Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,342
- 6,468
Kwa habari ambazo nina uhakika na chanzo chake,zinasema Dr.Kikwete Baada ya kuwa amechaguliwa kwa kura za Nyingi na kuingia Ikulu kwa kipindi cha pili kama Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania ,atatumia nafasi aliyopewa na Katiba ya Nchi kuteua wabunge 10,na mmoja kati ya hao atakuwa ni mgombea wa sasa wa Chadema Dr.Salaa.
Ni sawa kama Chadema kuna Dr. Salaa. Ila Chadema hakuna Dr. Salaa bali kuna Dr. Slaa! Utakuwa umechanganya na CUF!!