Dr. Kigwangala Huru!, Sasa Yuko Live On Clouds Radio!

Dr. Kigwangala Huru!, Sasa Yuko Live On Clouds Radio!

Unajua watanzania wanalewaga sana na tamthilia kuanzia za kifipino hadi za CCM na hasa kina mama wawe wasomi ama wasioenda shule!Kwa hiyo starring hapo ni Kigwangala?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Huyu Kigwangala kuanzia jana nimemtoa maanani kabisa, Nilidhani ana akili kwa ajili ameenda shule, Kumbe naye anaiga ule ujinga wa LEMA wa kuvunja amani ya nchi.

Kwa ccm kusikiliza kero za wananchi ni ujinga!!!!bora niwe mbwa wa mmasai kuliko kuwa kiubaraka wa ccm
 
Kwa ccm kusikiliza kero za wananchi ni ujinga!!!!bora niwe mbwa wa mmasai kuliko kuwa kiubaraka wa ccm

Kuna tofauti kubwa kati ya kusikiliza kero za wananchi na kuziwasilisha kero za wananchi kwenye sehemu husika na kuhamasisha fujo . Kigwangala anahamasisha fujo! ili kutafuta umaarufu wa kisiasa.
 
Wanabody,

Mbunge wa Nzega, Dr. Hamisi Andrea Kigwangala, ambaye jana alitiwa nguvuni na polisi wa Nzega, kwa kuendesha maandamano bila kibali, aliachiwa jana usiku wa manane, na saa hizi, ametinga bungeni Dodoma na yuko live on Clouds Radio,

Amesema hakukuwa na maandamano yoyote, wala hapakuwa na fujo yoyote, bali baada ya kufanya mkutano wa hadhara kuwasikiliza wananchi wake wakilalamikia kutimuliwa eneo la wachimbaji wadogo wadogo, walishtukia polisi wakija na kuanza kuwavurumishia mabomu ya machozi.

Listen Live!.

Pasco

Mkuu, asante kwa maada yako. Lakini hujatutendea haki sisi ambao hatuko Tanzania, maana umeandika Listen Live bila a kutuwekea link ya kuweza kutusaidia kumsikiliza Mh Mbunge.
 
Huyu Kigwangala kuanzia jana nimemtoa maanani kabisa, Nilidhani ana akili kwa ajili ameenda shule, Kumbe naye anaiga ule ujinga wa LEMA wa kuvunja amani ya nchi.
Ooh! Kumbe na wewe unakiri kwamba katika CCM kuna wabunge wasio na akili. Hongera sana kwa kuwa mkweli.
 
Wanabody,

Mbunge wa Nzega, Dr. Hamisi Andrea Kigwangala, ambaye jana alitiwa nguvuni na polisi wa Nzega, kwa kuendesha maandamano bila kibali, aliachiwa jana usiku wa manane, na saa hizi, ametinga bungeni Dodoma na yuko live on Clouds Radio,

Amesema hakukuwa na maandamano yoyote, wala hapakuwa na fujo yoyote, bali baada ya kufanya mkutano wa hadhara kuwasikiliza wananchi wake wakilalamikia kutimuliwa eneo la wachimbaji wadogo wadogo, walishtukia polisi wakija na kuanza kuwavurumishia mabomu ya machozi.

Listen Live!.

Pasco
Angalau hajalala ndani kama wenzake wa vile vyama vingine!
 
Wanabody,

Mbunge wa Nzega, Dr. Hamisi Andrea Kigwangala, ambaye jana alitiwa nguvuni na polisi wa Nzega, kwa kuendesha maandamano bila kibali, aliachiwa jana usiku wa manane, na saa hizi, ametinga bungeni Dodoma na yuko live on Clouds Radio,

Amesema hakukuwa na maandamano yoyote, wala hapakuwa na fujo yoyote, bali baada ya kufanya mkutano wa hadhara kuwasikiliza wananchi wake wakilalamikia kutimuliwa eneo la wachimbaji wadogo wadogo, walishtukia polisi wakija na kuanza kuwavurumishia mabomu ya machozi.

Listen Live!.

Pasco

Ukimuona muulize kwanza kama ameajiri Dereva kihalali (Kimkataba) kwa kumlipia Kodi na NSSF, Na pia kama anaishi Nzega na kuripoti kazini kila siku kwa maana anapewa Fedha za Jimbo na Serikali kwa ajili hiyo kama hafanyi hayo mimi kwangu ni Usanii tu na kutafuta Umaarufu wa haraka haraka... Ni rahisi kihivyo tu!

 
attachment.php
 
Kigwangala siyo mtu anayeaminika hata kidogo. Mbinu zake za kupanga na polisi wamkamate akawadanganye wajinga wenzake.

nimekuwa nikisema amepanga tukio zima mweh.u huyu,hakuna gamba linaloweza kusimamia maslahi ya taifa,toeni maigizo hapa...hutokaa usikie polisi wakimfungulia kesi....
 
Amesema hilo eneo ni la wananchi kihalali, mgodi ni wageni tuu waliokaribishwa na hawana uwezo wa kuichimba dhahabu yote wao wenyewe, hivyo anasimama na wananchi wa Geita katika kudai haki yao ya kuvuna rasilimali yao kihalali!.

Amesema anashangazwa na polisi kuwanyanya wananchi wenye mali for the expense ya wageni, wanaovuna dhahabu yao na kuwapatia malipo kiduchu!.

Ameishamaliza kuhojiwa!.
Pasco.

..sasa msubiri kwenye kikao cha bajeti.

..usije ukashangaa akitumia muda mwingi kusifia nidhamu, weledi, na umakini, wa jeshi la Polisi, pamoja na wizara ya madini.

NB:

..hivi si kuna mwananchi wanadai amepigwa risasi?

..mwananchi huyo ana hali gani, au sisi tunachojali ni mbunge tu kutoka mahabusu??

cc Sikonge, Mchambuzi
 
Amesema anashangazwa na polisi kuwanyanya wananchi wenye mali for the expense ya wageni, wanaovuna dhahabu yao na kuwapatia malipo kiduchu!..
Pasco.

Pasco bana...Kwa mtu nguli wa kuanalyze mambo kama wewe kuandika hii garbage inakera sana. Hebu nitajie sehemu moja tu Tz nzima ambapo serikali imewanyang'anya/imewakatalia wawekezaji na kuwapa wananchi wake? Au sehemu ambayo wawekezaji/wageni wanavuna nakuwapa wenyeji fungu ambalo sio kiduchu? Unafiki tu, sheria za kinyonyaji azipitishe bungeni kwa makofi, afu akapinge utekelezaji wake kijijini. Upuuzi gani Huu? Na wewe Pasco anaona ni vyema kupoteza muda wako ku-underline huu ujinga!
 
Hivi, mnamwamini Kigwa? mmeona alichoandika kwenye account yake ya Twitter? ameaandika nanukuru "Harakati za Mapinduzi ya walalahoi hazitakoma mpaka tutakpokuwa Taifa linalojali na kusimamia haki zao kwa vitendo na siyo maneno"

Mwisho wa kunukuru.

Serikali inaongozwa na Chama, na yeye ni mbunge wa chama kinachotawala, hii kauri ina maana gani? CCM inahitaji kumwadibisha huyu, ni janga kwa wana Nzega, anatafuta umaarufu bila mpango na wala hana faida kwa wana Nzega.
 
Back
Top Bottom