Dr Kessy: Mitihani ya Tanzania inapima uwezo wa mwanafunzi kukariri siyo kuelewa

Usichukulie kama napinga nacho andika nakiona mitaani watu wame graduate ok ajira hakuna lakini hata kujiajiri pia imekuwa shida. Je ni mifumo yetu nje ya elimu haina support kwa hawa wanaomaliza vyuo maana unasema yanafundishwa yote huko sasa nataka ulipe elimu kwanini elimu yetu inadharauliwa? na ukiona mtu anapata heshima ujuwe kaongezea degree huko nje. Kuna baadhi ya nchi tu degree ya Tanzania wanaweka pembeni huko. shida nini?
Mfano mtu amesomea u daktari amegraduate hana mtaji unataka ajiajiri kivipi?
Hapa tatizo sio elimu ila tatizo serikali imeshindwa kuweka mazingira ya watu ku apply kile walichokisomea ndo maana unaona kuna graduates wengi hawana ajira.
Mi kukwambia ukweli hata mtu asomee Oxford au Cambridge akirudi mtaani kama hana mtaji au hajaajiriwa ataonekana amesoma elimu ya hovyo.
Hata hao wanaharakati, mawaziri, n.k. unaosikia wanapiga kelele ukimtoa kwenye hiyo nafasi ukasema ajiajiri trust me atachemka no matter amesomea wapi.
Kwa hiyo tatizo sio elimu ila tatizo ni mazingira yetu kutokua rafiki.
 
Hili la wakenya serikali yenyewe ilisema wakati EA wanataka free movement ya wafanyakazi ni Tanzania waliogoma na walisema hawako tayari kuingia huko kwani wanaogopa wa Kenya kubeba kazi zao haya yako kwenye record.
Duh hili serikali ililisema lini make mi ni geni kwangu. Naomba reference kama hutojali.
 
Mfano mtu amesomea u daktari amegraduate hana mtaji unataka ajiajiri kivipi?
Hapa tatizo sio elimu ila tatizo serikali imeshindwa kuweka mazingira ya watu ku apply kile walichokisomea ndo maana unaona kuna graduates wengi hawana ajira.
Mi kukwambia ukweli hata mtu asomee Oxford au Cambridge akirudi mtaani kama hana mtaji au hajaajiriwa ataonekana amesoma elimu ya hovyo.
Hata hao wanaharakati, mawaziri, n.k. unaosikia wanapiga kelele ukimtoa kwenye hiyo nafasi ukasema ajiajiri trust me atachemka no matter amesomea wapi.
Kwa hiyo tatizo sio elimu ila tatizo ni mazingira yetu kutokua rafiki.
Ndio nilitaka kujuwa na mimi nakubali shida iko kwenye sera za serikali sasa kweli hawalioni hili au ni kusudi? Ukija kwa mtu aliyesoma Oxford au Campridge na uhakika hawezi kuja kufanya kazi huku maana ziko nchi nyingi atadakwa kama mpira na atapiga pesa ndefu tu.
 
TATIZO LA WAKOSOAJI WA TANZANIA NI MOJA TU ANAKUKOSOA HALAFU HAKUAMBII CHA KUFANYA SASA DR. KESSY HEBU ATUAMBIE MITAALA IBADIRISHWEJE IWEJE YAANI WATOTO WAFUNDISHWEJE?
Anajua hata akikuambia ubadilishe hutabadilisha mkuu.
"ELIMU NI UJUZI"na SIO CHETI ila kwetu ELIMU NI MIVYETI
 
Ninachoelewa mimi siku hizi waalimu wanafundisha jinsi/namna ya kufaulu mitihani siyo kuelewa unachofundishwa
Sasa wafanyaje?
Wasipofaulisha wanaandamwa kwa nn hujafaulisha??
Acha tuende hivi hivi tutaelewana baadae

Ukibadili mtaala lazima sio ombi umpeleke mwalimu mafunzo na umlipe
 
Ni Dr Kessy wa udsm pale Department ya Political Science? Kama niyeye nitarudi baadaye
 
Back
Top Bottom