Dr. Kigwangwala alitakiwa awe waziri Kamili

Dr. Kigwangwala alitakiwa awe waziri Kamili

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2008
Posts
55,030
Reaction score
59,682
Mimi binafsi simfahamu Dr Kigwa na sijawahi kukutana naye, ila kwa mawazo yangu mapana nafhani kuwa huyu dr alitakiwa apewe hii wizara, huyu kiongozi wetu ni jamaa ambaye ana misimamo yake na ni mtu ambaye nina uhakika ni msikivu na anajua matatizo ya wananchi katika hospitali zetu.

Ni mtu ambaye unaweza kumpata kwa urahisi sana na kumpa ujumbe au malalamika yako na pia kumpa ushauri kama unao.

Nina uhakika huyu jamaa ataenda mbali sana.

Juzi alitembelea Hospitali ya Ilala alikuta madudu na baadhi ya ofisi hakuna huduma na ofisi zimefungwa.

Sijui atachukua hatua gani ila ninachodhani ni kuwa Katika hospitali zetu kuna watu ambao wamejisahau sana na wamesahau wajibu wao, ni wajibu wetu kufanya kazi kama inavyostahili.

Kila la Heri Dr, najua tutapata mabadiliko mengi sana ndani ya hii wizara. Ila muanze kupokea malalamiko ya wananchi na ushauri pia kwa sababu hamuwezi kufika kila sehemu at once na kwenye maamuzi yenu mjue kutenganisha chuki za watu binafsi na reality.

Asante.
saint ivuga.
 
Umetumwa au:what: humfahamu hapo hapo anapatikana kwa urahisi:what: Sasa si ungemchagua wewe awe waziri kamili:what: watu wengine bhana kujipendekeza tu:what:
 
Umetumwa au:what: humfahamu hapo hapo anapatikana kwa urahisi:what: Sasa si ungemchagua wewe awe waziri kamili:what: watu wengine bhana kujipendekeza tu:what:

Grow up brother ! Nimesema kwa mawazo yangu. Labda kama unataka na mimi nianze kuku attack sema, manake naweza sana. Ila nina uhakika umesoma heading tu.
But asante kwa kuchangia thread yangu.
Sijatumwa na kigwa na hawezi kufanya hivyo kwani haina impact yoyote
 
Umetumwa au:what: humfahamu hapo hapo anapatikana kwa urahisi:what: Sasa si ungemchagua wewe awe waziri kamili:what: watu wengine bhana kujipendekeza tu:what:

Kupatikana kiu rahisi namaanisha kwenye social media karibia zote yupo
 
Uwezo wake mdogo sana huyu hata ubunge kaupata kwasababu wapiga kura hawana uwezo wa kufikiri na kuchanganua mambo.
 
Hujakutana naye lakini 'anapatikana kirahisi'? Hii maana yake nini hasa? Ulikutana naye basi vinginevyo ulijuaje anapatikana kirahisi?
 
Saint Ivuga huyu Bwn Kigwa kuna mdaharo fulani alisema hakuna wagonjwa mahospitalini wanaolala chini!!
Mhs Rais akavamia Muhimbili HSpt alichokiona Dr Kigwa anakijua, hatua alizochukua anazijua!!
Sasa amekabidhiwa hiyo kazi live achangamke, ili Watanzania wajue anafanya kazi!!
 
Last edited by a moderator:
Mimi binafsi simfahamu Dr Kigwa na sijawahi kukutana naye, ila kwa mawazo yangu mapana nafhani kuwa huyu dr alitakiwa apewe hii wizara, huyu kiongozi wetu ni jamaa ambaye ana misimamo yake na ni mtu ambaye nina uhakika ni msikivu na anajua matatizo ya wananchi katika hospitali zetu.

Ni mtu ambaye unaweza kumpata kwa urahisi sana na kumpa ujumbe au malalamika yako na pia kumpa ushauri kama unao.

Nina uhakika huyu jamaa ataenda mbali sana.

Juzi alitembelea Hospitali ya Ilala alikuta madudu na baadhi ya ofisi hakuna huduma na ofisi zimefungwa.

Sijui atachukua hatua gani ila ninachodhani ni kuwa Katika hospitali zetu kuna watu ambao wamejisahau sana na wamesahau wajibu wao, ni wajibu wetu kufanya kazi kama inavyostahili.

Kila la Heri Dr, najua tutapata mabadiliko mengi sana ndani ya hii wizara. Ila muanze kupokea malalamiko ya wananchi na ushauri pia kwa sababu hamuwezi kufika kila sehemu at once na kwenye maamuzi yenu mjue kutenganisha chuki za watu binafsi na reality.

Asante.
saint ivuga.

Wewe unakamilisha asilimia 90 ya Watanzania wenye uelewa mdogo kutokana na athari za elimu yetu ya division 5. Hawa uenda na matukio bila hata kuhoji.

Hawa ndiyo waliobeba wagonjwa wao na kuwapeleka kwa Babu Loliondo. Siwashangai. Leo wamehamia kwa John Pombe.
 
Wewe unakamilisha asilimia 90 ya Watanzania wenye uelewa mdogo kutokana na athari za elimu yetu ya division 5. Hawa uenda na matukio bila hata kuhoji.

Hawa ndiyo waliobeba wagonjwa wao na kuwapeleka kwa Babu Loliondo. Siwashangai. Leo wamehamia kwa John Pombe.
Wewe ulipata div ngapi?
Achana na siasa zimeshapita tusiwe watu wa kulalamika na kupinga kila kitu.
 
Saint Ivuga huyu Bwn Kigwa kuna mdaharo fulani alisema hakuna wagonjwa mahospitalini wanaolala chini!!
Mhs Rais akavamia Muhimbili HSpt alichokiona Dr Kigwa anakijua, hatua alizochukua anazijua!!
Sasa amekabidhiwa hiyo kazi live achangamke, ili Watanzania wajue anafanya kazi!!
Hapa siweZi kumjibia kigwa katika hili manake sijui kuhusu huu mdahalo
 
Last edited by a moderator:
Uwezo wake mdogo sana huyu hata ubunge kaupata kwasababu wapiga kura hawana uwezo wa kufikiri na kuchanganua mambo.

Kaka sidhani ukiweka siasa pembeni haya maneno yako yana ukweli.
 
Ndugu yangu labda wewe ndio unaleta siasa nakumbuka katika mdahalo Dr Kigwangallah alidai macho makavu eti hakuna wagonjwa wanaolala chini ?.Kukataa kukiri tatizo ni tatizo kubwa kuliko tatizo lenyewe Dr Kigwangallah ni tatizo kwakuwa ana sifa ya kuona tatizo.

Kaka sidhani ukiweka siasa pembeni haya maneno yako yana ukweli.
 
Grow up brother ! Nimesema kwa mawazo yangu. Labda kama unataka na mimi nianze kuku attack sema, manake naweza sana. Ila nina uhakika umesoma heading tu.
But asante kwa kuchangia thread yangu.
Sijatumwa na kigwa na hawezi kufanya hivyo kwani haina impact yoyote

mvumilie. watu wengine wako kupinga kija jambo, iwe mitizamo, maoni, n.k
 
Ndugu yangu labda wewe ndio unaleta siasa nakumbuka katika mdahalo Dr Kigwangallah alidai macho makavu eti hakuna wagonjwa wanaolala chini ?.Kukataa kukiri tatizo ni tatizo kubwa kuliko tatizo lenyewe Dr Kigwangallah ni tatizo kwakuwa ana sifa ya kuona tatizo.

Inawezekana Kigwangala hakueleweka. hata mimi nilifuatilia mdahalo ule, mchango wa Kigwangala unatfsiriwa visivyo.
 
Mara zote tunasema vijana na watanzania hamtaki kusumbua akili zenu kufanya utafiti wa kina wa issue na masuala mbalimbali ambayo ni mhimu sana kwa ajili ya uelewa wa mambo, mtu ameandika hapa kwa mawazo yake Kigwangala anafaa kuwa full Minister kama unaona hafai binashana na hoja kwamba huyu hafai kwasababu hii na hii sio kuanza kumshambulia...hii sehemu JF imevamiwa sana sana watu wengi humu wamesababisha pameonekana kama FB wakati sio..
 
Uwezo wake mdogo sana huyu hata ubunge kaupata kwasababu wapiga kura hawana uwezo wa kufikiri na kuchanganua mambo.

Ni Dr wa tiba asili,amshukulu mama WAMA.
 
Back
Top Bottom