TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,893
- 11,289
Kwahiyo unapangia watu waseme nini? Ww mboja juzi ulikuja in defence of membe then ukaja na the same surprise kwa marmoWaziri wa Fedha wa Tanzania ana degree feki
kila mtu analijua hilo
mbona hamkusema kitu?
I think hizi ni double standards za JF kila kukicha
hii thread ni ya jamaa aliyefoji elomu, ukiibua ya mkulo utakuta pia ilichangiwa.
Phd ya kikopo imekua issue