- WanaIramba hawajamuomba anybody tumeona picha za wanaIramba na Mbunge wao majuzi tu, zipo very clear kwamba wapo naye, so hizi blah! balh! blah bakini nazo huko!! ha! ha! ha! vipi Mwigulu na Slaa si ni mtu na Kilembe chake au? ha! ha
!
le mutuz
Wewe Mbona kama Chura tu, kelele nyingi hamna kitu.Wana Iramba nilishamsikia kitila, mimi nimeshapambana na wakubwa zake wote slaa mbowe na wengine wote igunga, arumeru na bungeni, light weight akitaka kupambana na heavy weight labda anataka ku commit suicide.
Wenzake wanajua, nilikutana na wakubwa zake nikiwa natafuta majimbo ajili ya wana ccm wenzagu, sasa anakuja kwangu, ANAMFUATA MAMBA KWENYE KINA KIREFU CHA MAJI. MLEKI WAZE NIZIKUA UUTYAPILA.
Pesa zote za rushwa katika uchaguzi zitapotea kwa msaada wa Mungu wetu wa ajabu, Halafu watakoma.Juzi kati nilikuwa Iramba na nimezunguka karibia wilaya nzima, kiukweli CHADEMA inakubalika hasa kwa vijana na wazee wanaojitambua na ni dalili nzuri Kwa chadema na ukizingatia kuwa dr.Kitila Mkumbo ameshaanza harakati hz mapema kama kufanya mikutano ya mara kwa mara kuhamasisha vijana kushirki kwenye masuala ya kisiasa,kielimu na kijamii pia amekuwa akisambaza kalenda zinazomuelezea na kuwafanya wananch wamjue vizuri zaidi., ila wasiwas wng unabak palepale kuwa mzee wa kufoji Mwigulu amekuwa akitumia pesa kuwashawish wananch wa iramba waendele kumkubali na ukizingatia kuwa wananch wa iramba weng wanaish kweny lind la umasikin na weng hawana elimu jambo ambalo linasabisha kununulika kirahic, jambo ambalo pia ni hatari sana kwa mustakabali wa maendeleo ya Iramba. M4C Inahitajika zaid iramba ili kutoa elimu na kama mnavyojua mtaji wa ccm ni ujinga na baada ya kutoa elimu ccm itakuwa lain kama ndiz ya kishimundu au bukoba.. M4C DAIMA.
Malungu acha kutumiwa au kutoa hoja kwa kutumia thread za jf. Hakuna kata, wala kijij,wala kitongoji, wala mtaa wala familia nzimanzima niliwahi kupata upinzani. Nimetoka ziara hivi majuzi watu wananing'ang'ania mpaka hawataki niondoke. Kisharita nilifanya mkutano watu zaidi ya 500 mpaka saa mbili usiku na nimeondoka watu wamebeba majani mabichi. Nilikuwa kisiriri wakasema wewe ni malaika sio mbunge. Juzi ndago nimeongea watu wakalua machozi nikapewa zawadi mbuzi 8 vitambaa kumi nishone suruari.sijawahi kwenda eneo nikafyonzwa au kuulizwa swali la kejeli. Nitajie acha kijiji familia nzima inayonikataa. Kama mimi mwongo mwacheni mtu wenu aje majibu yatatoka kwa wenye mamlaka. Hujui hata uwezo niliowajengea wanyiramba mpaka sasa. Nimepeleka mradi wa over 600milion mingela, over 600 milion ndago, over 100 milion kyengege. Barabara ya mlimani kidaru imepanda daraja. Mtoa shelui iliyokuwa hapitiki hata kwa miguu bila kuvua viatu tangu uhuru nenda leo. Bado ya ntuike tyulia kidaru mwaka huu inapanda na kuwekewa fedha. Sina mashaka hata chembe. Hii habari ya kutokuwapa watu pesa subiri uwe mbunge usiwape ili mimi kwa dini yangu najua KUSOMESHA YATIMA NI IBAADA NA WALE WALIOFAULU MAALUM WAZAZI HAWANA KITU NITWAENDELEA KUWASOMESHA. ANAECHUKIA HILI ATAPAMBANA NA MUNGU. MBONA NDUGU YENU ALIJENGA KIRABU CHA POMBE NA KUWANUNULIA WATU POMBE? IPI HERI POMBE AU KUWAGAWIA YATIMA?
Malungu acha kutumiwa au kutoa hoja kwa kutumia thread za jf. Hakuna kata, wala kijij,wala kitongoji, wala mtaa wala familia nzimanzima niliwahi kupata upinzani. Nimetoka ziara hivi majuzi watu wananing'ang'ania mpaka hawataki niondoke. Kisharita nilifanya mkutano watu zaidi ya 500 mpaka saa mbili usiku na nimeondoka watu wamebeba majani mabichi. Nilikuwa kisiriri wakasema wewe ni malaika sio mbunge. Juzi ndago nimeongea watu wakalua machozi nikapewa zawadi mbuzi 8 vitambaa kumi nishone suruari.sijawahi kwenda eneo nikafyonzwa au kuulizwa swali la kejeli. Nitajie acha kijiji familia nzima inayonikataa. Kama mimi mwongo mwacheni mtu wenu aje majibu yatatoka kwa wenye mamlaka. Hujui hata uwezo niliowajengea wanyiramba mpaka sasa. Nimepeleka mradi wa over 600milion mingela, over 600 milion ndago, over 100 milion kyengege. Barabara ya mlimani kidaru imepanda daraja. Mtoa shelui iliyokuwa hapitiki hata kwa miguu bila kuvua viatu tangu uhuru nenda leo. Bado ya ntuike tyulia kidaru mwaka huu inapanda na kuwekewa fedha. Sina mashaka hata chembe. Hii habari ya kutokuwapa watu pesa subiri uwe mbunge usiwape ili mimi kwa dini yangu najua KUSOMESHA YATIMA NI IBAADA NA WALE WALIOFAULU MAALUM WAZAZI HAWANA KITU NITWAENDELEA KUWASOMESHA. ANAECHUKIA HILI ATAPAMBANA NA MUNGU. MBONA NDUGU YENU ALIJENGA KIRABU CHA POMBE NA KUWANUNULIA WATU POMBE? IPI HERI POMBE AU KUWAGAWIA YATIMA?
Wana Iramba nilishamsikia kitila, mimi nimeshapambana na wakubwa zake wote slaa mbowe na wengine wote igunga, arumeru na bungeni, light weight akitaka kupambana na heavy weight labda anataka ku commit suicide.
Wenzake wanajua, nilikutana na wakubwa zake nikiwa natafuta majimbo ajili ya wana ccm wenzagu, sasa anakuja kwangu, ANAMFUATA MAMBA KWENYE KINA KIREFU CHA MAJI. MLEKI WAZE NIZIKUA UUTYAPILA.
Malungu acha kutumiwa au kutoa hoja kwa kutumia thread za jf. Hakuna kata, wala kijij,wala kitongoji, wala mtaa wala familia nzimanzima niliwahi kupata upinzani. Nimetoka ziara hivi majuzi watu wananing'ang'ania mpaka hawataki niondoke. Kisharita nilifanya mkutano watu zaidi ya 500 mpaka saa mbili usiku na nimeondoka watu wamebeba majani mabichi. Nilikuwa kisiriri wakasema wewe ni malaika sio mbunge. Juzi ndago nimeongea watu wakalua machozi nikapewa zawadi mbuzi 8 vitambaa kumi nishone suruari.sijawahi kwenda eneo nikafyonzwa au kuulizwa swali la kejeli. Nitajie acha kijiji familia nzima inayonikataa. Kama mimi mwongo mwacheni mtu wenu aje majibu yatatoka kwa wenye mamlaka. Hujui hata uwezo niliowajengea wanyiramba mpaka sasa. Nimepeleka mradi wa over 600milion mingela, over 600 milion ndago, over 100 milion kyengege. Barabara ya mlimani kidaru imepanda daraja. Mtoa shelui iliyokuwa hapitiki hata kwa miguu bila kuvua viatu tangu uhuru nenda leo. Bado ya ntuike tyulia kidaru mwaka huu inapanda na kuwekewa fedha. Sina mashaka hata chembe. Hii habari ya kutokuwapa watu pesa subiri uwe mbunge usiwape ili mimi kwa dini yangu najua KUSOMESHA YATIMA NI IBAADA NA WALE WALIOFAULU MAALUM WAZAZI HAWANA KITU NITWAENDELEA KUWASOMESHA. ANAECHUKIA HILI ATAPAMBANA NA MUNGU. MBONA NDUGU YENU ALIJENGA KIRABU CHA POMBE NA KUWANUNULIA WATU POMBE? IPI HERI POMBE AU KUWAGAWIA YATIMA?
Ki ukweli kaka yangu una kazi huku home. Mimi nipo Halmashauri ya Wilaya hapa Kiomboi. Siku ile Kitila amekuja ameongea kidogo kama dakika kumi amekuwa gumzo hapa mjini. Kuna vijana wanapita kila kata wanakusanya sahihi ili wakamuombe Dk Kitila agombee ubunge. Hali yako ndani na nje ya CCM ni mbaya kuliko unavyodhani.
Labda nikwambia tu kuwa Kitila anafanyiwa kampeni na wana CCM wenzako. Viongozi kibao wamekugeuka sasa hivi. Hata kalenda za Kitila wanagawa wana CCM. Salama ya CCM Iramba Magharibi 215 ni wewe kutokupitishwa kugombea. Ukipitishwa tu Kitila hana haja ya kampeni kwa sababu hivi wana CCM kibao wataungana kukumaliza.
Kibaya zaidi ni kwamba wewe ukikaa kwenye majukwaa unamsema sana Kitila wakati yeye wala hajawahi kutangaza kama anagombea ubunge-unamjenga bila wewe kujijua. Endelea kugawa hela na kujisifia yetu macho.
NB: watumishi wa hapa halmashauri wanakusubiri kwa hamu 2015 tangu uwaambie kwamba watumishi wasio wanyiramba waondoke Kiomboi. Hawa nao watakumaliza na watambeba Kitila. Pole sana kakangu Mwigulu!
ANAMFUATA MAMBA KWENYE KINA KIREFU CHA MAJI. MLEKI WAZE NIZIKUA UUTYAPILA.
Baba unajitusi mwenyewe kwa sababu wewe na Dr Slaa mmepishana miaka mitano tu.Kwa hiyo nyote mnaweza kuwa mababu wa Mwigulu.Lakini kwa heshima kubwa nitakuomba wewe nikuite tu Baba ingawa kwa uhakika wewe ni mkubwa kuliko baba yangu.
Sasa Baba hebu tizama mafanikio kati yako na Dr Slaa ambaye amekupita miaka mitano tu.
Dr Slaa amekuwa mbunge miaka 15.Dr Slaa amekuwa Katibu Mkuu wa Chadema kwa miaka karibia 10.Dr Slaa amekuwa Rais wa Mioyo ya wata tangia mwaka 2010.Kwa matikeo ya uchaguzi mkuu uliopita Dr Slaa ndiye kiongozi mkuu wa upinzani nchini.Dr Slaa ni Rais Mtarajiwa 2015.
Kuhusu mwanao Mwigulu Nchemba ni mbunge wa Iramba.Pia ni Naibu Katibu Mkuu CCM.Ni mjumbe wa Sekretariati CCM.Ni mjumbe Kamati Kuu CCM.
Sasa wewe baba kwa umri wako wa kuwa na wajukuu unajivunia mafanikio gani.Naomba unielimishe tu baba kama mtu anavyoelimisha mtoto wake.
C.c Mwita Maranya, SEBM, Shardcole, Crashwise, Mungi.
Mkuu Molemo , Hebu na Tumuulize Mzee wa Matusi Mwigulu Nchemba Yafuatayo
1. Kwanini unaitwa Mwigulu , Jina la Kisukuma wakati wewe ni Mnyiramba??
2. Kunatetesi kuwa ali feli STD 7 na hivyo kufoji jina, Jina lako halisi ni Lameck ??? ======Kwa sie tuliokuwa tunakujua tokea Ilboru tulishalisikiaga hili Kama hayo ni kweli, Je wewe unatofauti gani na Kihiyo Philipe Mulugo a.k.a Amimu
cc politiki , Yericko Nyerere Mwita Maranya , Shardcole Bila kulisahau Kubwa jinga, a.k.a Zee la Kudandia Train kwa Mbele a.k.a Vuvuzela W. J. Malecela
- Well, Mwigulu Chemba ndiye mbunge wa Iramba kwa sasa na picha zote anapokuwa huko zinaonyesha kwamba anakubalika sana na wananchi, sasa wewe waliokutuma labda wananchi wa jimbo lingine
- Hayo mengine baki nayo mwenyewe hayana tija kwa Taifa wala wananchi ni waste of time, maana sina umri wa Slaa anaweza kunizaa mara nne na akamzaa Mwigulu mara kumi, nashukuru kwamba unajua kwamba kwenye kuongoza Taifa umri kama wa Slaa ni tatizo, good!
le mutuz
Mwigulu umeingia CCM juzi tu,na njaa,ulimbukeni na uma.........ya vitakuumbua siku moja,msalaimie mh....ni mwenzio Viko Kamiti najua atakuwa anakumbuka mlifanya nini siku moja usiku kwenye uchaguzi kule Igunga.Wana Iramba nilishamsikia kitila, mimi nimeshapambana na wakubwa zake wote slaa mbowe na wengine wote igunga, arumeru na bungeni, light weight akitaka kupambana na heavy weight labda anataka ku commit suicide.
Wenzake wanajua, nilikutana na wakubwa zake nikiwa natafuta majimbo ajili ya wana ccm wenzagu, sasa anakuja kwangu, ANAMFUATA MAMBA KWENYE KINA KIREFU CHA MAJI. MLEKI WAZE NIZIKUA UUTYAPILA.
Naona familia imekamilika una baba Le Mutuz na Babu Dr Slaa hongera kwa kutanua familia.Baba Shikamoo,kwa nini baba unakatalia umri wako Baba? Baba kwa nini hutaki kuitwa mkubwa baba? Baba hujui uzee ni Dawa? Dr Slaa kukuzidi miaka mitano kiumri unajiona mtoto baba?
BTW, Baba nilikuuliza swali juu mbona hujanijibu? Hebu rudia swali nililokuuliza juu kwamba wewe umelifanyia nini Taifa na Uzee huu ulionao ukijilinganisha na Dr. Slaa na Mwigulu Nchemba? Nijibu swali hilo Baba yangu.