umemchoka wewe na nani? Na watutsi wenzio? Kila mtakachofanya iwe gizani au kwenye mwanga,mtawekwa hadharani tu,shwine!
 
Umemchoka wewe na nani? Na watutsi wenzio? Kila mtakachofanya iwe gizani au kwenye mwanga,mtawekwa hadharani tu,shwine!
Hahaha..kama tunavyowarudisha hao interahamwe kwetu kila siku. Mtajificha lakini iko siku justice will catch up with you
 
Hao ndugu zako waliokuwa deported and arrested left/right everyday ndio wana kesi za mauaji so waulize wao
Msichojua ni kuwa ukichinja mmoja wanazaliwa many of the same strength na naadae mtazalisha kamikaze kutoka ndani yenu, muulize sadam na qadaf
 
Ka
Jean-Baptiste-MugimbaLand-JC-IyamuremyeR-300x147.jpg

Jean Baptiste Mugimba(L)and Jean Claude Iyamuremye(R) upon arrival at KIA

The Netherlands has finally made an important step regarding the extradition of Genocide suspects who have been expecting the country to give them eternal safe haven.

Two Rwandan genocide suspects who have lived and enjoyed the protection of the Dutch justice, beating the legal loopholes for years, have finally arrived in Rwanda to face charges of genocide crimes back home.

Jean-Baptiste Mugimba 56, and Jean Claude Iyamuremye 38, arrived at Kigali International airport at 19.10hrs local time aboard KLM royal Dutch Airlines on extradition orders to account for their role in the 1994 genocide against Tutsi that claimed over a million lives.

After arriving at the airport, the two suspects remained inside the plane for about 20 minutes for other passengers to disembark in the commercial flight which had other passengers from Amsterdam.

Silently and diplomatically with none of them saying a word, they disembarked the plane and entered in the detention van filmed by the media teams which included a Dutch based public TV -BNNVARA.

Iyamuremye aka ‘Nzinga’ was arrested in July 2013 at Voorburg, Netherlands. His case was referred to a Dutch court of First Instance in The Hague in October 2014 for an extradition hearing to face trial in Rwanda. Rwanda’s request was granted, but was never executed.

He is accused of involvement in the massacre of Tutsi who were hiding at former Ecole Technique Officielle de Kicukiro in Kigali in April 1994 and to burn houses of the Tutsi.

Mugimba, who was an employee of the National Bank of Rwanda, was arrested at his home in Leusden pursuant to an arrest warrant issued by Rwanda on 22 November 2012. He is accused of committing genocide in Nyakabanda area in Kigali city where he was Secretary General of the Coalition for the Defence of the Republic (CDR)- an extremist ethnic party.

He also used to distribute arms to the militia interahamwe, and to decide where, in Kigali, roadblocks to kill Tutsi were to be erected, according to prosecution.

After several appeals by the suspects, The Netherlands courts still ruled in favor of Rwanda government.
“This means 15 more suspects remain in The Netherlands out of the 18 deportation requests Rwanda made to the Dutch government,” said Jean Bosco Siboyintore, head of Genocide Fugitives Tracking Unit.

Siboyintore also revealed that in the extradition agreement, Rwanda and The Netherlands agreed the two suspects will be monitored by Dutch judicial monitoring team.

The two suspects are the first to be sent in a group and they mark a decisive step by The Netherlands to cooperate more than ever with Rwanda in trying Genocide suspects.

The Netherlands Justice and Security minister visited Rwanda in 2014 where he said his country was ready to extradite or deport some genocide suspects to Rwanda soon.

However, last year, a parliamentary committee of The Netherlands who made a trip to Rwanda said their country needed more time to decide extradition.

“We are not a country where criminals should expect safe haven. But we are a country of peace and we need to always strike a balance between the two,” Sharon Sesthuizen, head of delegation said then.

Commenting on the extradition, the Executive Secretary of the National Commission for the Fight against Genocide (CNLG) Jean Baptise Bizimana said this is the best justice move and reassurance of hope for justice to be served.

“These have been long waited cases for Rwanda to see justice served. We have for several years asked for this to happen and it has taken so long due to delays in implementation,” said Bizimana.

Western countries, like France have been a safe haven for many Rwandan genocide suspects but the recent turnaround by some countries, except for France, to extradite the suspects serves as a warning to those in their hideouts.

Last week, the UN Deputy Secretary General Jan Eliasson was in Rwanda where he assured Rwandans that he will do his best to have all genocide suspects arrested as a way to bring justice to genocide survivors.

“We will do our best to back Rwanda in this cause to bring the fugitives to justice,” Eliasson said while commending Rwanda for the steps taken in the unity and reconciliation. “This step is a good model to the world.”

So far Rwanda has issued about 300 Interpol Red Notices alerting the world about wanted fugitives.

Out of them, 17 were arrested and tried in host countries while about 75 others were tracked, arrested and extradited to Arusha during the mandate of International Criminal Tribunal for Rwanda (ICTR). Other 13 fugitives were extradited from other countries to Rwanda.

The most recent extradition is of the notorious genocide mastermind suspect Dr. Leopald Munyakazi who was transferred to Rwanda in September.

He is currently under court detention as he waits to face hearing on his counts of genocide crimes.
Kauli ya Jan eliaason ni njema na ya kuleta habari njema kama itatendewa haki
 
lol! mzee wa maconspiracy theories naona umerudi! lakini kabla haujafika mbali na yale maandishi yako marefu, kaa ukijuwa ya kwamba wasomi ndio tunawatafuta sana kwani ndio walio walaghai wananchi wachovu! kwa kukumbusha tu, hata Raisi wa mainterahamwe alikuwa Dr Théodore Sindikubwabo - Wikipedia, sasa tufanyeje?

Mchambawima1 mimi nilikiwa nawapa tahadhali tu kwa nia safi, hivi sasa mnaweza kujiona mmeshikilia mpini, hakuna mtu anaweza kuwaeleza kitu, mna hunt down kila Muhutu mwenye elimu/Intellectual kwa kuwasingizia kwamba wao ndiyo walikuwa ni ma archtect wa genocide (hiyo ndiyo ni kauli yako unayo isema hapa), je, kuna ukweli gani katika hilo.

Inaonekana wazi wazi mmepania kuwamaliza Wahutu wote wasomi ili mbaki na mbumbumbu ambao awawezi kujitetea au kuuliza kitu na hilo ndilo lengo lenu kuu i.e a mirror image ya kutekeleza through a back door genocide ya kuwamaliza wahutu wote ambao mna waona ni ma intellectuals vile vile businessmen na wengine wenye ushawishi mkubwa nchini Rwanda na nje - mna emulate to the letter mbinu za STASI (Ujerumani Mashariki), Mukhabarati (Sadam Hussein) na Securitate (Ceausescu Romania), je, tawala zote hizo zilishia wapi licha ya kutawala Mataifa yao like semi Police states (kijeshi na kijasusi) - hiki ndicho kinacho endelea nchini mwenu, badala ya kusamehana na kumaliza tofauti zenu nyinyi mnakimbilia ku-hunt down binadamu wenzenu like wild animals, hata akili ya kukumbuka kwamba what goes around comes around - nawazo/akili hizo hamna kabisa mmejaa ujeuri na majivuno tu na kushindwa kuona mbali!!!

Mkishauliwa tu mnakuja juu na ujeuri wenu eti "mzee wa conspiracy theory" always having an inflated view ya umuhimu wenu hapa Duniani hamsikii la Sheikh wala muadhini!!! Baadae kibao kikiwagehuka mnakimbilia Mikoa ya Kagera na Uganda mnalilia lia "Ndafuyee ndaweleye" au mnafikiri Wahutu watabaki wajinga, wakubali kunyanyaswa na kujiona kama second class citizen kwenye Taifa lao miaka nenda rudi - msipo badirika attitude zenu za kujiona nyinyi ni zaidi, yatakayo fuata huko mbeleni yatakuwa mabaya zaidi ya 1994 - nawambieni.

Narudia kusema tatizo lenu kuu nyie Wanyarwanda i.e Wahutu na Watutsi wote mmejaa a burning hatred baina yenu lakini at least Wahutu ni rahisi kusamee sio nyinyi ambao ujeuri majivuno nao unachangia sana katika hulka zenu na hicho ndicho kitawamaliza msipo badirika.

Wanyarwanda wote kaine chini mu-address weakness zenu mkiwa level headed ya nini kugombea fito wakati lengo lenu ni kujenga nyumba moja, haya mawazo ya kishenzi ya kufikiri kabila moja limeumbwa kuwatawala makabila mengine - wazo hilo life kabisa, kumbukeni PK ni binadamu awezi kutawala milele au kuishi miaka 996 kama Methuselah kwenye simulizi za Biblia - term yake hii ndiyo ingekuwa muda muhafaka wa kukutana na mahasimu wake na kumaliza tofauti zao kistaarabu kuliko kupoteza muda mwingi kulipiza visasi, kuwabambikizia kesi wahutu na baadhi ya Watutsi ambao anawaona ni tishio kwa utawala wake - na sijui kwa nini Amerika na nchi za Ulaya zinakubaliana na madai ya PK bila ya kuwa na an independet ushahidi, I hope Trump awezi kubariki uonezi huu, hata kama wapo baadhi ya wahutu walio husika basi watahukumiwa huko huko uhamishoni baada ya kupata ushahidi usiyo na mawaa wafungwe bila ya kurudishwa Rwanda.

Nimalizie kwa kusema utawala wa PK waachane na mbinu za kuwabambikizia kesi za kutunga tu na ushahidi wa uongo, nayasema kutokana na miaka ya nyuma kumuona mama wa Kinyarwanda akilalamika kwamba Serikali ilikuwa inamlazimisha atoe ushahidi wa uongo kumsingizia one of Hutus' Intellectual kwamba anahusika na mauuaji!!! Mbinu hizo siyo fresh hata kidogo na msipo angalia itakuja kuwa gharimu dearly siku za usoni nawambieni.

Hivi nyinyi mambo haya ya uonezi mnayo wafanyia Wahutu na baadhi ya Watutsi mnafikiri mtu kama Marine Le Pen akishinda kiti cha Urais huko Ufaransa, alafu wanafamilia au Serikali ya Ufaransa wakahamua kufufua kesi ya kuuwawa marubani wawili wa Ufaransa wakiwemo wahudumu wa ndege, Rais Habyarimana na Ndadaye kesi hiyo hata Wafaransa wakilenga kuwabambikia kesi baadhi ya maafisa wa Serikali ya PK hata kama awahusiki moja kwa moja na hujuma hizol, unafikiri Ufaransa inashindwa kuwageuzia kibao, je, Ufaransa ikihamua kufanya kweli ofisi za Admin. ya PK zitakalika kweli? - Wakati mwingine nikiona jamaa anawakomalia Serikali ya Ufaransa namshangaa sana, hata ajui kwamba mambo ya Gabgo yanaweza kumkumba hata yeye Wafaransa wakihamua kufanya kweli - mimi nawakumbusha kwamba PK na wapambe wake wasijiamini kupita kiasi hasa hasa ukizingatia kwamba American Establishment iliyo kuwa inawakingia kifua baadhi ya tawala dhalimu Barani Africa na Mashariki ya kati, hivi sasa Establishment hiyo imekwisha pigwa chini na wapiga kura wa Merikani, hivyo wadhalimu wote Barani Africa na Mashariki ya kati hivi sasa wamekalia kuti kavu.
 
Msichojua ni kuwa ukichinja mmoja wanazaliwa many of the same strength na naadae mtazalisha kamikaze kutoka ndani yenu, muulize sadam na qadaf
Nothing intelligent to say ila ukabila tuu na akili yako ya caveman
 
Mchambawima1 mimi nilikiwa nawapa tahadhali tu kwa nia safi, hivi sasa mnaweza kujiona mmeshikilia mpini, hakuna mtu anaweza kuwaeleza kitu, mna hunt down kila Muhutu mwenye elimu/Intellectual kwa kuwasingizia kwamba wao ndiyo walikuwa ni ma archtect wa genocide (hiyo ndiyo ni kauli yako unayo isema hapa), je, kuna ukweli gani katika hilo.

Inaonekana wazi wazi mmepania kuwamaliza Wahutu wote wasomi ili mbaki na mbumbumbu ambao awawezi kujitetea au kuuliza kitu na hilo ndilo lengo lenu kuu i.e a mirror image ya kutekeleza through a back door genocide ya kuwamaliza wahutu wote ambao mna waona ni ma intellectuals vile vile businessmen na wengine wenye ushawishi mkubwa nchini Rwanda na nje - mna emulate to the letter mbinu za STASI (Ujerumani Mashariki), Mukhabarati (Sadam Hussein) na Securitate (Ceausescu Romania), je, tawala zote hizo zilishia wapi licha ya kutawala Mataifa yao like semi Police states (kijeshi na kijasusi) - hiki ndicho kinacho endelea nchini mwenu, badala ya kusamehana na kumaliza tofauti zenu nyinyi mnakimbilia ku-hunt down binadamu wenzenu like wild animals, hata akili ya kukumbuka kwamba what goes around comes around - nawazo/akili hizo hamna kabisa mmejaa ujeuri na majivuno tu na kushindwa kuona mbali!!!

Mkishauliwa tu mnakuja juu na ujeuri wenu eti "mzee wa conspiracy theory" always having an inflated view ya umuhimu wenu hapa Duniani hamsikii la Sheikh wala muadhini!!! Baadae kibao kikiwagehuka mnakimbilia Mikoa ya Kagera na Uganda mnalilia lia "Ndafuyee ndaweleye" au mnafikiri Wahutu watabaki wajinga, wakubali kunyanyaswa na kujiona kama second class citizen kwenye Taifa lao miaka nenda rudi - msipo badirika attitude zenu za kujiona nyinyi ni zaidi, yatakayo fuata huko mbeleni yatakuwa mabaya zaidi ya 1994 - nawambieni.

Narudia kusema tatizo lenu kuu nyie Wanyarwanda i.e Wahutu na Watutsi wote mmejaa a burning hatred baina yenu lakini at least Wahutu ni rahisi kusamee sio nyinyi ambao ujeuri majivuno nao unachangia sana katika hulka zenu na hicho ndicho kitawamaliza msipo badirika.

Wanyarwanda wote kaine chini mu-address weakness zenu mkiwa level headed ya nini kugombea fito wakati lengo lenu ni kujenga nyumba moja, haya mawazo ya kishenzi ya kufikiri kabila moja limeumbwa kuwatawala makabila mengine - wazo hilo life kabisa, kumbukeni PK ni binadamu awezi kutawala milele au kuishi miaka 996 kama Methuselah kwenye simulizi za Biblia - term yake hii ndiyo ingekuwa muda muhafaka wa kukutana na mahasimu wake na kumaliza tofauti zao kistaarabu kuliko kupoteza muda mwingi kulipiza visasi, kuwabambikizia kesi wahutu na baadhi ya Watutsi ambao anawaona ni tishio kwa utawala wake - na sijui kwa nini Amerika na nchi za Ulaya zinakubaliana na madai ya PK bila ya kuwa na an independet ushahidi, I hope Trump awezi kubariki uonezi huu, hata kama wapo baadhi ya wahutu walio husika basi watahukumiwa huko huko uhamishoni baada ya kupata ushahidi usiyo na mawaa wafungwe bila ya kurudishwa Rwanda.

Nimalizie kwa kusema utawala wa PK waachane na mbinu za kuwabambikizia kesi za kutunga tu na ushahidi wa uongo, nayasema kutokana na miaka ya nyuma kumuona mama wa Kinyarwanda akilalamika kwamba Serikali ilikuwa inamlazimisha atoe ushahidi wa uongo kumsingizia one of Hutus' Intellectual kwamba anahusika na mauuaji!!! Mbinu hizo siyo fresh hata kidogo na msipo angalia itakuja kuwa gharimu dearly siku za usoni nawambieni.

Hivi nyinyi mambo haya ya uonezi mnayo wafanyia Wahutu na baadhi ya Watutsi mnafikiri mtu kama Marine Le Pen akishinda kiti cha Urais huko Ufaransa, alafu wanafamilia au Serikali ya Ufaransa wakahamua kufufua kesi ya kuuwawa marubani wawili wa Ufaransa wakiwemo wahudumu wa ndege, Rais Habyarimana na Ndadaye kesi hiyo hata Wafaransa wakilenga kuwabambikia kesi baadhi ya maafisa wa Serikali ya PK hata kama awahusiki moja kwa moja na hujuma hizol, unafikiri Ufaransa inashindwa kuwageuzia kibao, je, Ufaransa ikihamua kufanya kweli ofisi za Admin. ya PK zitakalika kweli? - Wakati mwingine nikiona jamaa anawakomalia Serikali ya Ufaransa namshangaa sana, hata ajui kwamba mambo ya Gabgo yanaweza kumkumba hata yeye Wafaransa wakihamua kufanya kweli - mimi nawakumbusha kwamba PK na wapambe wake wasijiamini kupita kiasi hasa hasa ukizingatia kwamba American Establishment iliyo kuwa inawakingia kifua baadhi ya tawala dhalimu Barani Africa na Mashariki ya kati, hivi sasa Establishment hiyo imekwisha pigwa chini na wapiga kura wa Merikani, hivyo wadhalimu wote Barani Africa na Mashariki ya kati hivi sasa wamekalia kuti kavu.
Gees! wacha kuhamaki mkuu, I knew you will be back with full of crap! there you go, you never disappoint, could you? it is even very difficult to understand a point you are trying to make because you doubt and try to make a conclusion at the same time! I don't know if you do it intentionally or just to complicate the matter? cha kwanza na muhimu zaidi ni kwamba unatakiwa ukae ukijuwa ya kwamba ndani ya Rwanda yetu kuna wahutu na watutsi katika ngazi zote, upo hapo? cha pili ni kwamba watuhumiwa, mashahidi na files zao vyote vipo. cha tatu ni kwamba hiyo misamaha unayotufundisha wenzako washaitoa hadi wanaonekana machizi. cha nne ni kwamba kama haukubahatika basi uwaulize ndugu marafiki au jamaa zako waliofanikiwa kuenda universities maarufu duniani watakuambia ni wahutu wangapi waliokutana nao huko vyuoni BTW kutokana na ushawishi wa serikali inayoongozwa na Mh. Paul Kagame ukiuliza (mnyarwanda iwe nje au ndani) kama ni Mhutu au Mtutsi huenda ukajibiwa lakini akakuchukulia kama fala la kiafrica lisilojitambua au ukajibiwa jibu ambalo hautaongeza kulisahau maishani mwako! cha tano, je unataka walio uwa wenzao kutokana na walivyoumbwa na Mungu waachiwe huru kwa sababu ni wasomi? wewe bana! cha sita nani kakuambia tunaishi kwa sababu ya ufaransa ya Le Pen au hao mapepo wengine? hii ndio Rwanda bana, The land of the brave, come rain come shine, we never bow down! mwisho kabisa hebu sikiliza hii clip alafu uniambie ingekuwa wewe leo ungekuwa unatoa kauli gani? usipende kuwa unachanganya mambo kwani uhutu haimaanishi uuwaji! na vilevile kusudi nisikumalizie bundle katika dakika ya 5:30 utafahamu ya kwamba hao "wasomi" unaotetea ndio waliopumbaza wasiojuwa kinachoendelea na hilo twalijuwa vyema ndio maana tunawasaka hadi uvunguni! so Bukyanagandi to hell with you and your conspiracy theories!
 
Msichojua ni kuwa ukichinja mmoja wanazaliwa many of the same strength na naadae mtazalisha kamikaze kutoka ndani yenu, muulize sadam na qadaf
Mkuu Gama umeongea kwa usahihi sana,nakumbuka mwaka 2003 watutsi wa Burundi kina Pierre Buyoya na mkuu wa majeshi wa wakati huo col.Jean Bikomagu walimkamata rais muhutu aliyechaguliwa kidemokrasia kabisa Melchior Ndadaye ili wamuue, walipokuwa wanamtesa aliwaambia hivi,"leo mnataka kuniua mimi Ndadaye,ninawahakikishia baada ya kifo changu watazaliwa kina-Ndadaye wengi kuliko mnavyodhani" Na kweli,kifo cha Ndadaye ndicho kilichowaibua kina Pierre Nkurunziza,Agaton Rwasa,Jean Bisco Ndayikengurukiye,Leonsi Ngendakumana na wengineo wengi ambao ni viongozi wa Burundi sasa. Kwahiyo paka asidhani anakimaliza kizazi cha kihutu hasa wasomi,atakuja kushangaa wanaibuka wahutu asiowategemea na watamtimua Rwanda akaishie gerezani kama Hissen Habre.
 
Mkuu Gama umeongea kwa usahihi sana,nakumbuka mwaka 2003 watutsi wa Burundi kina Pierre Buyoya na mkuu wa majeshi wa wakati huo col.Jean Bikomagu walimkamata rais muhutu aliyechaguliwa kidemokrasia kabisa Melchior Ndadaye ili wamuue, walipokuwa wanamtesa aliwaambia hivi,"leo mnataka kuniua mimi Ndadaye,ninawahakikishia baada ya kifo changu watazaliwa kina-Ndadaye wengi kuliko mnavyodhani" Na kweli,kifo cha Ndadaye ndicho kilichowaibua kina Pierre Nkurunziza,Agaton Rwasa,Jean Bisco Ndayikengurukiye,Leonsi Ngendakumana na wengineo wengi ambao ni viongozi wa Burundi sasa. Kwahiyo paka asidhani anakimaliza kizazi cha kihutu hasa wasomi,atakuja kushangaa wanaibuka wahutu asiowategemea na watamtimua Rwanda akaishie gerezani kama Hissen Habre.
Massikio yao na macho yao yalisha zibwa na damu, they see no more
 
Gees! wacha kuhamaki mkuu, I knew you will be back with full of crap! there you go, you never disappoint, could you? it is even very difficult to understand a point you are trying to make because you doubt and try to make a conclusion at the same time! I don't know if you do it intentionally or just to complicate the matter? cha kwanza na muhimu zaidi ni kwamba unatakiwa ukae ukijuwa ya kwamba ndani ya Rwanda yetu kuna wahutu na watutsi katika ngazi zote, upo hapo? cha pili ni kwamba watuhumiwa, mashahidi na files zao vyote vipo. cha tatu ni kwamba hiyo misamaha unayotufundisha wenzako washaitoa hadi wanaonekana machizi. cha nne ni kwamba kama haukubahatika basi uwaulize ndugu marafiki au jamaa zako waliofanikiwa kuenda universities maarufu duniani watakuambia ni wahutu wangapi waliokutana nao huko vyuoni BTW kutokana na ushawishi wa serikali inayoongozwa na Mh. Paul Kagame ukiuliza (mnyarwanda iwe nje au ndani) kama ni Mhutu au Mtutsi huenda ukajibiwa lakini akakuchukulia kama fala la kiafrica lisilojitambua au ukajibiwa jibu ambalo hautaongeza kulisahau maishani mwako! cha tano, je unataka walio uwa wenzao kutokana na walivyoumbwa na Mungu waachiwe huru kwa sababu ni wasomi? wewe bana! cha sita nani kakuambia tunaishi kwa sababu ya ufaransa ya Le Pen au hao mapepo wengine? hii ndio Rwanda bana, The land of the brave, come rain come shine, we never bow down! mwisho kabisa hebu sikiliza hii clip alafu uniambie ingekuwa wewe leo ungekuwa unatoa kauli gani? usipende kuwa unachanganya mambo kwani uhutu haimaanishi uuwaji! na vilevile kusudi nisikumalizie bundle katika dakika ya 5:30 utafahamu ya kwamba hao "wasomi" unaotetea ndio waliopumbaza wasiojuwa kinachoendelea na hilo twalijuwa vyema ndio maana tunawasaka hadi uvunguni! so Bukyanagandi to hell with you and your conspiracy theories!

Points zako is the great conspiracy, hutaona cos unadanganywa hivyo
 
Back
Top Bottom