Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,139
- 12,285
Baregu alikuwa Rafik wa Serikali kabla hajasimama kwenye msimamo wake...kama una kumbu kumbu nzuri ni kwamba moja ya discipline ya elimu ya Prof Baregu ni Sayansi ya siasa na kwa muktadha huu kuingia kwenye siasa halikuwa jambo baya kwa kuwa taratibu zinaruhusu ila kosa lake ni kuingia kwenye upande wa mahasimu wa mwajiri wake!
Mkumbo alikuwa mkuu wa kitivo cha Elimu DUCE na alisimamishwa ukuu wa kitivo baada ya kufanya harakati za kisiasa akiwa mtumishi wa uma...alikuwa mwiba sana kabla hajawa double agent!
Mkumbo alikuwa mkuu wa kitivo cha Elimu DUCE na alisimamishwa ukuu wa kitivo baada ya kufanya harakati za kisiasa akiwa mtumishi wa uma...alikuwa mwiba sana kabla hajawa double agent!