YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,907
Hitler alikuwa kichaa hundred percent madhara aliyoleta alipoachwa bila kudhibitiwa dunia inajuta hadi Leo kichwa hatakiwi tu kupelekwa hospital za vichaa sababu aweza goma kwa kuwa ana followers wengi vichaa wenzie kama Hitler alivyokuwa huwezi ignore kichwa mwenye followers.Kuna vichaa hawatakiwi kufikishwa rumande wala mahakamani wala mirembe ni kumalizana naye juu kwa juu .heri mtu kichaa mmoja aangamie kuliko taifa liangamie.maisha ya kichaa mmoja hayana maana Kama taifa