Boko haram
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 3,253
- 1,229
cv ya kikwete ipo bora kuliko slaa,jeshin hadi degree 2, uwaziri kwa wizara mbalimbali .ujuzi wa mambo ya kimataifa na kitaifa sio slaa kutoka kwenye chet na phd ya mwaka mmoja
Ukitaka kujua nani zaidi? waambie wakitoka hapo kuna mdahalo...Kuna mtu jicho litamtoka kama ngumi!
JK katokelezea cheki alivyopendeza yaani presentable as a president.
CCM OYEEEEEEEEEEEEEEE