Dr Kigwangala, Uwaziri ni nafasi cheo na Level yenye hadhi yake. Fanya kazi acha siasa,majungu na Mipasho

Yani waziri mzima badala ya kutoa hoja yeye anakuja na mipasho bungeni,ovyo kabisa
 
Huyu jamaa ana mambo ya kike sana,amepewa wizara ameanza kutafuta wachawi,he has failed to deliver
 
Akifanyacho ni kuwatia hofu watu wasihame,ila hawezi wazuia mioyo yao kuhama,sababu sidhani kama wizara hio ina waziri mmoja tu wa kusakamwa,Mbona wanao uwezo wa kuwanunua wanachama wanahofu ya nini sasa.
 
Namuona Dr. Kigwangala ni mtu wa kutafuta kiki sana! Fanya kazi wacha longolongo kutwa kwenye mitandao
 
Nashangaa mtu kutojielewa kwa nafasi aliyenayo, Uwaziri ni nafasi muhimu na kubwa sana kwa level ya nchi hii taifa letu. Unapopatiwa nafasi hiyo unatskiwa kujipambanua kua wewe unique person tofauti na naibu wako au wabunge wengine wa kawaida.

Unapopewa nafasi ya kuzumzua kitu just go straight. Sifa,mipasho,dhihaka na mambo mengi vyote vya nini? Hii akili anayoitumia mtu kufanya haya ni wazi kabisa haimudu nafasi yake na hawezi kabisa kuongizwa na busara pamoja na utu kuliongoza taifa hili.

Unapoamka kama Waziri unaanza kupayuka habari ambazo zilikua zikiandikwa na magazeti ya udaku wewe itakua sio mzima, busara haipo kabisa zaidi ya sifa ambazo hazina manufaa yeyote kwa taifa pamoja na kwa nafasi yeyote.


Watu kama hawa hua hawawezi hata kutunza siri flani muhimu ambazo zineweza kufanyaniwa uchunguzi na kuchukuliwa hatua, unaingia ofisini unakutana na nyaraka flani ndani ya ya meza yako bila kufuatlia na wewe unakimbilia nje kupayuka bila ushahidi wowote tena unakua ni uongo mkubwa.

Hivi mawaziri kama kina Lukuvi Mwijage,Mwigulu,Kalemani na Mpango unafikiri wanayajua mangapi ndani ya wizara zao? Unafikiri wao hawajui kuongea kama wewe? Wanajua nini maana ya majukumu na siasa. Uongozi siku zote ni busara na sio majungu au udaku au mipasho.
Aliyoyaongea kigwa yaliongelewa na Nassari, Msigwa na Mdee je na wao ni wadaku?
 
Atulie aache papara bado ni Kijana safari ya kisiasa aijafika mwisho asifanye mambo kumlidhisha bosi,watu huwa warecall record zako kuwa ni mtu wa aina gani uko mbeleni ukitaka kupewa majukumu makubwa, atazame mbele pia siasa sio uadui Leo yuko huku kesho anaweza kula matapishi yake.
 
UNACHEZA NA WATU WALIOFOJI VYETI NI DHAHIRI KUWA HAWANA UWEZO HAPO JUU WAPO KA KULAZIMISHA..................... NA HUWA WANATUMIA NGUVU BADALA YA AKILI CC YULE KIJANA WA BABA MUDA WOTE ANAFANYA MAONYESHO ILI AONEKANE HAHAHA

Ni tatizo kubwa sana kuwa jamii yetu inachukulia elimu na kuelemika ni kuwa na vyeti vya kitaaluma hata kama ni vya kufoji.

Huwezi kuzungumzia elimu na kuelimika bila kuhusisha kitu kinachoitwa kwa Kiingereza "cognition". Cognition ni mchakato wa kiakili wa kufahamu unaohusisha masuala kama utambuzi (awareness), hisia (perception), tafakuri (reasoning) na maamuzi (judgement).

Kwa mantiki hii, kufanya maamuzi kwa kukurupuka ndicho kipimo halisi cha ukilaza na umbumbumbu.
 
Ni tatizo kubwa sana kuwa jamii yetu inachukulia elimu na kuelemika ni kuwa na vyeti vya kitaaluma hata kama ni vya kufoji.

Huwezi kuzungumzia elimu na kuelimika bila kuhusisha kitu kinachoitwa kwa Kiingereza "cognition". Cognition ni mchakato wa kiakili wa kufahamu unaohusisha masuala kama utambuzi (awareness), hisia (perception), tafakuri (reasoning) na maamuzi (judgement).

Kwa mantiki hii, kufanya maamuzi kwa kukurupuka ndicho kipimo halisi cha ukilaza na umbumbumbu.
haya
 
Nashangaa mtu kutojielewa kwa nafasi aliyenayo, Uwaziri ni nafasi muhimu na kubwa sana kwa level ya nchi hii taifa letu. Unapopatiwa nafasi hiyo unatskiwa kujipambanua kua wewe unique person tofauti na naibu wako au wabunge wengine wa kawaida.

Unapopewa nafasi ya kuzumzua kitu just go straight. Sifa,mipasho,dhihaka na mambo mengi vyote vya nini? Hii akili anayoitumia mtu kufanya haya ni wazi kabisa haimudu nafasi yake na hawezi kabisa kuongizwa na busara pamoja na utu kuliongoza taifa hili.

Unapoamka kama Waziri unaanza kupayuka habari ambazo zilikua zikiandikwa na magazeti ya udaku wewe itakua sio mzima, busara haipo kabisa zaidi ya sifa ambazo hazina manufaa yeyote kwa taifa pamoja na kwa nafasi yeyote.


Watu kama hawa hua hawawezi hata kutunza siri flani muhimu ambazo zineweza kufanyaniwa uchunguzi na kuchukuliwa hatua, unaingia ofisini unakutana na nyaraka flani ndani ya ya meza yako bila kufuatlia na wewe unakimbilia nje kupayuka bila ushahidi wowote tena unakua ni uongo mkubwa.

Hivi mawaziri kama kina Lukuvi Mwijage,Mwigulu,Kalemani na Mpango unafikiri wanayajua mangapi ndani ya wizara zao? Unafikiri wao hawajui kuongea kama wewe? Wanajua nini maana ya majukumu na siasa. Uongozi siku zote ni busara na sio majungu au udaku au mipasho.

Halafu mtu Kama huyu utakuta Ana ndoto siku aje kua rais....
 
Nashangaa mtu kutojielewa kwa nafasi aliyenayo, Uwaziri ni nafasi muhimu na kubwa sana kwa level ya nchi hii taifa letu. Unapopatiwa nafasi hiyo unatskiwa kujipambanua kua wewe unique person tofauti na naibu wako au wabunge wengine wa kawaida.

Unapopewa nafasi ya kuzumzua kitu just go straight. Sifa,mipasho,dhihaka na mambo mengi vyote vya nini? Hii akili anayoitumia mtu kufanya haya ni wazi kabisa haimudu nafasi yake na hawezi kabisa kuongizwa na busara pamoja na utu kuliongoza taifa hili.

Unapoamka kama Waziri unaanza kupayuka habari ambazo zilikua zikiandikwa na magazeti ya udaku wewe itakua sio mzima, busara haipo kabisa zaidi ya sifa ambazo hazina manufaa yeyote kwa taifa pamoja na kwa nafasi yeyote.


Watu kama hawa hua hawawezi hata kutunza siri flani muhimu ambazo zineweza kufanyaniwa uchunguzi na kuchukuliwa hatua, unaingia ofisini unakutana na nyaraka flani ndani ya ya meza yako bila kufuatlia na wewe unakimbilia nje kupayuka bila ushahidi wowote tena unakua ni uongo mkubwa.

Hivi mawaziri kama kina Lukuvi Mwijage,Mwigulu,Kalemani na Mpango unafikiri wanayajua mangapi ndani ya wizara zao? Unafikiri wao hawajui kuongea kama wewe? Wanajua nini maana ya majukumu na siasa. Uongozi siku zote ni busara na sio majungu au udaku au mipasho.
Nyalandu kaikosesha Tanzania shilingi bilioni 36 kwa kukalia GN kwa miaka miwili. Hiyo si mipasho, China angenyongwa.
 
Tatizo la awamu hii mawaziri wengi hawana muda wa kutafuta vyanzo vya fedha badala yake wanatafuta sifa.

Wizara inapimwa kwa tija na sio majungu.
Nadhani ili tumhukumu Nyarandu ni vema tukaambiwa kuwa baada ya kuingia kwenye hiyo wizara mapato yalipanda au yalishuka.
Watalii waliongezeka au walipungua.
Takwimu za ujangili zilipanda au zilishuka.
Uwazi ulikuwepo au usiri ulitawala.
Hayo ndiyo tunayoyahitaji lakini hizi ngonjera za kina Aunt Ezekieli ni mambo binafsi.
Kama kigwangala amewekwa pale kwa lengo la kulipa visasi na kukomoana basi wizara itakwama sana. Nadhani Kigwangala alichaguliwa kwae lengo la kuongeza ufanisi kwa wakati uliopo.
Tunataka kuona watalii wanaongezeka na taifa linapata fedha nyingi za kigeni sio kutisha watu.
At the end tutaangalia takwimu za watalii tangu Kigwa aingie na pato la nchi kwa ujumla kupitia mali asili zetu.
Mwanadamu ndiye anayetakiwa kunufaika na hizi mali asili sio vyama.
Hapa naona Kigwangala amekuja na gia ya kujenga CCM kupitia propaganda za mali asili. Anaweza akafanikiwa kunusuru chama chake lakini uwaziri wake ukakosa tija kwa taifa.
Kila jambo lilifanywa na serikali wakati husika, na chama kilikua ni hiki hiki chama cha mapinduzi. Na wote hao walikuwepo.

Watanzania tuwapime viongozi wetu kwa ukuaji wa uchumi na pato la nchi na uhuru wetu kuwa umejengeka au tumerudi nyuma kuelekea utawala wa ukoloni wa Kijerumani?

Maneno na vitisho vya watawala havijengi jamii bora bali uchumi na uhuru ndio afya ya jamii mana wao pia wanapenda kupewa uhuru na heshima .
 
Huyu jamaa kuna haya ya kuchunguza vyeti vyake, maana wenye tabia hizi mara nyingi wanatumia vyeti vya watu.
 
Anatafuta kiki kama enzi zile za kuwahi getini wizara ya afya kufunga geti ikifika SAA moja na nusu sijui zoezi hilo liishia wapi,afanye Kazi aache siasa.Anasafari ndefu kisiasa bado asijiharibie CV aache kupayuka.Cha msingi afanye Uchunguzi kimyakimya kama tuhuma zina ushahidi wa kutosha za kumtia hatiani muhusika ndo unaongea sasa.
 
jamaa yupo sahihi wanatamba kwa mali za watanzania afu tuwaogope sema ww ndo mwenye dhamana kwakuwa ukichelewa watakusemea muulize mwenzio muhongo alichelewa kusema wakamsemea upo sawa dr HK3
 
Dr. Hussein Mwinyi hongera naona wewe ndio waziri unaejitambua. Huyo Kingwa time will tell................... huo uwaziri wake hauwezi kufikia hata robo ya wa Nyalandu.......... kwanda mkumbuke Nyalandu upstairs yuko bomba sio huyo mwache akimbizane na tembo na wamasai huko Ngorongoro nilimwona na mashuka begani ............ na aendelee kujamba na kuwasha fen
 
Back
Top Bottom