Dr. Kigwangala: another Lucas Selelii

Dr. Kigwangala: another Lucas Selelii

Mungi

JF Gold Member
Joined
Sep 23, 2010
Posts
16,975
Reaction score
9,580
Huyu jamaa kwa ukali anaoendelea nao ndani ya bunge, kwa kitendo cha kupinga sera na itikadi za ccm, na kutetea maslahi ya wananchi wa Nzega, hatadumu. Nawaambieni 2015 watamfanya walichomfanya Selelii kwenye kura za maoni. Amepinga bajeti ya wizara ya maji kwa 100%. Anasema naweka kumbukumbu sahii kwenye hansard, ili baada ya miaka 50 wajukuu zake watakaoingia humu wakaisoma hansard wasije wakamwona ni punguani kwa kuunga mkono hoja. Ghasia kaomba mwongozo wa spika kutaka Dr. Kigwangala afute kauli yake ya punguani, akilalamika kuwa inamaana wabunge wanaounga mkono hoja ni punguani. Spika kamtetea Dr. Kigwangala.
 
Huyu jamaa kwa ukali anaoendelea nao ndani ya bunge, kwa kitendo cha kupinga sera na itikadi za ccm, na kutetea maslahi ya wananchi wa Nzega, hatadumu. Nawaambieni 2015 watamfanya walichomfanya Selelii kwenye kura za maoni. Amepinga bajeti ya wizara ya maji kwa 100%. Anasema naweka kumbukumbu sahii kwenye hansard, ili baada ya miaka 50 wajukuu zake watakaoingia humu wakaisoma hansard wasije wakamwona ni punguani kwa kuunga mkono hoja. Ghasia kaomba mwongozo wa spika kutaka Dr. Kigwangala afute kauli yake ya punguani, akilalamika kuwa inamaana wabunge wanaounga mkono hoja ni punguani. Spika kamtetea Dr. Kigwangala.

huyu jamaa anatafuta umaarufu kwa kutetea wananchi kwa sera zisizo za chama chake lengo nikuwa karibu na wananchi mwaka 2015 wamrudishe mjengoni la sivyo Bashe nae anataka kupita hapo hapo!
 
Huyu jamaa kwa ukali anaoendelea nao ndani ya bunge, kwa kitendo cha kupinga sera na itikadi za ccm, na kutetea maslahi ya wananchi wa Nzega, hatadumu. Nawaambieni 2015 watamfanya walichomfanya Selelii kwenye kura za maoni. Amepinga bajeti ya wizara ya maji kwa 100%. Anasema naweka kumbukumbu sahii kwenye hansard, ili baada ya miaka 50 wajukuu zake watakaoingia humu wakaisoma hansard wasije wakamwona ni punguani kwa kuunga mkono hoja. Ghasia kaomba mwongozo wa spika kutaka Dr. Kigwangala afute kauli yake ya punguani, akilalamika kuwa inamaana wabunge wanaounga mkono hoja ni punguani. Spika kamtetea Dr. Kigwangala.

Kakulipa shilingi ngapi ili umpigie kampeni kwa mambo asiyostahili?
 
Magamba ndivyo walivyo, ila mwisho wake utasikia anaipa 100% kupita
 
Mi sijui anakoenda.
j3 akiongea anaiponda serikali,
jumanne akiongea anaisifia serikali yake ilivo makini.
Kind of he is pondering which side to take.
Ni kama Tanzania enzi ya Cold war na Non-aligned movement ili kumega ugali huku na kuchovya mboga kule.
 
Huyu jamaa kwa ukali anaoendelea nao ndani ya bunge, kwa kitendo cha kupinga sera na itikadi za ccm, na kutetea maslahi ya wananchi wa Nzega, hatadumu. Nawaambieni 2015 watamfanya walichomfanya Selelii kwenye kura za maoni. Amepinga bajeti ya wizara ya maji kwa 100%. Anasema naweka kumbukumbu sahii kwenye hansard, ili baada ya miaka 50 wajukuu zake watakaoingia humu wakaisoma hansard wasije wakamwona ni punguani kwa kuunga mkono hoja. Ghasia kaomba mwongozo wa spika kutaka Dr. Kigwangala afute kauli yake ya punguani, akilalamika kuwa inamaana wabunge wanaounga mkono hoja ni punguani. Spika kamtetea Dr. Kigwangala.

Safi sana.,,Tunataka wabunge namna hii,bila kujali itikadi zao lakini penye ukweli wananena.
 
huyu jamaa anatafuta umaarufu kwa kutetea wananchi kwa sera zisizo za chama chake lengo nikuwa karibu na wananchi mwaka 2015 wamrudishe mjengoni la sivyo Bashe nae anataka kupita hapo hapo!
Kilio kikubwa cha watanzania ni wabunge wa CCM kuweka mbele ya maslahi ya chama kupita yale ya nchi na wananchi. Sasa baadhi yao wanaonyesha kurekebisha kasoro hiyo tunaanza kuwananga. nani alisema kuwa wabunge weny haki ya kuwatetea wananchi ni vyama vya upinzani tu? Keep it up Dr Kingwangwala!!
 
Nadhani alishagundua hakuwa kipenzi cha wana Igunga, bali chaguo la mafisadi. Sasa kaanza kujikakamu kusudi wapiga kura waseme kumbe jamaa yupo poa.
 
Jamani kwenye ukweli tusifie, hata kama chadema kuna mabaya na mazuri lakini sio kweli kwamba kwasababu yuko ccm basi ndo kila mtu hafai. Huyu Daktari mi namkubali saaaaaaaaaana, hamumunyi maneno, kama ovyo atasema hiyo ni ovyo, kama kweli basi atasifia. Tuwe wakweli, huyu jamaa kama unamfuatilia huwa ana contributions nzuri sana. Wasiwasi wangu ni kama atadumu ndani ya chama chake au jimbo lake.
 
WanaJFMhe. Dr. Kigwangala ni kijana na ana elimu nzuri, hivyo ni vema akasimama kidete bila unafiki kuwatetea wananchi wa Nzega. Nchi hii imezidi na ahadi za uongo na unafiki mkubwa.......Subirini 2015.....hata kama CCM watashinda lakini bado wabunge wake takribani 80% watakuwa vijana zaidi ya akina Mhe. Dr. Kigwangala
 
Anajtengenezea njia na jina...juz nilikuwa Nzega..ktk shughuli za utafiti wangu wa uelewa wa watu wa Tabora ktk mambo ya siasa..nililala EPE HOTEL..Nimejfunza meng sana juu ya wakaz wa Tabora,leo nitakuwa Igunga kwa siku kadhaa...mwisho ntawashriksha sehemu ya utaft mpate kunikosoa...ila Kigwangala(Said Bagaile jna lililoenea Nzega kwa sumu ya Bashe) ana kaz kubwa,watu wake ni masikini sana tena sana
 
Mi sijui anakoenda.<br />
j3 akiongea anaiponda serikali,<br />
jumanne akiongea anaisifia serikali yake ilivo makini.<br />
Kind of he is pondering which side to take.<br />
Ni kama Tanzania enzi ya Cold war na Non-aligned movement ili kumega ugali huku na kuchovya mboga kule.
<br />
<br />
Mguu moja ndani na mwingine nje!anatamani aingie kwa wapinzan na wakati huohuo anaogopa magamba
 
Kwanza ni Mrundi. Aende kwao akaonyeshe makali yake wamsulubishe mara moja
 
Kakulipa shilingi ngapi ili umpigie kampeni kwa mambo asiyostahili?
Wana JF tuwe fair..
siyo ukimpongeza mtu wa CCM basi na wewe ni magamba au umelipwa kuna waadilifu ndani ya sisi ingawa wamefunikwa na baadhi wanafanya kwa malengo yao binafsi zaidi...Mbona Mbowe alipongeza January Makamba
 
Dr. Hk, nampongeza kwa ujasiri wake sio mnafiki km simbachawene aliye bwabwaja alafu mwisho analazimisha wenzake eti waunge mkono! Keep it up bro!
 
ukiwa ccm huwezi kuwa sawa yeye ni gamba tu......sanasana unafiki hana jipya
 
Back
Top Bottom