Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,030
- 59,682
Mimi binafsi simfahamu Dr Kigwa na sijawahi kukutana naye, ila kwa mawazo yangu mapana nafhani kuwa huyu dr alitakiwa apewe hii wizara, huyu kiongozi wetu ni jamaa ambaye ana misimamo yake na ni mtu ambaye nina uhakika ni msikivu na anajua matatizo ya wananchi katika hospitali zetu.
Ni mtu ambaye unaweza kumpata kwa urahisi sana na kumpa ujumbe au malalamika yako na pia kumpa ushauri kama unao.
Nina uhakika huyu jamaa ataenda mbali sana.
Juzi alitembelea Hospitali ya Ilala alikuta madudu na baadhi ya ofisi hakuna huduma na ofisi zimefungwa.
Sijui atachukua hatua gani ila ninachodhani ni kuwa Katika hospitali zetu kuna watu ambao wamejisahau sana na wamesahau wajibu wao, ni wajibu wetu kufanya kazi kama inavyostahili.
Kila la Heri Dr, najua tutapata mabadiliko mengi sana ndani ya hii wizara. Ila muanze kupokea malalamiko ya wananchi na ushauri pia kwa sababu hamuwezi kufika kila sehemu at once na kwenye maamuzi yenu mjue kutenganisha chuki za watu binafsi na reality.
Asante.
saint ivuga.
Ni mtu ambaye unaweza kumpata kwa urahisi sana na kumpa ujumbe au malalamika yako na pia kumpa ushauri kama unao.
Nina uhakika huyu jamaa ataenda mbali sana.
Juzi alitembelea Hospitali ya Ilala alikuta madudu na baadhi ya ofisi hakuna huduma na ofisi zimefungwa.
Sijui atachukua hatua gani ila ninachodhani ni kuwa Katika hospitali zetu kuna watu ambao wamejisahau sana na wamesahau wajibu wao, ni wajibu wetu kufanya kazi kama inavyostahili.
Kila la Heri Dr, najua tutapata mabadiliko mengi sana ndani ya hii wizara. Ila muanze kupokea malalamiko ya wananchi na ushauri pia kwa sababu hamuwezi kufika kila sehemu at once na kwenye maamuzi yenu mjue kutenganisha chuki za watu binafsi na reality.
Asante.
saint ivuga.