usisahau msimamo wake wa kutaka kubomoa jengo la Tanesco Ubungo huyu ataleta utawala wa Hitler kaanza na push up kama salamu tu hizo Kigamboni wanamjua eti Wapige mbizi leo wampe kura tena hata kama wamewajengea daraja kwani mtapita bure pia hilo daraja ni la wajanja wanataka kuwekeza huko ONDOA.CCM UPATE MABADILIKO WEWE!